lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,474
- 25,802
Naomba kwa niaba ya wana OT niwaulize, mwili wa marehemu utaingia Darajani leo au kesho?
Tunaomba mwili uchelewe ili tuendelee kupata sehemu ya kushinda na kucheza karata.
Tunatambua wiki moja kabla baada ya marehemu kuponyoka mikononi mwa shetani mwekundu, marehemu alipiga kelele sana lakini hatuna budi kuja kuomboleza nanyi.
Ndugu mfiwa OllaChuga Oc tunafahamu hapa ni msibani, lakini ndio mtupe chai na andazi moja? Kwani sisi ndio tuliua marehemu?