Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea tunashukuru kwa Jorginho, binafsi nimefurahi , japo anapigwa mawe kila upande

Naamini atawafunga watu mdomo
IMG_20230131_230532.jpg
 
Mimi naona huyu Enzo ni wa kawaida na hata hatuma haja nae kwa bei io, je akija kuflop? Yule ata sio mkata umeme kivilee ata uuyu Gallagher akipata play time inaezekana akawa moto zaid yake mimi naona wanampaisha tu pale amna mchezaji wa 100m. Yule halali yake ni 50m ila dunia ya soka sa iv is so crazy.. wachezaji wengi wanakua over price.. iv kweli yule dogo ni wa kuwa MVP wa EPL? Tatizo scaut yetu inafuata majina... Waende na wao huko South America waokote mbrazili aliekomaa au la sivyo wamchukue huyu waliemnunua Santos.. Huyu Caecido nae ni wa kawaida sana ni mcheza wa 25m tusisahau tulikua na Makelele, Ramirez, Essien, Kante na hatukuwahi kuwasajili kwa hizi mbwembwe
Hata mimi sidhani kama huyo Enzo ni wa kununuliwa kwa 120 .hell no .Ni kwamba hatuna scout wa kufanya mapping ipasavyo + uhaba wa talents so hata wachezaji wa kawaida nao wanapaishwa na kuuzwa bei kubwa isiyo endana na uhalisia
 
Nilikuwa naangalia SkySport wanasema TV moja ya Lisbon wanadai ni kweli Enzo ameshafanya Medical kule kule L:isbon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom