Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

20230308_014609.jpg
 
Zakaria ni mchezaji mzuri kama utaangalia katika angle yake ya kiungo mkabaji anaitendea haki ila kwenye ushambuliaji sio sehemu yake ndio maana unaona anakuangusha
Ya nini kuwa na mchezaji wa hivyo, kuna pasi moja alitakiwa atoe badala ya kutoa yeye akaendelea kukaa na mpira na angetoa lingekua goli, na pulisic nae hivyo hivyo. Pasi ambayo hata huku kwnye ndondo zinapgwa sana.
 
Ya nini kuwa na mchezaji wa hivyo, kuna pasi moja alitakiwa atoe badala ya kutoa yeye akaendelea kukaa na mpira na angetoa lingekua goli, na pulis na hivyo hivyo. Pasi ambayo hata huku kwnye ndondo zinapgwa sana.
Ndio hivyo si kila kitu utapewa Zakaria ni mkabaji mzuri sana ila creativity ndio hana
 
Jana Chelsea tulishinda 2:0 ila ukweli ni kwamba tulicheze bila formant au formular inayo eleweka, wakati wachezaji wetu ni wazuri, tulivamia mlago wa opponent vagarabagara bila kujua mfungaji wetu atakua nani, ndo maana tunakosa sana magoli kila mchezaji hajiamini kwamba yeye ndo arafunga anashutukizwa tu.

Huyu kocha wetu hana uwezo wa tactical futibali anabebwa na hao wachezaji. Hata nusu fainali tuna weza kufika hivo hivo kwa kubahatisha.
Hatukucheza vizuri ila tulipata matokeo muhimu.
 
Chuck Norris hamna mtu pale licha ya ushindi hakuna tactical approach ya maana aliyoifanya zaidi ya morali ya wachezaji na uwezo binafsi kwenye suala la sub ndio F kabisa sijui huwa anawaza nini.
 
Jana Chelsea tulishinda 2:0 ila ukweli ni kwamba tulicheze bila formant au formular inayo eleweka, wakati wachezaji wetu ni wazuri, tulivamia mlago wa opponent vagarabagara bila kujua mfungaji wetu atakua nani, ndo maana tunakosa sana magoli kila mchezaji hajiamini kwamba yeye ndo arafunga anashutukizwa tu.

Huyu kocha wetu hana uwezo wa tactical futibali anabebwa na hao wachezaji. Hata nusu fainali tuna weza kufika hivo hivo kwa kubahatisha.
Hatukucheza vizuri ila tulipata matokeo muhimu.
Ukiangalia pia hajiamini kabisa yani timu imemzidi uwezo anachofanya ni kubahatisha tu mpaka mechi inaisha alikuwa na presha kubwa mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom