Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
We mpiga ramli si ulisema leo vidume Chelsea tunafungwa?Nilikwambia hapa mapema ushindi hakuna
Haya amka kitandani acha kujinyea

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
We mpiga ramli si ulisema leo vidume Chelsea tunafungwa?Nilikwambia hapa mapema ushindi hakuna

Hata arud nani, kama kocha ni huyo chaknoris bado tutaendelea kuteseka.Tunahitaji hadi Kante arudi ndipo tuanza kushinda au?
Sijui Potter anawazaga nn sikuelewa why alifanya sub za ajabu vileUnategemea Mount, galagher,Ziyech wakishaingia unadhan kutakuwa na threat yoyote + Havertz uwepo wake![]()



n potter utasema kama hamuoni vile watatoka wengine ila sio Havertz.

Unavyoletaga noise pollution katika Jukwaa letu kumbe wewe ni the Blues?Hata arud nani, kama kocha ni huyo chaknoris bado tutaendelea kuteseka.








siaminiNilikwambia ushindi hakuna sasa timu imeshinda?We mpiga ramli si ulisema leo vidume Chelsea tunafungwa?
Haya amka kitandani acha kujinyea
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kuwafurahisha wale waingerezaSijui Potter anawazaga nn sikuelewa why alifanya sub za ajabu vile


Hasira hazisaidii. Enjoy maumivu!😂Ni kweli kabisa kama ulivyozoea kujinyea wewe Arsepimbi
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Timu Ipo Tena ya maana sema hatuna coachHakuna team apa
Soma vizuri ulichoandika we ArsepimbiNilikwambia ushindi hakuna sasa timu imeshinda?
Kabisa Asepimbi, nawatakia kila la heri mechi yenu ya leo mshinde mjiweke vizuri kuchukua ubingwa lakini usisahau unazurura kwenye anga za Mabingwa wa klabu BINGWA YA DUNIA, UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UEFA SUPER CUP ambapo we huna kombe lolote kati ya hayo.Hasira hazisaidii. Enjoy maumivu!![]()

Wameichambua supersport channel kuwa ni clear penalty.Ila ile Handball ya Soućek haikuwa Penalty????
Pale refa katuuwa.
Yoyote kwa yote Potter sidhan kama ni mtu sahihi.
Angalia usivyojielewa ulishaniona jukwaa la Arsenal?
Hata bila kuchambuliwa ile siku yoyote ile, ile ni penalt.Wameichambua supersport channel kuwa ni clear penalty.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Labda wamebalansi, ukiangalia mstari waliouchora kuwakatalia West Harm goli lao ulikuwa wa mchongo (ulipindishwa)Hata bila kuchambuliwa ile siku yoyote ile, ile ni penalt.

Shida ni kumpata Kocha mwingine ambaye ataiweka sawa Chelsea FC, wazoeane na kuelewa falsafa zake.Takataka Potter out
