Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Boehly mjanja sana
Sasa kampuni italipa hiyo RC ya Enzo halafu Chelsea itawalipa kwa hizo instalments ambazo Rui Costa amekataa

DEAL DONE

Tunasubiri confirmation ya hii habari kwa mgwiji wa taarifa za michezo akina Fabrizio Romano na wenzake
Hai bleach FFP kweli?
 
Mbona Jorginho anampita Partey kwenye idara nyingi tu na sisi Chelsea tulimuona kama ndie hafai pale katikati? Takwimu saa nyingine bana, acha tu. Nadhani inayomuangusha Jorginho ni mistakes anazofanya na back passes nyingi
View attachment 2501310
Chelsea tunataka damu changa ambapo positive impacts zitategemea na muda wa miaka miwili au mitatu hadi mitano baadaye si huyo Jorginho ambaye umri umeshamtupa.
 
Sasa kama mlipaji ni mwingine itabreach naman gani, pesa inayoingia kwenye account books ni ile instalment ya mwaka huu tu
Mr. Chairman mchezaji ni wa Chelsea alietumia hela ni Chelsea... Je kampuni hata ikimnunua hakuna ujanja ujanja hapo?
 
View attachment 2501414
Karibu jorginho kutoka nafasi ya 10 hadi nafasi ya 1
Yani naogopa ujue Arsenal ina Partey alafu ina Jorginho mhh katika pasi 100000 partey anapiga pasi 30000 arafu pasi 70000 anamalizia Jorginho
Kaja kuchukua EPL
Poor Cheltako
Ujanja wako wooote kumbe we ni shabiki kilaza tu wa Arsepimbi?
 
Mr. Chairman mchezaji ni wa Chelsea alietumia hela ni Chelsea... Je kampuni hata ikimnunua hakuna ujanja ujanja hapo?
Kama uko karibu na mhasibu ebu muulize hilo swali
Kwa sheria za FFP pesa inayochukuliwa into account ni ile iliyofanyiwa expenses.

Mfano Mchezaji akiuzwa mil 120 halafu ukakopa hiyo pesa haitahesabiwa kama expenses likewise haitahesabiwa kama income. Wakati unalipa ndio inahesabiwa kama expenses, mfano Chelsea wakilipa Mil 60 mwaka huu, itakayohesabiwa kama expenses ni hiyo mil 60, na kila mwaka deni ikilipwa inahesabiwa kama expenses.

Kwa mtindo huu itakuwa imeshapunguza expenses kwenye account books na hivyo kukwepa over expenditure inayokiuka FFP rules
 
Mimi naona huyu Enzo ni wa kawaida na hata hatuma haja nae kwa bei io, je akija kuflop? Yule ata sio mkata umeme kivilee ata uuyu Gallagher akipata play time inaezekana akawa moto zaid yake mimi naona wanampaisha tu pale amna mchezaji wa 100m. Yule halali yake ni 50m ila dunia ya soka sa iv is so crazy.. wachezaji wengi wanakua over price.. iv kweli yule dogo ni wa kuwa MVP wa EPL? Tatizo scaut yetu inafuata majina... Waende na wao huko South America waokote mbrazili aliekomaa au la sivyo wamchukue huyu waliemnunua Santos.. Huyu Caecido nae ni wa kawaida sana ni mcheza wa 25m tusisahau tulikua na Makelele, Ramirez, Essien, Kante na hatukuwahi kuwasajili kwa hizi mbwembwe
 
1675186699899.png
 
Kama uko karibu na mhasibu ebu muulize hilo swali
Kwa sheria za FFP pesa inayochukuliwa into account ni ile iliyofanyiwa expenses
Mfano Mchezaji akiuzwa mil 120 halafu ukakopa hiyo pesa haitahesabiwa kama expenses likewise haitahesabiwa kama income
Wakati unalipa ndio inahesabiwa kama expenses, mfano
Chelsea wakilipa Mil 60 mwaka huu, itakayohesabiwa kama expenses ni hiyo mil 60, na kila mwaka deni ikilipwa inahesabiwa kama expensea. Kwa mtindo huu itakuwa imeshapunguza expenses kwenye account books na hivyo kukwepa over expenditure inayokiuka FFP rules
Okay..nimekuelewa mkuu. Sasa tujipange na kuuza pia ili kubalance kikosi, kazi kwa coacher akichemka ajiandae kusepa
 
Cheki mitizamo ya makocha inavyoweza kuadhiri performance na mafanikio ya timu

2013 Banitez alisema Tery ni mzee hataweza kucheza tena dk zote 90
2014 MOU alivyorudi darajani alimchezesha Teri dk zote 90 tukashinda kombe la ligi
View attachment 2501475
Kocha Jose Mourinho na wachezaji kama akina Terry, Canavaro, Drogber, Zola, Lampard, Ng'olo Kante na Hazard wanapaswa wajengewe sanamu kuuubwa pale Stamford Bridge ili nikiwa uwanjani naangalia mechi niwe nakumbuka walioiheshimisha Chelsea FC "The Blues"
 
Makhailo Mudryk anachunguzwa na FA kaonekana kwenye TikTok akitumia lugha ya kibaguzi inayoitwa N-Word. Hili ni neno lililotumiaka dhidi ya watu weusi. Sasa hiyo video imeondolewa haraka. Akikutwa na hilo kosa anaweza kupewa adhabu kali

N-Word nahisi ni Nigger word iliyotumika miaka ya 1980 kule Marekani dhidi ya black community
 
Makhailo Mudryk anachunguzwa na FA akonekana kwenye TikTok akitumia lugha ya kibaguzi inayoitwa N-Word
Hili ni neno lililotumiaka dhidi ya watu weusi. Sasa hiyo video imeondolewa haraka. Akikutwa na hilo kosa anaweza kupewa adhabu kali

N-Word nahisi ni Nigger word iliyotumika miaka ya 1980 kule Marekani dhidi ya black community
Huyu dogo anachafua hali ya hewa
 
Acha utani mkuu, deal ngapi zimevurugika wakat wa Roman, Uzembe wa marina kwa kounde,Tchoumaen, etc

Enzi za Roman tusingeweza wasajili 2player kila mmoja kwa 100M.
Fatilia awali kabisa anainunua Chelsea akiwa na Kocha Jose Mourinho alikuwa ananunua wachezaji kwa pesa gani na thamani yake ilikuwa kiasi gani kulingana na miaka hiyo?

Usimshushie heshima kabisa Bosi kubwa Abrahamovich, maana hadi anaiuza Chelsea FC kwa TB alikuwa ameshajiengea CV nzuri kwa kumimina pesa ndefu kwa usajili wa Wachezaji kila msimu.

Usirudie tena kueleza uwongo kimihemuko kabla ya kujadili hoja yako vizuri kuhusu Bosi kubwa la kihistoria pale Stamford Bridge "Roman Abrahamovich"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom