Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata bila kuchambuliwa ile siku yoyote ile, ile ni penalt.
Manure wako kila sehemu, wabaya wakubwa wa Chelsea. Hata VAR hawakuicheki kwa msisitizo
Saa nyingine unajiuliza ile VAR waliletaga kwa ajili ya nani na nini?
 
Ili mudryk ainfluence game mda wote inabidi LB awe Chilwell or Hall, LB ambae anawaza kushambulia hapo ndio watu wataona mudryk vizur.


Mara zote alizokuwa na mpira alikuwa anahatar shida upande wake ule Cucu hakufanya mikimbio utasema alipigwa stop .

Ajifunze kwa James, madueke anapokuwa anampira unakuta tayar james ashatafuta nafas .
Halafu ninyi sijui kama mnaona udhaifu mkubwa wa Cucurela afalia Alonso. Akienda mbele kidogo anagandia huko huko na ndio maana Westaham walifanya mashabulizi sana kupitia kwake hata goli la Emerson lilianzia kwa Cuc baada ya kupoteza mpira kijinga tu
 
Mount hapa hakumuona Ziyech????
twitter_20230212_002016_1.gif
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Potter na manager wengine kwenye Touchline.

Potter ni kama Bielsa kwenye touchline.

Ukiangalia wakina Klop,Arteta,Pep wanavyohangaika kutoa maelekezo kwenye touchline ila mwanetu Potter anasubir HT or FT.
Hata hiyo HT sijaona inluence yake, timu inarudi inaendelea kucheza kimlenda mlenda kama FH
 
Fabrizio Romano: "I wanted to clarify one thing we had reports, a mix of reports on Jude Bellingham rejecting Chelsea. The reality is that Jude Bellingham has never said no to any Chelsea proposal. Chelsea never made any bid [or] official proposal to Jude Bellingham."
 
Kocha nashindwa hata kumuelewa hivi sijui kwanini anamn'gan'gania Kai havert? ukiachilia performance mbovu anayoonesha Kai havert kocha anashindwa hata kutumia simple logic kwamba kwenye michuano ya UEFA hayupo Auba wala D.Fofana striker pekee ni huyu Kai Cha ajabu hata huku kwenye Epl still anamtumia huyo huyo Kai kwanini asitoe nafasi kwa Auba au Fofana ambao hawatumii kwenye michuano ya UEFA champions league
 
Kocha nashindwa hata kumuelewa hivi sijui kwanini anamn'gan'gania Kai havert? ukiachilia performance mbovu anayoonesha Kai havert kocha anashindwa hata kutumia simple logic kwamba kwenye michuano ya UEFA hayupo Auba wala D.Fofana striker pekee ni huyu Kai Cha ajabu hata huku kwenye Epl still anamtumia huyo huyo Kai kwanini asitoe nafasi kwa Auba au Fofana ambao hawatumii kwenye michuano ya UEFA champions league
Potter alishatoa sababu za kumtumia Havertz kwenye no 9 role wakati ule tulipocheza na Bonamouth tukawafunga 2-0 ambapo Havertz alifunga na kutoa assist
  1. He is young and only 23
  2. He is still learning the game
  3. Havertz is German International and score goals
  4. Has a fantastic Quality
  5. He gives you the flexibility and variability in the game
  6. He can drop in but he can also threaten the backline
  7. Havertz is multifaceted in terms of qualities so he can play in a few positions
  8. He plays for the German national team
  9. He is elite and contribute to the team
Source: Potter: What Havertz gives you
havertz_potter.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom