Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha wa Chelsea kazingua mno, Jognho, Auba, Sterling na Kai wote ni watumishi hewa timu ikiwa inashambuliwa.
Ilitakiwa hapo kati aongezeke Mateo halafu weka benchi Kai au Sterling.
Huu mchezo tujitahidi tufungwe chache tu lakini hatuna uwezo wa kumfunga Arsenal kwa kikosi hicho labda wasiwe na bahati.
 
Leo asenyeto lazima tumnajisi kinyume na maumbile ili heshima iwepo ,aisee leo Potter na vibwengo wake wale wasilete utani kabisa ,asenyeto afe pakiti ya ndomu
 
Hi mechi tutaishinda ila mjue kocha wetu ana zingua sana, anafanya makosa ya kawaida middle field yetu imekufa kabisa, kwanini unamacha Mateo na koulbary nje toa lofatus cheek na chalobah sio viwango wa Chalsea kwa mipira mizito kama hu, Azzippe hawezi kupanda kwasbb Chaloba hawezi kuzuia incase ya counter attack, hi Derby inahitaji wachezaji wenye uzoefu weka Zakaria towa kei mpira umemmgomea leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom