Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ili mudryk ainfluence game mda wote inabidi LB awe Chilwell or Hall, LB ambae anawaza kushambulia hapo ndio watu wataona mudryk vizur.


Mara zote alizokuwa na mpira alikuwa anahatar shida upande wake ule Cucu hakufanya mikimbio utasema alipigwa stop .

Ajifunze kwa James, madueke anapokuwa anampira unakuta tayar james ashatafuta nafas .
 
Leo nani analaumiwa?
JamiiForums1067303014.jpg
 
Madhaifu ya mchezaji huwa yanafichwa na style ya uchezaji wa timu, mifumo + mbinu bora za kocha

Hivyo hivyo Ubora wa mchezaji unasaidiwa na style ya uchezaji wa timu, mifumo + mbinu bora za kocha.

Ndio maana mchezaji anaweza akawa bora kwa kocha flani lakini akawa ovyo kwa kocha mwingine.

Ukiangalia THE BLUES bado kocha ameshindwa kubalance na kuonganisha viwango na vipaji vya wachezaji kupitia mifumo na mbinu ili kupata ubora kamili wa timu katika kushinda mechi.
Naangalia mechi ya Bayern Munich vs Bochum, kiukweli Chelsea tuna zaidi ya miaka miwili au mitatu ndipo tutaweza kuwa vizuri.

Timu zina;

1. Winning mentality(Attitude).

2. Tactics.

3. Techniques.

4. Kasi.

5. Consistency.

6. Morali.

7. Zinakaba, zinashambulia na zinarudi kuzuia kwa pamoja.

HP tumepigwa Wazee


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Potter na manager wengine kwenye Touchline.

Potter ni kama Bielsa kwenye touchline.

Ukiangalia wakina Klop,Arteta,Pep wanavyohangaika kutoa maelekezo kwenye touchline ila mwanetu Potter anasubir HT or FT.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom