Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Huyu Rais mbona mgumu Hivi ,Rui Costa anataka mzigo wote Habari za mafungu hataki kusikia.
Anaamin Summer kina Liverpool watatoa hiyo pesa?
Huyu Rais mbona mgumu Hivi ,Rui Costa anataka mzigo wote Habari za mafungu hataki kusikia.
£12m - DEAL DONEJorgnho - 50/50 na ni mauzo ya pesa kiduchu, kumbuka June anaondoka bure
Kulipa kwa mafungu kunatufanya tuikwepe FFP.Kulipa kwa mafungu hakukwepeki FFP
Hapa ndipo tutakapokwama
Hakuna Club yoyote inayoweza kutoa hiyo 120M kwa mkupuo hakuna.ukijumlisha na tax inafika 150M.Huyu Rais mbona mgumu Hivi ,
Anaamin Summer kina Liverpool watatoa hiyo pesa?
halaf muanze kuuza sasaTakwimu mara nyingi haziongei uhalisia wa mchezaji akiwa uwanjani..Mbona Jorginho anampita Partey kwenye idara nyingi tu na sisi Chelsea tulimuona kama ndie hafai pale katikati? Takwimu saa nyingine bana, acha tu. Nadhani inayomuangusha Jorginho ni mistakes anazofanya na back passes nyingi
View attachment 2501310
zinaongea we sema hizo takwimu inaweza kufutwa na silly individual mistakesTakwimu mara nyingi haziongei uhalisia wa mchezaji akiwa uwanjani..
Tatizo lipo kwa Viungo wenu wengine,mbona akicheza na kina Kante au kova anakuwa vzrzinaongea we sema hizo takwimu inaweza kufutwa na silly individual mistakes
Jorginho sio kwamba hachezi vizuri, yeye ni master wa vitu vingi uwanjani
Tatizo lake ni kufanya silly mistakes kama za kutokaa na mpira vizuri hadi ananyang'anywa
Kufanya back passes nyingi hadi anakosea
Chelsea kwa miaka mingi imekuwa na average players wengi - ambao unaona kabisa unashinda game kwa taabu mno.- walau Pulisic kidogo anafaa.Baada ya kuwauza Pulisic, Cheek, Gallagher, Azip, Koulibaly, Ziyech, Lukaku, Auba.
Shida anasajiliwa nayakati zipi?Huyu ni enzo ni mchezaji wa kawaida tu ila promo ni kubwa na hela pia ni ndefu.





Daima nasemaga strategic back pass, kila mchezaji anafanya hiyo, it is also a defensive mechanism. Jorginho atazipiga hizo hadi muanze kumchukia. Tena unajua Arteta na PEP wana style tofauti, style ya PEP inahitaji back passes nyingi wakati Arteta ni direct football, hapa lazima Jorginho awe na few strategic back passes, sehemu kubwa ni through passes to break lines au long ballsTatizo lipo kwa Viungo wenu wengine,mbona akicheza na kina Kante au kova anakuwa vzr
Takwimu zinaonesha ana uwiano mzuri Sana wa pass za mbele na nyuma
Kwa mifumo ya Arsenal ,pass za nyuma anaruhisiwa kupiga ili kulinda possession na kuanza mashambulizi kwa njia nyingine
Pep GUARDIOLA kwenye kitabu chake anasema "Sio kosa kwa mchezaji kupiga pass za nyuma ,Ni njia moja wapo ya kujipanga upya kushambulia "
Naona kuanzia sasa mtamsafisha hadi kwa sabuni ya komeshaView attachment 2501414
Karibu jorginho kutoka nafasi ya 10 hadi nafasi ya 1
Yani naogopa ujue Arsenal ina Partey alafu ina Jorginho mhh katika pasi 100000 partey anapiga pasi 30000 arafu pasi 70000 anamalizia Jorginho
Kaja kuchukua EPL
Poor Cheltako