Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Fatilia awali kabisa anainunua Chelsea akiwa na Kocha Jose Mourinho alikuwa ananunua wachezaji kwa pesa gani na thamani yake ilikuwa kiasi gani kulingana na miaka hiyo?

Usimshushie heshima kabisa Bosi kubwa Abrahamovich, maana hadi anaiuza Chelsea FC kwa TB alikuwa ameshajiengea CV nzuri kwa kumimina pesa ndefu kwa usajili wa Wachezaji kila msimu.

Usirudie tena kuhemukwa bila ya kujadili hoja yako kuhusu Bosi kubwa la kihistoria pale Stamford Bridge "Roman Abrahamovich"
Sijamshushia heshima Abramovich bali nimemjibu hiyo hoja ya kusema kwamba angekuwa Roman hili deal lingekuwa lishakamilika, ndio nimetoa mifano hapo ya deal ambazo hazikufanikiwa chini yake
 
Perez ni zaidi ya Mafia kwa kujua kucheza na fitina nnje ya uwanja na hata kwa kuwa na connection pana ya wataalamu wa sheria za mpira.

Kufuru za mapene zitazagaa sana hapa kwa malipo ya thamani ya kombe la European Supper League...
Super League bila club za EPL hamna kitu. Pesa iko kwa hawa vilabu vya EPL.

Ndio maana unaona vilabu vya EPL vyenyewe havipush sana agenda ya Super league maana mpunga wanao.

Super league ili wapate pesa inabidi wale big 6 or traditional big 4 wawepo hapo ndio watapiga pesa
 
Sijamshushia heshima Abramovich bali nimemjibu hiyo hoja ya kusema kwamba angekuwa Roman hili deal lingekuwa lishakamilika, ndio nimetoa mifano hapo ya deal ambazo hazikufanikiwa chini yake
Abrahamovich alikuwa anaipenda Chelsea FC tena ilikuwa damuni mwake haswaa, usisahau ilifikia hatua Chelsea ilikuwa ikilinganishwa na Real Madrid na PSG kwa mbio za kuweka mpunga mnene wa kumsajili mchezaji yeyote kwa msimu wowote ule.

Kumbuka bado kuna Watu wanadai kuna nguvu yake nyuma ya pazia ambayo bado inatumika hadi hivi sasa katika mwendelezo wa uwekezaji wa Chelsea, yani "kimya kimya" kulingana na makubaliano yao ya siri kati yake R Abrahamovich na TB.

Huyo Mrusi katuheshimisha sana Mashabiki wa Chelsea FC duniani kote.
 
1675189380335.png
 
Super League bila club za EPL hamna kitu. Pesa iko kwa hawa vilabu vya EPL.

Ndio maana unaona vilabu vya EPL vyenyewe havipush sana agenda ya Super league maana mpunga wanao.

Super league ili wapate pesa inabidi wale big 6 or traditional big 4 wawepo hapo ndio watapiga pesa
Ni muda tu, unadhani Perez ni wa mchezo mchezo kuhusu maswala ya soka?

Huyo Jamaa msikiage tu lakini akili yake ni kubwa mno kwenye inshu za soka na hata hizo timu za EPL top 6 unazodai huenda kashazipigia denge lakini bado haijawa rasmi tu.

Hutaamini kitachofatia hivi punde mara tu baada ya hiyo ligi kuruhusiwa kuanza kucheza...na mnufaika mkubwa atakuwa huyo huyo Perez "The Real Madrid FC President"
 
Hiyo ya medical wansema ni uvumi tu hakukuwa na kitu kama hicho
Bado tuko kwenye giza nene
1675189682978.png
 
Abrahamovich alikuwa anaipenda Chelsea FC tena ilikuwa damuni mwake haswaa, usisahau ilifikia hatua Chelsea ilikuwa ikilinganishwa na Real Madrid na PSG kwa mbio za kuweka mpunga mnene wa kumsajili mchezaji yeyote kwa msimu wowote ule.

Kumbuka bado kuna Watu wanadai kuna nguvu yake nyuma ya pazia ambayo bado inatumika hadi hivi sasa katika mwendelezo wa uwekezaji wa Chelsea, yani "kimya kimya" kulingana na makubaliano yao ya siri kati yake R Abrahamovich na TB.

Huyo Mrusi katuheshimisha sana Mashabiki wa Chelsea FC duniani kote.
Mkuu nahisi hujaelewa hoja ilipo.

Jamaa anadai kwamba Hili deal la Enzo angekuwa Abramovich lingekuwa lishakamilika me nampinga kwa hilo maana hata wakat wa Abramovich zipo deal hazikukamilika Refer deal la Robinho ilikuwaje,.

Kusema kuwa kila deal angekuwa flan lingekamika hapana
Msim uliopita team ilishindwa bid kwa Haland coz ya value yake tuka end up kutoa 100M kwa lukaku then tukatafuta mchezaj wa mkopo saul.Kounde mpk tulikubalian personal terms ila tukashindwa kukubaliana na sevila

So kusema kuwa hili deal angekuwa Roman lingekuwa tayar hapana sio sahihi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom