Arteta anatumia formula ya man city ya 2017, Kama unaingalia Arsenal inavyocheza Ni copy ya city,ila Ni ile ya 2017,
Wote wanatumia Single Pivot , na ndio maana walimtaka Jorginho ,
Hata Partey Arsenal anacheza single pivot ana cover eneo kubwa , kwa Jorginho Sijui Kama anaweza kucheza Single , ila ataweza, Elneny tumemtumia hivo na aliweza, lokonga Ndiye kashindwa
Register anayepokea mipira kutoka back 4 Arteta na Pep wanapenda awe press resistant na uwezo wa kutopoteza pass , na awe vzr Ground Duel na Aerial Duel
Maana Arteta na yeye anacheza na Double 8/10 Kama Pep