Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
Una judge kocha Kwa matokeo ya siku moja ....Kwa hiyo yule kocha wa Everton anamzidi tactics arteta Kwa Vila alimfunga jumamosi .....peleka utopolo wako hukooHuna heshima hata kidogo, Conte mmemshindwa kabisa unakuja kuleta mpira mbovu hapa wenye kuboa
Game ya spurs hata conte hakuwa kwenye touchline ...
Mallorca kamfunga Madrid juzi Kwa hiyo Carlo hana mbinu ?