Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Labda wapate majeruhi ya key player, tofauti na hivyo wanamaliza top 4 kwa performance waliyonayo, tho anything can happen,

Saiv wanacheza vizuri n unaona kabisa wachezaj wanaipambania team na kutafuta positive result,

Sisi kucheza vizuri kwa moyo wote ilikuwa lini?????msim huu tangu umeanza, hata msim uliopota ni game chache sana tumecheza vizuri
Kwani mwaka jana si aliumia tu Thomas Partey, kidogo washuke daraja, alikuja kuwaokoa ni Partey baada ya kupona. Tukubali Partey ni kiungo muhimu anayeamua Arsenal wachezeje.Na kama kuna mtu anasema tofauti kuwa ni team work. Muwekeni Partey bench muone. Partey ni aina ya Viungo ambao hata sisi Chelsea tunamtamani sana. Katika usajili mliofanya kwa Partey hapo mlilamba dume
 
TT alitimuliwa PSG kwa tatizo linalofanana na hilo la Boehly. Kuna vitu vingine viko nje ya uwezo. Kama mtu unabishana na tajiri aliyetumia mahela mengi kununua timu unategemea ufanyweje.GP sasa ni kocha na muda mfupi ujao mtakuja kukiri afadhali TT alifukuzwa
Sijasema kwamba Potter aondoke hapana, rudia kusoma tena nilichokiandika

Me nimuumini wa kuona kocha anapewa mda, makocha kama Sarri na Potter wanahitaj mda n wachezaj wao ili waimplement falsafa zao vizuri,
 
Mmepiga maiti wala hamna haya kushangilia. Timu ina injuries 8 tena wa first team. Mmecheza na development team na bado mmeshindwa kufunga magoli mengi huku mkishangilia. April Mungu akijalia tutakuwa wote hapo Emirate
SEMA yote usemayo ila kaa ukijua Arsenal ilishinda mechi, and never compare goals with points,,,Cha maana hapo Ni alama 3 ambazo ziliturejeshea kileleni.
 
Ngoja niwatabirie matokeo ya mechi zijazo;

Chelsea 0- 2 Man City
Newcastle 4-0 Chelsea

Take my predictions to the nearest bank for later withdrawal.
 
Ngoja niwatabirie matokeo ya mechi zijazo;

Chelsea 0- 2 Man City
Newcastle 4-0 Chelsea

Take my predictions to the nearest bank for later withdrawal.
Sana sana Newcastle wakijitahidi ni sare, Man city itategemea watakujaje, wakituwekea academy tutawafanya.Ila PEP habaguagi mechi atmuweka hadi Haaland
 
PSG atalaani kwa nini alishika nafasi ya pili
Na Klopp naye atapelekeshwa na wale watoto wa Ancelot. Akina Rodryigo, Camavinga na Aurelien Tchouameni

1667833546934.png
 

Round of 16 ties

  1. RB Leipzig vs Manchester City
  2. Club Brugge vs Benfica
  3. Liverpool vs Real Madrid
  4. AC Milan vs Tottenham Hotspur
  5. Eintracht Frankfurt vs Napoli
  6. Borussia Dortmund vs Chelsea
  7. Inter Milan vs Porto
  8. PSG vs Bayern Munich
 
Mmepiga maiti wala hamna haya kushangilia. Timu ina injuries 8 tena wa first team. Mmecheza na development team na bado mmeshindwa kufunga magoli mengi huku mkishangilia. April Mungu akijalia tutakuwa wote hapo Emirate
Hapa mlikuwa na injuries ngapi mkuu?
images%20(7).jpg
 
Kwakua Sina Chaku Comment Ngoja Nihesabu Zangut1 Mpaka 1000. 01,02,03,04,05,06,07,08,09,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35,36,37,38,39,40,41,42,43,44,45,46,47,48,49,50,51,52,53,54,55,56,57,58,59,60,61,62,63,64,65,66,67,68,69,70,71,72,73,74,75,76,77,78,79,80,81,82,83,84,85,86,87,88,89,90,91,92,93,94,95,96,97,98,99,100,101,102,103,104,105,106,107,108,109,110,111,112, 113,114,115,116,117,118,119,120,121,122,123,124,125,126,127,128,129,130,131,132,133,134,135,136,137,138,139,140,141,142,143,144,145,146,147,148,149,150,151,152,153,154,155,156,157,158,159,160,161,162,163,164,165,166,167,168,169,170,171,172,173,174,175,176,177,178,179,180,181,182,183,184,185,186,187,188,189,190,191,192,193,194,195,196,197,198,199,200, 201,202,203,204,205,206,207,208,209,210,211,212,213,214,215,216,217,218,219,220,221,222,223,224,225,226,227,228,229,230,231,232,233,234,235,236,237,238,239,240,241,242,243,244,245,246,247,248,249,250,251,252,253,254,255,256,257,258,259,260,261,262,263,264,265,266,267,268,269,270,271,272,273,274,275,276,277,278,279,280,281,282,283,284,285,286,287,288,289,290,291,292,293,294,295,296,297,298,299,300,301,302,303,304,305,306,307,308,309,310,311,312,313,134,315,316,317,318,319,320,321,322,323,324,325,326,327,328,329,330,331,332,333,334,335,336,337,338,339,340,341,342,343,344,345,346,347,348,349,350,351,352,353,354,355,356,357,358,359,360,361,362,363,364,365,366,367,368,369,370,371,372,373,374,375,376,377,378,379,380,381,382,383,384,385,386,387,388,389,390,391,392,393,394,395,396,397,398,399,400,401,402,403,404,405,406,407,408,409,410,411,412,413,415,416,417,418,419,420,421,422,423,424,425,426,427,428,429,430,431,432,433,434,435,436,437,438,439,440,441,442,443,444,445,446,447,448,449,450,451,452,453,454,455,456,457,458,459,460,461,462,463,464,465,466,467,468,469,470,471,472,473,474,575,476,477,478,479,480,481,482,483,484,485,486,487,488,489,490,491,492,493,494,495,496,497,498,499,500,501,502,503,504,505,506,507,508,509,510,511,512,513,514,515,516,517,518,519,520,521,522,523,524,525,526,527,528,529,530,531,532,533,534,535,536,537,538,539,540,541,542,543,544,545,546,547,548,549,550
551,552,553,554,555,556,557,558,559,560,561,562,563,564,565,566,567,568,569,570,571,572,573,574,575,576,577,578,579,580,581,582,583,584,585,586,587,588,589,590,591,592,593,594,595,596,597,598,599,600,601,602,603,604,605,607,608,609,610,611,612,613,614,615,616,617,618,619,620,621,622,623,624,625,626,627,628,629,630,631,632,633,634,635,636,637,638,639,640,641,642,643,644,645,646,647,648,649,650,651,652,653,654,655,656,657,658,659,660,661,662,663,664,665,666,667,668,669,670,671,672,673,674,675,676,677,678,679,680,681,682,683,684,685,686,687,688,689,690,691,692,693,694,695,696,697,698,699,700,701,702,703,704,705,706,707,708,709,710,711,712,713,714,715,716,717,718,719,720,721,722,723,724,725,726,727,728,729,730,731,732,733,734,735,736,738,739,740,741,742,743,744,745,746,747,748,749,750,751,752,753,754,755,756,757,758,759,760,761,762,763,764,765,766,767,768,769,780,781,782,783,784,785,788,789,790,791,792,793,794,795,796,797,798,799,800,801,802,803,804,805,806,807,808,809,810,811,812,813,814,815,816,817,818,819,820,821,822,823,824,825,826,827,828,829,830,831,832,833,834,835,836,837,838,839,840,841,842,843,844,845,846,847,848,849,850,851,852,853,854,854,855,856,857,858,859,860,861,862,863,864,865,866,867,868,869,870,871,872,873,874,875,876,877,878,879,880,881,882,883,884,885,886,887,888,889,890,891,892,893,894,895,896,897,898,899,900,901,902,903,904,905,906,907,908,909,910,911,912,913,914,915,916,917,918,919,920,921,922,923,924,925,926,927,928,929,930,931,932,933,934,935,936,937,938,939,940,941,942,943,944,945,946,947,948,949,950,951,952,953,954,955,956,957,958,959,960,961,962,963,964,965,966,967,968,969,970,971,972,973,974,975,976,977,978,979,980,981,982,983,984,985,986,987,988,989,990,991,992,993,994,995,996,997,998,999,1000View attachment 2409500View attachment 2409501
Posts za utumbo kama hizi ziwe zinaripotiwa, huyu akipata ban atajifunza. Hata kama unatania hadi unaweka utumbo hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom