Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,080
- 16,052
Ume loose battle sasa unakimbilia kwenye makombe, nani ni mpumbavu hapo.Kabisa Asepimbi, nawatakia kila la heri mechi yenu ya leo mshinde mjiweke vizuri kuchukua ubingwa lakini usisahau unazurura kwenye anga za Mabingwa wa klabu BINGWA YA DUNIA, UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UEFA SUPER CUP ambapo we huna kombe lolote kati ya hayo.
Ficha upumbavu wako unapozurura kwetu vidume Chelsea FC
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app




