Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Enzo na Mount ni 2 different player mkuu

Kiuchezaj mpk kwenye nafas wanazocheza ni wachezaj wawili tofauti.

Mount huwez sema unaunda team kumzunguka yeye hapana,

Ukitaka kuona angalia influence anayokuwa nay James katika games akiwepo na asipokuwepo halaf njo kwa mount influence yake akiwepo na asipokuewepo.
Mkuu nilikuwa nawalinganisha kwa dhamani sio position, kama tulivyomtaka Enzo kwa Mil 100 hata mchezaji standard ya Mount tunaweza pia kumtaka kwa hiyo hiyo kiasi kama tutahitaji kumsajili

Kuhusu influence, Mount pale kwenye fowards ana Chemistry mbovu kutokea kwenye CMF kwa sababu yeye anatakiwa hasa kushambulia kutokea katikati, na hata hivyo mechi ambapo alipata chemistry nzuri Mount alikuwa na influence. Chemistry nzuri ninayoizungumzia ni ya Kova akiwa kwenye form hasa ile ya kupress na kupeleka mipira mbele na pia akiwemo Kante mwenye uwezo mkubwa wa kudisposses na kupeleka mipira mbele

Kwa sababu Mount actually yeye sio mchezaji wa kiungo bali ni foward zaidi kwa maana ya winga au Attacking mieldfilder. sasa sehemu kubwa ya uchezaji wa Mount umeharibiwa na uwepo wa takataka hasa zile za katikati ambazo hazijui kuanzisha mashambulizi yaani build-ups. Hii imesababisha Mount naye kuonekana kashuka kiwango. James yeye anafaidika na ukweli kwamba timu nyingi hazipress sana kutokea kwenye winks. Kwa hiyo kwa wachezaji wanaojua kushambulia kutokea kwenye winkis huwa wanapata faida hiyo. Timu nyingi huwa zinakuwa makini wakati wanashambuliwa kwenye eneo la katikati ya uwanja kwa kutumia diamond shape. Kuanzia mabeki hadi viungo hawajali kupeleka mashambulizi zaidi ya back passes na sideway passes

Kwa kusema hayo mimi bado nina imani kwa Mount na bado anaweza kuwa na influence na pia kwa upenda wa involvment kwenye magoli.

Kocha tu azoee kumtumia Zakaria na tupate kiungo mwingine atakaye influence uchezaji hapo katikati, utaona manufaa ya Mount
 
Leo tunakutana na Willian yuko onfire na Fulam. Huyu Willkian sio yule aliyehamia Arsenal, karudia ile form yake wakati anataka kusaini mkataba mpya na Chelsea. Wachezaji waliocheza naye ni kama Kepa, Kova, Jorginho, Azpilicueta,
 
Hivi sisi wengine tunaona tofauti na kocha, technical team, mmiliki, bodi, scout kwamba tatizo kuu la Chelsea ni creative na defensive midfielders. Mbona hawaonyeshi hata dalili kuwa wanalishughulikia hilo tatizo. Tunakazana tu na forwads waje kuflop.
 
Hivi sisi wengine tunaona tofauti na kocha, technical team, mmiliki, bodi, scout kwamba tatizo kuu la Chelsea ni creative na defensive midfielders. Mbona hawaonyeshi hata dalili kuwa wanalishughulikia hilo tatizo. Tunakazana tu na forwads waje kuflop.
Me nahis ni wachezaj tunaowataka, ni ngumu sana january hii tim zao kuwaachia
Enzo deal lake ni Benfica wanataka team ilipe RC yake ambayo inalipwa yote kwa wakat mmoja.
Koudao Kone-niliona interest vivel kampendekeza
Caicedo-Brighton hawawez kumuachia kirahisi
McAllister- Brighton awawez kumuachia kirahis
Arsen Zakharyan-Malipo jinsi yatakavyofanyika ndio changamoto kwa sababu ya mgogoro wa Russia na Ukrain
Khepherin Thuram-ni tetesi za kuhusishwa nae
 
Unataka tufanyeje kama tuna mechi?
Punguza makasiriko upate kubarikiwa kijana, ukiona Chelshit inakuletea depression unaweza kuachana nayo kwa muda ukaenda kushangilia hata netball, si unamuona ndugu yako OllaChuga Oc kipindi hiki haonekani humu, muda wote anashinda kwenye dressing table ila siku cheusii wakishinda lazima aje kutia fujo humu.
 
Punguza makasiriko upate kubarikiwa kijana, ukiona Chelshit inakuletea depression unaweza kuachana nayo kwa muda ukaenda kushangilia hata netball, si unamuona ndugu yako OllaChuga Oc kipindi hiki haonekani humu, muda wote anashinda kwenye dressing table ila siku cheusii wakishinda lazima aje kutia fujo humu.
Leo tunaua, jiandaeni kupata burudani leo. Always when it is blue it is refreshing

Hata anga ikiwa blue kuna raha tupu
Hata bahari ikiwa blue kuna breeze ya kuleta raha
Ila rangi ikibadilika na kuwa red, fujo tupu
 
PEP adai GP anstahili apewe muda aijenge timu
Akaingiza utani kuwa pale Barca haikumchukua misimu miwili kwa sababu alikuwepo Messi
Pale city pia hakuchukua misimu miwili alikuwepo nani?--Aguerro?? kidding

Makocha saa nyingine wanapigana vijembe kwenye vyombo vya habari
Si ili aendelee kumfunga vizuri
 
Leo tuna Fulham. Kama hatutapata point 3 nyumbani basi safari yetu itazidi kuwa ngumu zaidi hasa walau kuikaribia top 6
 
Muda mrefu nilikua najiuliza hii sura ya Potter mbona sio ngeni machoni kwangu?
Kila nikivuta kumbukumbu nahisi kabisa hii sura nishawahi kuiona zaidi hata ya miaka 30 iliyopita, baadae ndio nikakumbuka huyu babu yenu alikua anaigiza kama Shaggy kwenye cartoon ya Scooby-Doo.
Screenshot_20230112_113532.jpg
Screenshot_20230112_113144.jpg
Screenshot_20230112_210022.jpg
 
Line up leo, nabashiri

Formation: 4-2-3-1

--------------------- Fofana ------------------------

Felix ----------------Mount --------------------- Havertz

----------Kovacic -------------------- Zakaria----------

Cucurella ----- Koulibally ----- Badiashile ----- Azpilicueta

--------------------- Kepa------------------------
 
Taarifa zinadai kuwa Auba haruhusiwi kwa sheria za FIFA kusajiliwa na timu nyingine isipokuwa kucheza Chelsea au kurudi Barca
Sheria ya FIFA inasema, mchezaji anaweza kuchezea timu mbili tu kwa msimu mmoja

Kwa hiyo kama Auba atataka kuhama Chelsea January hii sehemu pekee anayoruhusiwa ni kwenda Barca

Barca wamesema watamchukua tu Auba kama masharti matatu
  1. Merphis ataondoka Barca
  2. Pili kama Auba atatolewa bure
  3. Tatu kama Auba atakuwa tayari kushusha mshahara wake
Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa Auba atakuwepo darajani hadi msimu uishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom