Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa wachezaji si ndio walitupa Uefa super cup na la dunia inakuwaje leo hii tunasema wabovu TT aliwezaje kuwafundisha
Msimu uliopita walishinda nini hawa wachezaji? Ushindi wa ujanjaujanja wa 1 bila unafikiri unafunction kwenye marathon? Niambie huyo kocha unayemsifia kuanzia second round ya msimu uliopita alishinda big match ngapi?
 
Kushinda uefa ndio kunatupambaza, hatutaki tukubal almost ¾ ya wachezaj tulionao hawafai kuwepo hapo.
Tumeshinda uefa then what next je tumeonesha muendelezo mzuri au ndio ushindi ilimradi ushindi,
even tuchel mwenyewe aliongelea shida inayotusumbua, View attachment 2408628
Kama shida ilikuwa hapa why TT alifukuzwa na hakupewa mda wa kutengeneza hiyo timu unaamini Potter anauwezo wa kutufikisha mbali hata akipewa mda
 
Msimu uliopita walishinda nini hawa wachezaji? Ushindi wa ujanjaujanja wa 1 bila unafikiri unafunction kwenye marathon? Niambie huyo kocha unayemsifia kuanzia second round ya msimu uliopita alishinda big match ngapi?
TT apewe heshima yake hata kama alikuwa na shida sehemu mafanikio aliyotupa hakuna kocha alifundisha Chelsea kayapata
 
Umepiga bomu mochwari

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa
images%20(7).jpg
 
Kama shida ilikuwa hapa why TT alifukuzwa na hakupewa mda wa kutengeneza hiyo timu unaamini Potter anauwezo wa kutufikisha mbali hata akipewa mda
Me ni mmoja kati ya watu niliokuwa namtetea kila siku tuchel humu ndani, nikiamini wachezaj tulionao hawafai.

Rudi miezi ya nyuma, why tuchel alifukuzwa, according to boehly tuchel hakufukuzwa sio kwa sqbabu ya matokeo, bali kutokuwa na maono tofauti na wamiliki.

Wote tutakuja kukubal ipo siku kuwa wachezaj tulionao sasa ¾ hawafai kuwepo.

Tuendelee kufanya rebuilding itakayoendana na mahitaj ya tim na player watakaofit na si ilimradi tuonekane tumesajili,
 
Chief Acha blah blah hapa hazisaidii, Ingia sokoni Sajili wachezaji wenye viwango vikubwa vya kuvaa jezi ya THE BLUES.

Hawa waliopo ndani ya uwanja na benchi ni wastage of time.

Kwa sasa THE BLUES hatuna kikosi chenye wachezaji wa maana wa kutufanya mashabiki tujimwambafai.
Umenena Ukweli,

Kuna kund la wachezaji wavivu karibu 6

Kai havertz

Auba

Mount

Rahim

Pulisic

Kuna wazee

Koloboi

Azpi

Kuna ambao hamtakiwi kuwategemea mtafute replacement haraka

Kova

Kante

James
 
Kumbuka katoka kumwaga £300m Juzi tu hapa
Unamwaga 300M huku ukiwa unaplan zingine, ni wastage of money hapo,

Huwa nasema why uspend 300M huku ukiwa unajua huyo kocha utamfukuza, yani unamsupport kocha kwenye usajil huku ukijua kwamba utamfukuza kwa kutokuwa na maono sawa na wewe, hizo hela ni kama hatujafanya kitu. Tunaonekana wabovu kuliko hata msim uliopita
 
Unamwaga 300M huku ukiwa unaplan zingine, ni wastage of money hapo,

Huwa nasema why uspend 300M huku ukiwa unajua huyo kocha utamfukuza, yani unamsupport kocha kwenye usajil huku ukijua kwamba utamfukuza kwa kutokuwa na maono sawa na wewe, hizo hela ni kama hatujafanya kitu. Tunaonekana wabovu kuliko hata msim uliopita
Upo sahihi ,hiyo £300m Kama kaitupa jalalani tu
 
Unamwaga 300M huku ukiwa unaplan zingine, ni wastage of money hapo,

Huwa nasema why uspend 300M huku ukiwa unajua huyo kocha utamfukuza, yani unamsupport kocha kwenye usajil huku ukijua kwamba utamfukuza kwa kutokuwa na maono sawa na wewe, hizo hela ni kama hatujafanya kitu. Tunaonekana wabovu kuliko hata msim uliopita
Vita ya Russia na Ukraine imesababisha yote haya
 
Umesajili replacement ya Lukaku haya Auba ameongeza nini kwenye ufungaji?

Umesajili Cucurela mbadala wa Alonso, tunamiss Alonso kwenye kuassist na kufunga magoli.

Cucurela anacheza kama ameliwa na funza, ukiniambia anafanya nini uwanjani hata sielewi. Bora hata asipande juu abaki tuu chini aruke ruke.
ameliwa na funza tena daahGUNNERS forever
 
Umesajili replacement ya Lukaku haya Auba ameongeza nini kwenye ufungaji?

Umesajili Cucurela mbadala wa Alonso, tunamiss Alonso kwenye kuassist na kufunga magoli.

Cucurela anacheza kama ameliwa na funza, ukiniambia anafanya nini uwanjani hata sielewi. Bora hata asipande juu abaki tuu chini aruke ruke.
Yani hakuna afadhali kabisa alonso alikuwa anatusaidia kwenye kushambulia na kufunga pamoja kukaba ilikuwa shida
 
Tumpe heshima yake Tuchel. Watu mlikuwa mnampomda sana humu sisi tuliokuwa tunamtetea tulionekana tunamahaba ila ukweli tuliona kitambo sana.

Kwa kikosi tulichonacho tuchel alijitahidi sana kumaliza top 4 na kwenda fainal 5.
 
Daah hii dunia haiko fair, tar 9 jumatano tunaenda kuchakatwa tena na city.

Nilisema pale hatuna kocha watu wakasema yule ni mwamba haswaa.
Kocha gani anakuwa na poor selection ya first eleven?, unaingiza watumishi hewa kibao huku unajua unaenda kucheza na timu inayohitaji uwe na ulinzi shirikishi?.
Naendelea kumlaumu Putin, Ukraine na washirika wake maana wametuondolea Bepari wetu Roman Abromovic ambaye kamwe asingevumilia upuuzi huu.
acha tupigweee tuuu maana huyu kocha ni choko, hivi kati ya makocha wote duniani huyu ndio tuliona ni kocha????
 
Tuna wachezaji wa hovyo, ila pia kocha ana ujinga wake flani hivi.Kocha hawezi akawa anapaga joginho,havertz na chick. wachezaj wa hovyo kuwahi kutokea.
Kiosi hicho hicho akipewa pep,hakiwez kikacheza hovyo hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom