Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

TT natamani angepewa nafasi ya kurudi Chelsea aendeleze timu yetu kwasabb hao wachezaji wote ka wanunua yeye huyu average kochi ambaye hawezi kutoa sale na timu alio ijenga mwenyewe Brighton wanini?

Chelsea sio kama Arsnal ambayo hana hata champions league hata moja ndo timu za kujenga chalsea ni ya kuendeleza tu Timu yenye kila trophie eti ujenge tena ili ichukue nini tena
Screenshot_20221108-195430_Facebook.jpg
 
TT natamani angepewa nafasi ya kurudi Chelsea aendeleze timu yetu kwasabb hao wachezaji wote ka wanunua yeye huyu average kochi ambaye hawezi kutoa sale na timu alio ijenga mwenyewe Brighton wanini?

Chelsea sio kama Arsnal ambayo hana hata champions league hata moja ndo timu za kujenga chalsea ni ya kuendeleza tu Timu yenye kila trophie eti ujenge tena ili ichukue nini tena View attachment 2410623
Ndoto za mchana, hata kama GP akitimuliwa huyo hawezi kurudishwa kiitifaki na kiprotokali
 
Bashir Humphreys, Omar Hutchinson na Lewis Hall kesho watakuwepo kwenye squad
 
Line up ya kesho

------------------Auba ------------------

Pulisic------------ Havertz ---------- Galagher

--------Kovacic ---------------- Zakaria-----

Cucurela -----Koulibaly ----Chalobah ----Azpilicueta

---------------------- Mendy -----------------------
 
Umeongea points tupu. Sometime tukiweka pembeni ushabiki uchwara na kuchambua soka inapendeza sana. Wachezaji wamechangia na kocha naye anachangia kwa wachezaji kuwa wavivu. Mchezaji akicheza hivyo pale city atasugua benchi hata kama ana jina kubwa
Takwimu haziongopi

Chelsea are the only club in the Premier League without having a player averaging at least one take-on per game. Ruben Loftus-Cheek is Chelsea’s best with 0.9 take-ons per game.

Chelsea attackers are not worrying anyone anytime soon. #CFC #Chelsea
 
Ni kweli mkuu na kubaliana na wewe tuna timu mbovu ukilinganisha na chalsea ya miaka ya nyuma ila hili sio sabb ya kutokua na kocha mwenye mzoefu na mbinu za kisasa, tuanze na kua na kocha mzuri ili tupate wachezaji wazuri.

Huyu wasasa hata ukimpa mbappe na Nayma na kareem benzima akili zake zitamtuma awake laftus cheek kiungoni ku wa feed mipira, mchezaji asio weza kutoa pass sahihi zaidi ya mita 15........na mwishowe ata mtowa Mbappe amweke Broja ndo kocha wetu huyu tulionea
Tuwe na mjadala huru. Hebu niambie unataka ampange mchezaji gani badala ya RLC. Tusiishie tu kuponda toa na suggestion vile unavyoona inafaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi hata wangefugwa 3 nisingeumia sana kama wangecheza vizuri, concern hapa timu imecheza kama vile wamekusanywa mtaani wakaingizwa uwanjani..
Siangalii game ya Chelsea tena mpaka msimu huu uishe ,pumbafu kabisa hawa .
Nitaangalia game ya Chelsea women tu angalau nifaidi kuona wezere zikiubonda mwingi .
Ile game ya arsenal na Brighton ule ulikuwa ni ugay , majitu yanacheza kama yametoka kulaliwa .
Mxieew .
 
Utofauti wa Arteta na Potter upo wazi

Ingawa alikuta the worst squad still he gave us the possible chance of winning, tukiwa na backline ya Mustafi, bellerin, Kolasinac & Sokratis aliwin FA cup mbele ya City & Chelsea.

Game yake ya tatu km kocha wa Arsenal Mikel Arteta ameshinda dhidi ya Man united at Emirates.

Graham potter na system anayotumia 4312 still haoneshi kuipa timu a possible chance of winning, Potter ana squad bora kuliko aliyorithi Mikel Arteta, kusema Chelsea inawachezaji wa hovyo ni jambo la kijinga, kocha apewe muda he is still learning.
Chelsea ina wachezaji wazuri lakini wengi ni majeruhi kwa iyo unaposema kakuta wachezaji wazuri kuliko Arteta alipoikuta Arsenal hebu acha kuwafikiria majeruhi ambao watachukua miezi miwili kuja kurudi uwanjani. Wabovu haumii tena siku izi

Mi naamini kama tungekua hata na Kante, Chilwell na James ile game nyie msingechomoka. Kocha mzuri ila ana wachezaji wa kawaida anahitaji kuwatransform waendelee kujituma kwa ziada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea ina wachezaji wazuri lakini wengi ni majeruhi kwa iyo unaposema kakuta wachezaji wazuri kuliko Arteta alipoikuta Arsenal hebu acha kuwafikiria majeruhi ambao watachukua miezi miwili kuja kurudi uwanjani. Wabovu haumii tena siku izi

Mi naamini kama tungekua hata na Kante, Chilwell na James ile game nyie msingechomoka. Kocha mzuri ila ana wachezaji wa kawaida anahitaji kuwatransform waendelee kujituma kwa ziada

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo fake haya , game ngapi wanakuwepo hao na unafungwa Tena na Arsenal ambayo sio imara kuliko hii...
 
Chelsea ina wachezaji wazuri lakini wengi ni majeruhi kwa iyo unaposema kakuta wachezaji wazuri kuliko Arteta alipoikuta Arsenal hebu acha kuwafikiria majeruhi ambao watachukua miezi miwili kuja kurudi uwanjani. Wabovu haumii tena siku izi

Mi naamini kama tungekua hata na Kante, Chilwell na James ile game nyie msingechomoka. Kocha mzuri ila ana wachezaji wa kawaida anahitaji kuwatransform waendelee kujituma kwa ziada

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo fake haya , game ngapi wanakuwepo hao na unafungwa Tena na Arsenal ambayo sio imara kuliko hii...
IMG_20221106_061907.jpg
 
Unamsemea huyu Zakaria aliyecheza mechi moja akaku impress halafu angemchezesha mechi nyingine akaharibu mngea za kumtukana

Sent using Jamii Forums mobile app
RLC ni takataka , consistency Hana ,Bora zakaria aanze kupewa games za kutosha kupata confidence na experience ya epl labda anaweza onyesha kitu cha ziada .
 
Wewe inaonesha unapenda ubishani, ila tambua Arteta pale Arsenal ana miaka miwili na miez 10 na Siku 15, alikuta kikos Cha wachezaji wavivu , aliweza kuchukua FA CUP na CS akiwafunga Chelsea,mancity na Liverpool .,akitumia 3-4-3, Lakini Siku zote since day one alisema anahitaji kuja kucheza 4-3-3 ,Baada ya kuwaondoa wachezaji wasioendana na mfumo wake ,

Had kufikia msimu uliopita round ya 2 alikuwa ameondoa wachezaji wengi asiowataka ,na round ya 2 akaanza rasmi kutumia 4-3-3/4-2-3-1

HATA POTTER kwa wachezaji waliopo Chelsea hawez kutoboa ,mchezaji Kama Sterling,Auba, Kai, Ziyech ,plus End of era ya kante

Since Aubameyangs departure,Arsenal have won 80 points in the league. Only City with 90 points have more

Nimekupa summary tu, Lakini Kuna kazi kubwa kaifanya kuanzia dressing room had kurudisha amsha amsha kwa mashabiki mechi za nyumbani .

View attachment 2410543
Asipokuelewa na hapa basi si bure huyo Jamaa, labda atakuwa na kipaji cha ubishi.
 
Utofauti wa Arteta na Potter upo wazi

Ingawa alikuta the worst squad still he gave us the possible chance of winning, tukiwa na backline ya Mustafi, bellerin, Kolasinac & Sokratis aliwin FA cup mbele ya City & Chelsea.

Game yake ya tatu km kocha wa Arsenal Mikel Arteta ameshinda dhidi ya Man united at Emirates.

Graham potter na system anayotumia 4312 still haoneshi kuipa timu a possible chance of winning, Potter ana squad bora kuliko aliyorithi Mikel Arteta, kusema Chelsea inawachezaji wa hovyo ni jambo la kijinga, kocha apewe muda he is still learning.
Arteta aliikuta Arse8 ikiwa na Majeruhi wangapi haswa kwa potential players?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom