Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuna wachezaji wa hovyo, ila pia kocha ana ujinga wake flani hivi.Kocha hawezi akawa anapaga joginho,havertz na chick. wachezaj wa hovyo kuwahi kutokea.
Kiosi hicho hicho akipewa pep,hakiwez kikacheza hovyo hivyo.
Pep hawez kufundisha mchezaji Kama Auba ,havertz, hawawez hata kupress

Hawawez kuwa na kipa Kama Mendy , labda kepa Ndio atacheza ,

Leo Arsenal tulikaribia kupata magoli mawili KUTOKA kwa Mendy
 
Toed should swallow his pride na amrudishe TT anusuru Chelsea, tangu mwanzo ni lisema huyu kocha wetu potter ni mzuri ila sio wa kiwango cha chalsea hawezi ku manage team ya top 4, mbinu ubunifu wake uko chini sana, hamna cha project wala cha ku-build hana uweza wa Chelsea
 
Toed should swallow his pride na amrudishe TT anusuru Chelsea, tangu mwanzo ni lisema huyu kocha wetu potter ni mzuri ila sio wa kiwango cha chalsea hawezi ku manage team ya top 4, mbinu ubunifu wake uko chini sana, hamna cha project wala cha ku-build hana uweza wa Chelsea
Leo angekuwepo TT unafikiri angefanya nini? Last time tulivyocheza na Arsenal TT alifanya nini? Katika mil 300 alizospend alileta mchezaji gani wa kuimprove team? Tatizo la kuto create chances za kufunga alilisolve vipi?
 
TT apewe heshima yake hata kama alikuwa na shida sehemu mafanikio aliyotupa hakuna kocha alifundisha Chelsea kayapata
Hakuna mtu anayemdharau TT ila ilifika muda ilibidi aende tu. GP naye itakua ivyo ila lazima tukubali kila mtu kwa namna yoyote anahitaji muda kwe ye jambo fulani otherwiseutakua mtenda miujiza kutegemea kushinda katika game kama hizi na situation ya majeruhi kama wodi ya KCMC tuliyonayo darajani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toed should swallow his pride na amrudishe TT anusuru Chelsea, tangu mwanzo ni lisema huyu kocha wetu potter ni mzuri ila sio wa kiwango cha chalsea hawezi ku manage team ya top 4, mbinu ubunifu wake uko chini sana, hamna cha project wala cha ku-build hana uweza wa Chelsea
Kwa bahati mbaya ndio haiwezekani mkuu. GP bado yupo yupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu anayemdharau TT ila ilifika muda ilibidi aende tu. GP naye itakua ivyo ila lazima tukubali kila mtu kwa namna yoyote anahitaji muda kwe ye jambo fulani otherwiseutakua mtenda miujiza kutegemea kushinda katika game kama hizi na situation ya majeruhi kama wodi ya KCMC tuliyonayo darajani

Sent using Jamii Forums mobile app
Timua timua ya makocha haitotupeleka popote kwa sasa, tutaendelea na kuwa vile vile, Arsenal wako hapa walipo coz walimuamini Arteta n now matunda yanaonekana, Arteta kawatoa wale wote aliona haendani nao.

Sisi tukiendelea na huu utamaduni tushinda hivi vikombe vya fa,carabao, ila premier league tutaendeleea kuskia kwa bomba kama hatuna project.
 
Hii unaikimbua kama UKOMA
Screenshot_20221106-234706_1667767686662.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lofter-cheek hovyo kabisa
Nafasi yake ilitakiwa Zaka
Makocha bana hasa wa Uingereza atawapa priority waingereza wezao. Cheek ana shida akiweka mpira mguuni. Anaremba hadi akabwe na kunyang'anywa mpira
 
sio cheek tuu wachezaji wote ni ovyo
Generalization sio njema. Mhemko na hisia hazitakiwi. Chemistry ikiharibiwa na mchezaji mmoja muhimu au wawili timu nzima inaweza kuonelana hovyo. Bado mimi naamini kocha bado hajapatia ni chemistry ipi italeta matokeo mazuri. Pia bado formation na falsafa. Hii ya 433 naona itafaa kuliko 343 labda james, Kante na Chilwell wakiwepo uwanjani. tunahitaji addition ndogo tu. DM na cretive midfiel attacker aidha mmoja mmoja au wawili wawili. Tutahitaji pia RB/ RWB. Hawa wakipatikana utawaona akina Sterling, broja, auba hata pulisic na havertz wakifunga kwa urahisi
Katikati hapo anatakiwa kubaki Kova tena awe sub. Cheek, Jorginho hawatufai tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom