HaikuhusuWazee pambaneni msimu huu angalau mbebe Europa, ni aibu timu kubwa kama Arsenal inakosa UCL trophies.
Unamzungumzia huyu?au?Chelsea ina wachezaji wazuri lakini wengi ni majeruhi kwa iyo unaposema kakuta wachezaji wazuri kuliko Arteta alipoikuta Arsenal hebu acha kuwafikiria majeruhi ambao watachukua miezi miwili kuja kurudi uwanjani. Wabovu haumii tena siku izi
Mi naamini kama tungekua hata na Kante, Chilwell na James ile game nyie msingechomoka. Kocha mzuri ila ana wachezaji wa kawaida anahitaji kuwatransform waendelee kujituma kwa ziada
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana point haya majamaa kama tumeyakodi tu,kule baku wamshukuru agent cechMawazo fake haya , game ngapi wanakuwepo hao na unafungwa Tena na Arsenal ambayo sio imara kuliko hii...View attachment 2410809
Alikuta timu mbovu Ndio maana kawaondoa karibu wote ,alipofika alisema anataka acheze 4-3-3 ,lakin haon hao wachezaji wakucheza huo mfumo , akaanza kutumia 3-4-3 ,Ni mfumo ulikuwa hautengenez nafasi kabisa za kufunga , ikafika mahali watu wakahoji Mbona timu haichez vzr akarudia kusema anataka kucheza 4-3-3 ,hivo akafanya usafi mkubwa ,had Sasa amefanya kwa 80% kuondoa asiowatakaArteta aliikuta Arse8 ikiwa na Majeruhi wangapi haswa kwa potential players?
People forget that Pep Guardiola spent £200m in his first summer in charge & proceeded to lose 4-2 at Leicester, battered 4-0 at Everton, failed to beat Celtic home & away in CL, lost to Monaco in the knockout rounds, ended up trophyless & 15 points off the summit in the league.Asipokuelewa na hapa basi si bure huyo Jamaa, labda atakuwa na kipaji cha ubishi.
Arteta hajachukua kombe lolote?Ukitumia arsenal kama kipimo cha ubora wa Chalsea hapo umepotea mkuu, aterta pale hajachukua kombe lolote na iko pale miaka mitatu sass, hiyo Arsanal hata kubakia top 4 bado mashaka yapo ligi ndo bado, anaweza kumalizia nafasi hiyo ya nne kama Chelsea ikiendelea kuporomoka, lakini kwa wanao ona na kujua mpira arsenal bado sana.
Misimu miwili tu ikizidi, hiyo mitano ni ya kwakoNa bado mtaongea yote kuhusu kocha, wachezaji mpaka mkome.
Roman alitudekeza na kutuzoesha vibaya kila msimu kocha mpya na kubeba kombe.
Hayo maisha tuyasahau kwa sasa.
Sasa hivi ni mwendo wa miaka 5 bila kombe, tunajenga timu kwanza, Kudadeki.View attachment 2410496
Hata Baku hukuhofia?Na kutokana ya kwamba Arsenal tunaendeleza tulipoishia sisi hii WC inatufavor kuliko wengi tulvyofikiria. January tukisajili winger na mid hata 3 mimi nitaanza sema tunagombea ubingwa.
Niliwahi na hua ninaandika mara nyingi kwamba katika timu sizihofii hata niwe na kikosi kibovu vipi ni chelsea na united.
Kwa iyo unataka kuniambia hii Arsenal haitokuja kufungwa kabisa?Mawazo fake haya , game ngapi wanakuwepo hao na unafungwa Tena na Arsenal ambayo sio imara kuliko hii...
Asipokuelewa na hapa, usijisumbue tenaWewe inaonesha unapenda ubishani, ila tambua Arteta pale Arsenal ana miaka miwili na miez 10 na Siku 15, alikuta kikos Cha wachezaji wavivu , aliweza kuchukua FA CUP na CS akiwafunga Chelsea,mancity na Liverpool .,akitumia 3-4-3, Lakini Siku zote since day one alisema anahitaji kuja kucheza 4-3-3 ,Baada ya kuwaondoa wachezaji wasioendana na mfumo wake ,
Had kufikia msimu uliopita round ya 2 alikuwa ameondoa wachezaji wengi asiowataka ,na round ya 2 akaanza rasmi kutumia 4-3-3/4-2-3-1
HATA POTTER kwa wachezaji waliopo Chelsea hawez kutoboa ,mchezaji Kama Sterling,Auba, Kai, Ziyech ,plus End of era ya kante
Since Aubameyangs departure,Arsenal have won 80 points in the league. Only City with 90 points have more
Nimekupa summary tu, Lakini Kuna kazi kubwa kaifanya kuanzia dressing room had kurudisha amsha amsha kwa mashabiki mechi za nyumbani .
View attachment 2410543
Ndio ulichoelewa hapo?
Mi nazungumzia game ya juzi kulingana na mazingira yaliyopo we unaniletea habari za kipindi Lampard yupoNdio ulichoelewa hapo?
We nawe umekomaa na stori za baku tu,huna jipya twende na current issues........Hata Baku hukuhofia?