Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndio ujue Hawa mashabiki wengi humu hawajui na hawafatilii mpira

Arsenal imepata majeruhi hao kwa muda mrefu tu ,Elneny karudi Juzi, Smith bado, Zinny karudi Juzi ,

Au anataka injury za miezi 8 ?[emoji1787][emoji1787]

Hawataki kukubali Wana timu bovu
Babu hili sio jukwaa lenu Asenyeto
 
Unamfata mwenzio Forest mkiani ana Uefa[emoji1787][emoji1787]
Emile Smith Rowe na Takehiro Tomiyasu ndie wenye injury za kama two or three weeks only wengine ni zile a hapa na pale tu
 
Emile Smith Rowe na Takehiro Tomiyasu ndie wenye injury za kama two or three weeks only wengine ni zile a hapa na pale tu
Kweli wewe hufatilii mpira ndio maana unabwabwaja

Elneny kakaa nje miezi 3, Partey tulimkosa mwezi mzima, Zinny kakaa nje mwenzi mzima

Hakuna timu isiyopata majeruhi

Tofauti nyie mna wale Injury prone

Mfano James,chillwel , kante ,kova Hawa hata wakipona hawana uhakika wa kucheza mechi 7-10
 
Kweli wewe hufatilii mpira ndio maana unabwabwaja

Elneny kakaa nje miezi 3, Partey tulimkosa mwezi mzima, Zinny kakaa nje mwenzi mzima

Hakuna timu isiyopata majeruhi

Tofauti nyie mna wale Injury prone

Mfano James,chillwel , kante ,kova Hawa hata wakipona hawana uhakika wa kucheza mechi 7-10
Hili jukwaa wengi wao mpira wanaangalia Livescore unatarajia nini kwa watu kama hao
 
Kweli wewe hufatilii mpira ndio maana unabwabwaja

Elneny kakaa nje miezi 3, Partey tulimkosa mwezi mzima, Zinny kakaa nje mwenzi mzima

Hakuna timu isiyopata majeruhi

Tofauti nyie mna wale Injury prone

Mfano James,chillwel , kante ,kova Hawa hata wakipona hawana uhakika wa kucheza mechi 7-10
Ndg Rowe wakati tunaenda WC yuko majeruhi siku 71
Tomiyasu siku 12
Hiyo miezzi mitatu imetoka wapi? Na hao ndio wachezaji wenu wa maana kwenye timu. Au hata majeruhi wenu hamuwajui.
Hii ya Partey unazungumzia msimu uliopita kama sijakosea
 
Ndg Rowe wakati tunaenda WC yuko majeruhi siku 71
Tomiyasu siku 12
Hiyo miezzi mitatu imetoka wapi? Na hao ndio wachezaji wenu wa maana kwenye timu. Au hata majeruhi wenu hamuwajui.
Hii ya Partey unazungumzia msimu uliopita kama sijakosea
Wewe kukuelewesha Ni kupoteza muda
 
Ndg Rowe wakati tunaenda WC yuko majeruhi siku 71
Tomiyasu siku 12
Hiyo miezzi mitatu imetoka wapi? Na hao ndio wachezaji wenu wa maana kwenye timu. Au hata majeruhi wenu hamuwajui.
Hii ya Partey unazungumzia msimu uliopita kama sijakosea
Mnapoteza mda kuwajibu hawa Asenyeto hili jukwaa sio lao
 
Ulitegemea Senegal Washinde Mendy Akiwa Goli Kipa Ukiskia Masai Kala Mtego Ndoo Hii [emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20221121_211636.jpg
 
Honestly Kuna Namna Mendy kaporomoka !!!

Sioni akipangwa akimweka kepa bench! Save zake zinatia mashaka,,,,

Goal la gakpo hakujua ht mwelekeo wa mpira !

Second goal, alivyopiga depay aliutema mpira jamaa akaumalizia kirahisi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom