Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahaha

Sasa wazee mnatutukana tumewakosea nini?

Kwani kuna ambaye alishasema timu yetu ina uwezo wa kuifunga Arse8?

Mnatuonea bure tuu.

Kutesa kwa zamu.

Mpaka kesho nitailaumu vita Ukraine, Roman asingevumilia huu unyanyasaji wa kudumu.
Tulia mpakwe kilainishi umbwa nyie
JamiiForums14192455.jpg
 
Hahahaha

Sasa wazee mnatutukana tumewakosea nini?

Kwani kuna ambaye alishasema timu yetu ina uwezo wa kuifunga Arse8?

Mnatuonea bure tuu.

Kutesa kwa zamu.

Mpaka kesho nitailaumu vita Ukraine, Roman asingevumilia huu unyanyasaji wa kudumu.
Deep Pond siyo Arse8 ni mamluki wa liverkuku na leo kinyoleo kinamuhusu ni muda tu.

Ana haki ya kutoa povu maana timu yake imetoka kufungwa mechi 2 mfululizo kama sisi Chelsea FC
 
Sanaaaaa chief mpaka leo hatujapata replacement ya Fab na Hazard.

Hazard alikuwa anatupa kujiamini muda wowote anaweza kuamua mechi.

Sasa hivi THE BLUES kule mbele hatuogopeshi, tunatia huruma.
The day madogo hapa walipotubishia kwa kutuambia kuwa Pulisic ni replacement ya Hazrd ilikuwa ni kituko sana
 
Leo mmelowa vizuri kuliko siku zote hatimaye mmekuwa wala mihogo naona amewaponza Aubeumeyang aliyewatukana Arsenal nao wakamwambia tunakuja hapohapo na sasa yametimia...
Kila mwezi mnashinda game moja utadhani menstration period kuanzia wa 8 sasa November msiposhinda tunawaletea ndimu na limao tutajua tayari imejibu shenzi kabisa nyie safari hii hatuwaachi.

Saafi harusi tutaimalizia kwa mwanaume maana wote mnajua taratibu zote.
 
Kosa kubwa kumuondoa Tuchel yule bonge la kocha alitakiwa apewe muda aweke mambo sawa. Rahem kama hawezi kucheza mbele akae bench sio kumpa wing back. katika lazima wacheza watatu hii 4222 haifai
Kwa hiyo unaamini tatizo sio wachezaji ni kocha? Aliyemleta huyo Sterling si ni huyo TT. Narudia tena kuwaambia washabiki type yako hata aje Guardiola kwa hawa wachezaji wasioweza hata kuhold mpira kwa sekunde 10 tutamuona ni chenga. Timu inazidi kuporomoka kwa misimu kama minne hivi ila bado tunakaza fuvu na kuamini tatizo ni makocha sio hawa championship players
 
Daah hii dunia haiko fair, tar 9 jumatano tunaenda kuchakatwa tena na city.

Nilisema pale hatuna kocha watu wakasema yule ni mwamba haswaa.
Kocha gani anakuwa na poor selection ya first eleven?, unaingiza watumishi hewa kibao huku unajua unaenda kucheza na timu inayohitaji uwe na ulinzi shirikishi?.
Naendelea kumlaumu Putin, Ukraine na washirika wake maana wametuondolea Bepari wetu Roman Abromovic ambaye kamwe asingevumilia upuuzi huu.
 
Daah hii dunia haiko fair, tar 9 jumatano tunaenda kuchakatwa tena na city.

Nilisema pale hatuna kocha watu wakasema yule ni mwamba haswaa.
Kocha gani anakuwa na poor selection ya first eleven?, unaingiza watumishi hewa kibao huku unajua unaenda kucheza na timu inayohitaji uwe na ulinzi shirikishi?.
Naendelea kumlaumu Putin, Ukraine na washirika wake maana wametuondolea Bepari wetu Roman Abromovic ambaye kamwe asingevumilia upuuzi huu.
Hata aje guardiola kwa wachezqj hawa ambao hawawez piga hata pass 5,yan kila mchezaj anaogopa kukaa na mpira ,utamuona hafai

Team imejaza matakataka kibao, no fighting spirit inayoneshwa wanapokuwa nyuma ,yani tunacheza kama vile tunakamilisha ratiba.
 
Tukishatanguliwa tu huwa hatuna uwezo wa kuchomoa, wachezaj tulio nao hawaonyeshi fightin spirit yeyote ya kutafuta goal, wapo wapo tu, yani ni kama vile tunacheza kama vile ni bonanza, hatuhangaiki kutafuta magoal, tupo tupo tu.


If kila mchezaj angekuwa anatoa hata 70% ya anachotoa silva n james, tusingekuwa tunacheza hivi
 
kuna mtu kapost elite players waliokuwa wanaibeba chelsea the likes of;
drogba
hazard
lampard
diego costa
terry
nafikir kuna kitu amesahau kuwa soka sio traditional based ila custom based japo kuna mambo ya identity na culture kiasi chake.
wachezaji hao anaowazungumzia wangekuwepo leo kwa custom ya soka la sasa huenda tungezungumza mengine
 
Kwa hiyo unaamini tatizo sio wachezaji ni kocha? Aliyemleta huyo Sterling si ni huyo TT. Narudia tena kuwaambia washabiki type yako hata aje Guardiola kwa hawa wachezaji wasioweza hata kuhold mpira kwa sekunde 10 tutamuona ni chenga. Timu inazidi kuporomoka kwa misimu kama minne hivi ila bado tunakaza fuvu na kuamini tatizo ni makocha sio hawa championship players
Hawa wachezaji si ndio walitupa Uefa super cup na la dunia inakuwaje leo hii tunasema wabovu TT aliwezaje kuwafundisha
 
Hawa wachezaji si ndio walitupa Uefa super cup na la dunia inakuwaje leo hii tunasema wabovu TT aliwezaje kuwafundisha
Kushinda uefa ndio kunatupambaza, hatutaki tukubal almost ¾ ya wachezaj tulionao hawafai kuwepo hapo.
Tumeshinda uefa then what next je tumeonesha muendelezo mzuri au ndio ushindi ilimradi ushindi,
even tuchel mwenyewe aliongelea shida inayotusumbua,
20221106_170613.jpg
 
Hawa wachezaji si ndio walitupa Uefa super cup na la dunia inakuwaje leo hii tunasema wabovu TT aliwezaje kuwafundisha
Rudi kwenye pre season tuch3l alivyokuwa analalamika baada ya kufungwa goal 4 na Arsenal, sianajua wachezaj ni wale wale waliompa uefa,super cup,cwc, why alisema hivi wakat ni same player waliompa mafanikio??? Bobbyray
20221106_170613.jpg
 
Auba kacheza dk 64 kagusa mpira mara 8 tu. Nothing personal


Broja kaingia kacheza dk chache tu kagusa mara 30 sijui

Auba Ni mfanyakazi hewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom