Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Inawezekana ikawa ni ngumu na tofauti tunavyoona ...pia inategemea na mchezaji pia hapo kama n modric au kina fabregas tiyari assist

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mount sio mara ya kwanza anafanya hivi.

Naamini kwa pale kama Mudryk/Felix/James ile pale ni assist.

Ila assist ya Enzo, Mount angejarib kushoot au sideway pass
 
Mount sio mara ya kwanza anafanya hivi.

Naamini kwa pale kama Mudryk/Felix/James ile pale ni assist.

Ila assist ya Enzo, Mount angejarib kushoot au sideway pass
Our Player of the year for 2 seasons
Enzo na Mudryk wataendelea kutuonyesha kuwa hatukuwa na squad ya kujidai nayo
 
Mechi mbili tu Twitter yote imenyamaza kuhusu ada yake kubwa. Husikii tena mabakuli makubwa yakibweka
Tumelamba dume pale kwa Enzo, kwa umri wake na kwa ubora anaoonyesha tutamfaidi zaidi ya tulivyomfaidi Faberagas na Kante
Jana tu fulldebut yake ya pili MOTM na assists yake moja. Huko mbeleni atajizolea sifa nyingi. Tuchukulie hii nusu ya msimu kama makaribishao tu na kuzoeana na wenzake. Naamini msimu ujao, hata na huyu kocha feki bado kuna jambo tutafanya
 
FosbbN1WAAEhUkv
 
Felix: ‘Playing in this team with the quality around me, it’s easy. We all connect well and I think there are signs of that happening. Okay, we didn’t get the win on this occasion but we can build on this for the next game and hopefully get the three Mixed emotions for Joao
 
Akija Nkunku anaweza cheza false no 9 au wakabadilishana na Felix akacheza falso no. 9. Hao wote ni kama wanacheza nafasi zinazofanana na wote wazuri kwenye hizo nafasi

So kama tutashindwa kumpata striker world class mambo itabidi iwe hivyo
Ila tukimpata striker mzuri atakayesaidiana na Fofana then mbele kutakuwa na ushindani wa kufa mtu
  1. Fofana
  2. Broja
  3. Nkunku
  4. Felix
  5. Mudryk
  6. Maduake
  7. Sterling
  8. Havertz
  9. Mount
Asumptions ni kwamba hawa watasepa
  1. Ziyech
  2. Pulisic
  3. Auba
 
Kwa performance ya Felix sitoshangaa Summer tukitaka kuextend loan o make it permanent
Extension ya loan kwa mchezaji bora kama yule sahau, nina uhakika 100%, labda awe normal au aflop
Real Madrid wanamtaka kwa udi na uvumba, Felix maisha yakimwendea vizuri darajani anaweza kuopt Chelsea against Real MAdrid, hiyo ndio faraja yetu
 
Wachezaji na probability ya kuhama Chelsea 2023/24
  1. Pierre-Emerick Aubameyang 95% -Kapoteza mvuto wa kuichezea Chelsea
  2. Romelo Lukaku 95% - Kapoteza mvuto na sifa za kuichezea Chelsea
  3. Hakim Ziyech 80% -Kapoteza mvuto wa kuichezea Chelsea
  4. Callum Hudson-Odoi 70% - Kadorora sana kimchezo
  5. Christian Pulisic 70% - hana quality ya kuendlea kubaki Chelsea
  6. Kalidou Koulibaly 60% - Mfumo umemkataa
  7. Mason Mount 50% - Tatizo la mkataba
  8. Ngolo Kante 50% -Tatizo la mktaba
  9. Edourd Mendy 50% - Tatizo la mkataba
  10. Conor Gallagher 50% - Kukosa namba
  11. Ruben Loftas Cheek 30% - Kukosa namba
 
Andrey Santos tena
Goli lake la 6 kwenye mashindano ya Ubingwa wa bara la Amerika ya Kusini imeiwezesha brazil U2o kubeba kombe la South Americans Championship.

Fo1eJsAXwAQKyG7



Brazil have won the U20 Sudamericano and the Golden Boot race looks like this:
  1. Andrey Santos - 6
  2. Vitor Roque - 6
The pair of them were involved in over 75% of their 19 team goals. Two insanely promising talents. Two Champions.
🏆


Mashindano hayo sasa yameisha tunamtaka aende Uk kushughulikia Work Permit yake
 
According to The Athletic-David Ornstein.

Uongozi wa chelsea hauna mpango wowote wa kumfukuza Potter, Wanaaminj Potter hawez kuhukumiwa kwa sasa hata kama team itashindwa kufudhu UEFA msim ujao. Vile vile bado wanaiman na Potter na wanaamini wana kocha bora.
 
According to The Athletic-David Ornstein.

Uongozi wa chelsea hauna mpango wowote wa kumfukuza Potter, Wanaaminj Potter hawez kuhukumiwa kwa sasa hata kama team itashindwa kufudhu UEFA msim ujao. Vile vile bado wanaiman na Potter na wanaamini wana kocha bora.
Ila mimi naamini huyu kocha hata kama wengi hatumuamini atakuja kufanikiwa na Chelsea kama atapewa uvumilivu wa namna hii.
Tumalizie suala na ufungaji, upishi wa magoli, ukabaji kule nyuma, golie mzuri
Tutabeba makombe hata kama kocha ni jiwe
 
Wachezaji na probability ya kuhama Chelsea 2023/24
  1. Pierre-Emerick Aubameyang 95% -Kapoteza mvuto wa kuichezea Chelsea
  2. Romelo Lukaku 95% - Kapoteza mvuto na sifa za kuichezea Chelsea
  3. Hakim Ziyech 80% -Kapoteza mvuto wa kuichezea Chelsea
  4. Callum Hudson-Odoi 70% - Kadorora sana kimchezo
  5. Christian Pulisic 70% - hana quality ya kuendlea kubaki Chelsea
  6. Kalidou Koulibaly 60% - Mfumo umemkataa
  7. Mason Mount 50% - Tatizo la mkataba
  8. Ngolo Kante 50% -Tatizo la mktaba
  9. Edourd Mendy 50% - Tatizo la mkataba
  10. Conor Gallagher 50% - Kukosa namba
  11. Ruben Loftas Cheek 30% - Kukosa namba
Kalidou mnasema mfumo umemkataa hili Chelsea yenu saivi kwani Ina mfumo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom