Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Sterling moja ya Sajiri za ovyo, Mtamuonea Bure Potter ,Chelsea haina winger za kutia njaa ,
Kuna wavivu wengi ,ila Wana majina makubwa , Kocha wenu asiwe na huruma ,
Kai , Auba, Sterling hawapress ,mchezaji pekee anaye press Chelsea huwa Ni mount ,ila kaingia ndani ya kundi la kina Kai , hivo Chelsea Ni rahisi Sana kuwashambulia maana ina wavivu Kama Wanne hivi,
Mnamsema Broja ila ana msaada kuliko Auba , Kama Auba alikuwa hapati mipira ,Mbona Broja kwa dakika 25 tu aligusa mipira mingi kuliko Auba ambaye akicheza dk 65.
Mpira wakisasa ukiangalia majina utamuona Kocha hafai, kumbe Kuna michezaji mivivu ,
Wachezaji wa mbele wa chelsea siwatofautishi Sana na waliokuwepo Arsenal kipind anafika Arteta walikuwa hawataki kupress na kukaba off the ball.
Pepe sawa na Ziyech
Auba Ndio huyu huyu
Ozil Kama Kai
Mpira wa Sasa unapokuwa na Aina ya wachezaji wa hivi , Ni rahisi kupoteza.
Potter anahitaji muda aondoe baadhi ya watu ,Ndio maana kapewa miaka mitano.
Anahitaji DM , Na CM , kante na kova shughuli imeisha
Kuna wavivu wengi ,ila Wana majina makubwa , Kocha wenu asiwe na huruma ,
Kai , Auba, Sterling hawapress ,mchezaji pekee anaye press Chelsea huwa Ni mount ,ila kaingia ndani ya kundi la kina Kai , hivo Chelsea Ni rahisi Sana kuwashambulia maana ina wavivu Kama Wanne hivi,
Mnamsema Broja ila ana msaada kuliko Auba , Kama Auba alikuwa hapati mipira ,Mbona Broja kwa dakika 25 tu aligusa mipira mingi kuliko Auba ambaye akicheza dk 65.
Mpira wakisasa ukiangalia majina utamuona Kocha hafai, kumbe Kuna michezaji mivivu ,
Wachezaji wa mbele wa chelsea siwatofautishi Sana na waliokuwepo Arsenal kipind anafika Arteta walikuwa hawataki kupress na kukaba off the ball.
Pepe sawa na Ziyech
Auba Ndio huyu huyu
Ozil Kama Kai
Mpira wa Sasa unapokuwa na Aina ya wachezaji wa hivi , Ni rahisi kupoteza.
Potter anahitaji muda aondoe baadhi ya watu ,Ndio maana kapewa miaka mitano.
Anahitaji DM , Na CM , kante na kova shughuli imeisha
