Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Project sii hii hapa ya GP lakini watu washaanza kumpopoa hapa. Unachosema niliwahi kusema watu wakasema hatutakiwi kufanya hivyo sasa naona mnaanza kukubali wenyewe.Timua timua ya makocha haitotupeleka popote kwa sasa, tutaendelea na kuwa vile vile, Arsenal wako hapa walipo coz walimuamini Arteta n now matunda yanaonekana, Arteta kawatoa wale wote aliona haendani nao.
Sisi tukiendelea na huu utamaduni tushinda hivi vikombe vya fa,carabao, ila premier league tutaendeleea kuskia kwa bomba kama hatuna project.
Ipo siku wite humu tutaongea lugha moja
Sent using Jamii Forums mobile app
