Naomba kwa niaba ya wana OT niwaulize, mwili wa marehemu utaingia Darajani leo au kesho?

Tunaomba mwili uchelewe ili tuendelee kupata sehemu ya kushinda na kucheza karata.

Tunatambua wiki moja kabla baada ya marehemu kuponyoka mikononi mwa shetani mwekundu, marehemu alipiga kelele sana lakini hatuna budi kuja kuomboleza nanyi.

Ndugu mfiwa OllaChuga Oc tunafahamu hapa ni msibani, lakini ndio mtupe chai na andazi moja? Kwani sisi ndio tuliua marehemu?
 

Naomba kwa niaba ya wana OT niwaulize, mwili wa marehemu utaingia Darajani leo au kesho?

Tunaomba mwili uchelewe ili tuendelee kupata sehemu ya kushinda na kucheza karata.

Tunatambua wiki moja kabla baada ya marehemu kuponyoka mikononi mwa shetani mwekundu, marehemu alipiga kelele sana lakini hatuna budi kuja kuomboleza nanyi.

Ndugu mfiwa OllaChuga Oc tunafahamu hapa ni msibani, lakini ndio mtupe chai na andazi moja? Kwani sisi ndio tuliua marehemu?
1667114468498.png
 
MY ANALYSIS
Mechi ya Jana yamechangiwa na makosa mawili makuu ambayo yamepelekea sisi kufungwa

1. Upande wa Wachezaji

Tuna wachezaji ambao hawajitumi na hawaoneshi hali ya upambanaji magoal yote tumefungwa na wachezaji kuwa careless tunatoa manolo ya ovyo hata pale tulipoweza kufunga goal Moja na mchezo ukawa wetu lakini wachezaji wetu hawakuonesha kweli wanataka matokeo build up ya kushambulia ni slow, kuna Wachezaji unakuta wanatembea uwanjani badala ya kufanya runs

2. Upande wa Kocha

Kiasi chake nae kachangia kuanzia selection mpaka mfumo wa kucheza dhidi ya Brighton hakuwapa heshima Brighton kabisa. Cucurella katika game zote alizomchezesha kama lcb kachemka lakini chakushangaza still Jana kampanga nafasi hiyo hiyo ninaposhindwa kuelewa hapa? Sterling na Pulisic si wakabaji kabisa kwanini uwapange wing back? Ukiachana na weekness hizo pia tulikuwa tuna shida kwenye middle hatukuwa na watu wakucontrol game hapa ndio unakuja kuona umuhimu wa Jorginho, kova na RlC hawa wote sio wakabaji na wala hawana sifa ya kutuliza team inaposhambuliwa ( kupooza mashambulizi ya opponent). kova atakusaidia kwenye kudrive team iende mbele so aliitaji awe na mchezaji mwenye sifa ya ukabaji au wenye aina ya uchezaji wa Jorginho ili acheze nae, kutokana na udhaifu wa middle ndio ilipelekea Brighton watufikia kirahisi goli letu. Sijui kwanini Denis Zakaria asipewe namba kwa mchezaji wa ovyo kama RlC mpaka Leo nitapinga RlC sio kiungo wa Kati na hana sifa yoyote kucheza Hilo eneo RlC nafasi yake nzuri ni kiungo mshambuliaji na kidogo kwenye wing back basi.
Kuna wakati game ilikuwa yetu hasa kipindi Cha pili nilitegemea kocha atamuingiza Jorginho au Denis Zakaria angalau aweke balance kwenye kikosi lakini kuwadhibiti Brighton
lembu
Cash Money Forever
Analysis yako nzuri sana ila pale kwa Jorginho angeboronga tena zaidi kwa maoni yangu. Weakness kubwa ya Jorginho ni kwenye mechi ambazo mpinzani anacheza kwa pace kubwa na high pressing kama ile ya jana ya Brighton. Angekuwepo Jorginho sio tu angekuwa na too many individual errors pia angewasaidia Brighton kufunga magoli zaidi. Jorgnionho anaonekana mchezaji mzuri kama mpinzani anacheza passive football, mpira wa kawaida bila ukatili wowote
 
Analysis yako nzuri sana ila pale kwa Jorginho angeboronga tena zaidi kwa maoni yangu. Weakness kubwa ya Jorginho ni kwenye mechi ambazo mpinzani anacheza kwa pace kubwa na high pressing kama ile ya jana ya Brighton. Angekuwepo Jorginho sio tu angekuwa na too many individual errors pia angewasaidia Brighton kufunga magoli zaidi. Jorgnionho anaonekana mchezaji mzuri kama mpinzani anacheza passive football, mpira wa kawaida bila ukatili wowote
Brighton hakufanya pressing kubwa kama ulivyoizungumzia wewe ile ya Man u ndio ilikuwa kubwa compare na hii ya Brighton sema sisi tuna wachezaji laziness ndio maana unaona hivyo
 
Sababu kuu za Chelsea kushindwa jana
  1. Brighton pace na pressing ilikuwa juu sana mbali kabisa na pace ya Chelsea. Inaonekana walikamia kutufunga
  2. Poor line-up. Wachezaji kucheza out of position na kufanya transition ya Brighton kuwa rahisi kwenye kushambulia
  3. Mabeki hawakuwa makini na kuwa na too many individual errors hasa golini, goli la kwanza Silva alitoa mpira kirahisi, magoli mawili ya kujifunga. Almost magoli matatu ya sadaka kwa Brighton. Cucurela sio mchezaji wa kuanza, tangu ahamie Chelsea amekuwa ni mzito sana kwenye kukaba. Alifanyika mteremko mno
  4. Foward wetu hawakuwa makini kama kawaida yao, nafasi za wazi zilipotezwa kizembe
Conclusion

Next week
Arsenal 5 vs Chelsea 0

Thanks for participating
 
Brighton hakufanya pressing kubwa kama ulivyoizungumzia wewe ile ya Man u ndio ilikuwa kubwa compare na hii ya Brighton sema sisi tuna wachezaji laziness ndio maana unaona hivyo
Magoli mawili ndani ya dk 13 na zote ni kwa sababu ya pressing kubwa
Kipindi cha pili ndio Brighton walipunguza na nadhani wewe unachukulia hiyo
Brighton walicheza kwa hasira
Potter kuondoka kwake haikuwafurahisha wengi, mashabiki na wachezaji
Kuondoak na wasaidizi wake 6 sio mchezo. Mpira ule waliukamia na ile pressing ilikuwa so high hasa kipindi cha kwanza. Angalia replay
 
Denis Zakaria ni mzuri kwenye kuwin mipira pale katikati. Kwa nini Potter hamjaribu? au ndio siri gani imejificha hapo?
Cheek, Jorginho na Kovacic sio wazuri sana kwenye kupokonya mipira kama Kante anavyofanya. Si wamjaribu huyo mdogo wake na Kante?
 
Commentator
Dakika ya 80+
As time goes chelshe looks more stupidity, in every Two forward passes there are 10 back passes
Ladies and gentlemen and this is chelshe we used to know

Nyie mafala muanze kujadili kikosi ambacho hamtakua na kizingizio tukiwa tunawapiga hii style
JamiiForums-979296567.jpg
 
Sajili za Chelsea hazikuendana kabisa na uwezo wa wachezaji waliosajiliwa
  1. Wesley Fofana Euro 80m - over priced
  2. Marc Cucurella Euro 65m - over priced
  3. Rahim Sterling Euro 56m - over priced
  4. Kalidou Koulibaly Euro 38m - over priced
  5. Denis Zakaria -mkopo wa Euro 3m - ataondoka hata bila kucheza
  6. Pierre Emerick Aubameyang Euro 12m - no comment
  7. Carney Chunkwuemeka Euro 18m - no comment
 
Baada ya kumfukuza Tuchel aliekua na wastan wa ushindi wa 60% na kumleta kocha asie na mafanikio Graham Potter ni rasmi sasa baada ya kipigo Cha jana Graham Potter ndo kawa kocha wa kwanza wa Chelsea kufungwa na Brighton kwa miaka 89 iliyopita mara ya mwisho chelsea kufungwa na Brighton ni Jan 14 mwaka 1933 kwenye FA cup enzi hizo kocha ni David Calderhead.

Chelsea tulitumia £260M kwenye usajili dirisha lililopita pesa nyingi zaid kwenye usajili kuliko timu zote za ulaya, lakin hadi sasa ni mzunguko wa 12 wa Epl na mfungaji mwenye magoli mengi ni Kai Havertz mwenye Goli 3 tu Epl, huku akiwa na offside nyingi kuliko wachezaji wote Epl kafikisha offside 12 hakuna mchezaji yoyote wa Epl aliemfikia hadi sasa.

Kabla sijasahau naomba pia nikumbushe tangu Potter akabidhiwe timu kabadilisha formation Mara 9 na hii ni Mara ya kwanza kwa Brighton kuifungwa Chelsea tangu ligi ya Epl ianzishwe, na ni mara ya kwanza wachezaji wa Chelsea kujifunga goli mbili katika mechi 1 ya Epl.

...Despite everything nina mengi sana ya kusema lakin sina nguvu ya kuongea ila nimejitahidi tu kama kaka wa familia niseme chochote hasa katika kipindi hiki ambacho ndugu zangu hawana nguvu ya kuongea.


Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
 
Hivi viazi vilikua vinatamba kusajili leo vinasema overpriced mara sijui nini na nini. Kuna mashabiki wa timu mbili wana ujinga mno mojawapo ni hawa hapa.

Ollashoga limeenda wapi?
 
Baada ya kumfukuza Tuchel aliekua na wastan wa ushindi wa 60% na kumleta kocha asie na mafanikio Graham Potter ni rasmi sasa baada ya kipigo Cha jana Graham Potter ndo kawa kocha wa kwanza wa Chelsea kufungwa na Brighton kwa miaka 89 iliyopita mara ya mwisho chelsea kufungwa na Brighton ni Jan 14 mwaka 1933 kwenye FA cup enzi hizo kocha ni David Calderhead.

Chelsea tulitumia £260M kwenye usajili dirisha lililopita pesa nyingi zaid kwenye usajili kuliko timu zote za ulaya, lakin hadi sasa ni mzunguko wa 12 wa Epl na mfungaji mwenye magoli mengi ni Kai Havertz mwenye Goli 3 tu Epl, huku akiwa na offside nyingi kuliko wachezaji wote Epl kafikisha offside 12 hakuna mchezaji yoyote wa Epl aliemfikia hadi sasa.

Kabla sijasahau naomba pia nikumbushe tangu Potter akabidhiwe timu kabadilisha formation Mara 9 na hii ni Mara ya kwanza kwa Brighton kuifungwa Chelsea tangu ligi ya Epl ianzishwe, na ni mara ya kwanza wachezaji wa Chelsea kujifunga goli mbili katika mechi 1 ya Epl.

...Despite everything nina mengi sana ya kusema lakin sina nguvu ya kuongea ila nimejitahidi tu kama kaka wa familia niseme chochote hasa katika kipindi hiki ambacho ndugu zangu hawana nguvu ya kuongea.


Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
Mwisho wa ligi uje pia kutoa analysis yako nzuri sana
 
Sajili za Chelsea hazikuendana kabisa na uwezo wa wachezaji waliosajiliwa
  1. Wesley Fofana Euro 80m - over priced
  2. Marc Cucurella Euro 65m - over priced
  3. Rahim Sterling Euro 56m - over priced
  4. Kalidou Koulibaly Euro 38m - over priced
  5. Denis Zakaria -mkopo wa Euro 3m - ataondoka hata bila kucheza
  6. Pierre Emerick Aubameyang Euro 12m - no comment
  7. Carney Chunkwuemeka Euro 18m - no comment
Ukiangalia hizo sajiri project ilikua ya Thomas T
At that time Potter hakuwa kwenye ramani

Tuchel anapendekeza bosi anaingia sokoni
Maana hamkua na director

Potter anakuja kukutana na wachezaji preference za Tuchel

Ndio maana Mendy akaanza kusugua bench, kepa akarudi mchezoni
Potter hataki kumuelewa Zakaria, kama zakaria asivyoelewa kwenye kula mshahara

Kama Auba anakuja Chelsea, alishawai kufanya kazi na Tuchel
Sitashangaa akila bench au msimu ujao akatafuta chaka lingine kwa kutoelewana na potter
Kiukweli Auba ni jeuri na kiburi sana
Na zaidi Auba mpira umeisha kwa sasa

Potter anaumiza kichwa ku-integrate wachezaji
Afanye nini ili wakae kwenye mifumo
Bado anatafuta squard itakayoenda na falsafa zake kwa wachezaji aliopendekeza Tuchel
Haitakua ajabu sterling na cucurela wakila bench
Ndio maana pre-season ni muhimu sana kwa makocha na wachezaji pia

Potter atataka wachezaji wake ili asiwe na excuses,
Anahitaji madirisha ya usajiri sio chini ya mawili
Kutoa wasioendana na mifumo yake na kuweka watu wake

Vitu vidogo kama hivi kuna KENGE humu haziwezi kuvielewa
Na muwe na heshima na adabu mnavyokuja kwenye magroup ya wanaume kule the gunner
 
Back
Top Bottom