Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Ila goli la Arse8 lilitokana na faulo aliyochezewa Silva ukiangalia kwa makini, lakini Kocha alikuwa wa Arse8 ndiyomaana kadi za njano zimetembea sana kwa Chelsea FC





ukifungwa hata kuandika inakua ni shida
