Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

sasa uyu nae alikuwa anafanya nini hapa kamkumbatia mtu muda wote utadhani mmewe.
Screenshot_20221106-155627.jpg
 
OllaChuga Oc lembu huwa mna kelele sana kwenye jukwaa letu kumbe team yenu ndio hii?Chelsea mnayoitambia?matak* yenu tumewanyanyasa kinyuma na mbele I think itakuwa mwisho wa kuja kupiga kelele kwenye jukwaa na Arsenal
Lazima tuwe na kelele ninyi Arse8 mna kombe lolote la Wanaume "UEFA/ WORLD CLUB CHAMPIONSHIP CUP"
 
Kinacho tuuma ni kume fungwa na Arsenal mbovu kwasabb ya majeruhi wengi akiwemo na kocha huyu chakinorisi wenu hatupeleki popote ana bahatisha mbinu.
Pamoja na ubovu wao wote Arse8 lakini ndiyo timu pekee EPL iliyokaa na wachezaji wengi vijana kwa zaidi ya miaka mitatu iliyopita, lazima wawe na chemistry nzuri
 
Tim mbov sana hii,

Tuchel alikuwa yuko sahihi, japo watu tulimuona hafai.

Tumemfanya arsenal aonekane kama prime barcelona or city,

Sion tukishinda game yoyot katika game 2 zijazo
Carabo cup dhid ya city naona kabisa tunatolewa,
Game ya league dhid ya newcastle naona tunaona poteza

Game ya 4 kwenye league hatuna ushindi
 
Tim mbov sana hii,

Tuchel alikuwa yuko sahihi, japo watu tulimuona hafai.

Tumemfanya arsenal aonekane kama prime barcelona or city,

Sion tukishinda game yoyot katika game 2 zijazo
Carabo cup dhid ya city naona kabisa tunatolewa,
Game ya league dhid ya newcastle naona tunaona poteza

Game ya 4 kwenye league hatuna ushindi
Tuendelee kufungwa tu ili michezaji hovyo hovyo yote ipukutike tusajili wachezaji wapya ndipo tutakuwa wazuri.

Hakuna wachezaji kaliba ya;
Didie Drogber,
Diego Costa,
Eden Harzad,
Sesc Fabregas,
Lampard,
John Terry.

Tuendelee kuumia hata kwa miaka miwili hivi tukitafuta wachezaji wenye hadhi ya kuchezea klabu kubwa ya Chelsea mabingwa watetezi wa klabu bingwa ya dunia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom