Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Taarifa za SkySports zinadai kuwa Enzo atafanyiwa Medical Test Lisbon
1675180692680.png

 
Chelsea tunaendelea tu kusumbua ulimwengu kwa kufuru za usajili.

Kimombo tuwaachie Arse8 ambao wanatamba na harakati za kunyanyua ubingwa wa EPL 2022 - 2023.

Liverkuku Fans ni mwendo wa kisandawe kuchambua karanga badala ya kuchambua mpira kwa kimombo chao kileeee.

Kweli kutesa kwa zamu na kila kitabu na zama zake
Screenshot_2023-01-31-19-33-00-10_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-20-34_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-47-46_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 
Boehly mjanja sana
Sasa kampuni italipa hiyo RC ya Enzo halafu Chelsea itawalipa kwa hizo instalments ambazo Rui Costa amekataa

DEAL DONE

Tunasubiri confirmation ya hii habari kwa mgwiji wa taarifa za michezo akina Fabrizio Romano na wenzake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom