Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hili goli ni la kifala Sana ,sijui hata huyu pimbi Kepa aliruka nini sasa , yaani huo Mpira kashindwa kudaka , jinga kabisa .
Thiago na Azpi nao walizingua
Sad stort namuona Keppa anafit sana kwenye style ya mashambulizi kuanzia kwa kipa.

Mendy yale mambo ya kumrudishia mipira aanzie mashambulizi tutakuwa tunaconcede goal siyo chini ya 4 kila match.
 
Broja jana kacheza vizuri, naamini mbele angecheza Auba na Broja, Sterling na Mount wakashuka kwenye atatcking midfield na Jo na Kova wakacheza kama CM na huku nyuma tukacheza backline ya 4, yaani formation ingekuwa 4-4-2 jana ingependeza zaidi.

---------Auba ------------------ Broja-------

Sterling ------Jorgninho -------Kovacic --------Mount

Cucurella ------Koulibally --------Silva au fofana --------James

-------------------- Mendy ---------------------

Jana tungeshinda
James kwa sababu ya uwezo wake hata angesogea juu ikawa 3-5-2 kama alivyocheza ingekuwa poa sana.
 
The blues tunapitia kipindi kigumu hiki kwasbb hi team ndo inasukwa upya ili iwe tishio mbeleni, wakati huo sie mashabiki wa Chelsea tume zoea kubeba vikombe au trophies kila msimu angalao kimoja au viwili sisi hatuna stress kama mashabiki wa arsenal au Man u hiyo ndo hobby yetu.

Sasa tuko tayari kuvumilia hilo ila wasi wasi yangu ni Ghram Potter huyu kocha muingereza ana falisafa gani ambayo atakao fundisha the blues!!!!

Makocha wengi wa uingereza hawana mbinu za kisasa za soka ndo maana hamna kocha mngereza ambaye kasha wahi kuchukua Epl, simaanishe kwamba Potter ni kocha mbaya hapana, lakini ni kweli ni upgrade ya TT? au tutarudu kule kule mpaka afukuzwe ndo tuanze upya tena.

Soka la sasa limebadilika lakini uingereza hawajabadilika ukocha wao ndo maana wengi wana struggle kwenye league yao wenyewe, makocha wageni wanafanikiwa wao hata nafasi ya nne hawapati, hata timu ya taifa alisha wahi kutafuta makocha wageni kufundisha timu yao baada ya kugundua hilo.

Je kocha potter atakua na jipya?
Mimi sina mashaka na Potter kwa sababu nimeiona Brighton aliyokua anaifundisha. Pale alipata muda wa kuijenga timu imara yenye vipaji cha muhimu ambacho naona kwa mkataba alopewa wa miaka mitano hizo ni long term plans za boss. It means anaomuda wa kujenga timu imara na shindani kwa muda mrefu zaidi huku akipewa ushirikiano na boss katika madirisha ya usajili na kuondoa takataka zilizomo.
 
Mimi sina mashaka na Potter kwa sababu nimeiona Brighton aliyokua anaifundisha. Pale alipata muda wa kuijenga timu imara yenye vipaji cha muhimu ambacho naona kwa mkataba alopewa wa miaka mitano hizo ni long term plans za boss. It means anaomuda wa kujenga timu imara na shindani kwa muda mrefu zaidi huku akipewa ushirikiano na boss katika madirisha ya usajili na kuondoa takataka zilizomo.
Mkuu hilo ni sawa anaweza akajenga timu nzuru inao weza kuingiza pesa nyingi kwa tajiri kwa kuuza wachezaji wengi wa academy ila asiweze kuchukua epl au uefa ambavyo ni lengo letu kuu,

Suali langu muhimu lilikua je Potter ana jipya la kutuongezea au ni wa kutuendeleza kama tulivo kua kwa kumalizia kwenye top 4 na sio kubeba epl.

Inawezekana Potter akawa kocha mngereza wa kwanza kufuta hisitoria kwa kubeba epl akiwa with blues?
 
Nilipita tu
20220915_130304.jpg
 
Mkuu hilo ni sawa anaweza akajenga timu nzuru inao weza kuingiza pesa nyingi kwa tajiri kwa kuuza wachezaji wengi wa academy ila asiweze kuchukua epl au uefa ambavyo ni lengo letu kuu,

Suali langu muhimu lilikua je Potter ana jipya la kutuongezea au ni wa kutuendeleza kama tulivo kua kwa kumalizia kwenye top 4 na sio kubeba epl.

Inawezekana Potter akawa kocha mngereza wa kwanza kufuta hisitoria kwa kubeba epl akiwa with blues?
Ndio inawezekana na pia ni proper upgrade ya TT
 
Mategemeo yangu kwa Potter ni kulinda timu yetu kutoshuka daraja angalau na kumalizia nafasi ya 4, au ya Uropa hayo ili tuvuke kipindi hiki wakati tunasubilia kocha wetu sahihi na Boeh tajiri anapata uzoefu wa biashara ya mpira wa wingereza.

Hayo ndo mategemeo yangu makuu kwa kocha wetu sitaki kujipa stress na hasira za bure wakati kocha wetu ni mzuri ila hawezi kufanya juu ya uwezo wake, hana record hiyo ni lazima limchukulie mda angalau 2-5yrs kubeba epl ila nani wakumvumilia huo mda wote bila .
 
1. Kocha mzuri + wachezaji wa viwango vya juu =

2. Kocha mzuri + wachezaji wa viwango vya kawaida

3. Kocha wa kawaida + wachezaji wa viwango vya juu

4. Kocha wa kawaida + wachezaji wa viwango vya kawaida

Je kwa sasa tuna kocha mzuri/Kawaida?

Je kwa sasa tuna wachezaji wa viwango vya juu/kawaida?

MAJIBU YATAPATIKANA MWISHO WA MSIMU.
Sio mpk usibiri mwisho wa msim kujaji wachezaj wetu,
Inshort tunawachezaj wakawaida tu

Kushinda UCL kulitupumbaza, tukaamin tunatim nzuri, ila ukweli tunawachezaj wakawaida,

Wachezaj wachache tulionao hawazidi 5 ndio wa viwango vya juu ndio maana kila game utakuta wanatoa performance nzuri
 
Mimi sina mashaka na Potter kwa sababu nimeiona Brighton aliyokua anaifundisha. Pale alipata muda wa kuijenga timu imara yenye vipaji cha muhimu ambacho naona kwa mkataba alopewa wa miaka mitano hizo ni long term plans za boss. It means anaomuda wa kujenga timu imara na shindani kwa muda mrefu zaidi huku akipewa ushirikiano na boss katika madirisha ya usajili na kuondoa takataka zilizomo.
Ila huo muda hautakuwa na manufaa kama virusi wataendendelea kuwepo dressing room
 
Roman Abramovich alivyoinunua THE BLUES, transformation alizozifanya mbali na management ni:-

Kuleta makocha wakubwa
Kusajili wachezaji wenye viwango vikubwa

Hii ilitoa picha/ujumbe kwa mashabiki kwamba malengo yake yalikuwa kuifanya THE BLUES iwe club kubwa kimakombe.

Utawala wa Roman Miaka 19, Makombe 21.

Toddy Boehly ameinunua THE BLUES tunaona transformation anazofanya:-

Amefukuza management yote (Sawa jambo jema anaweka watu ambao ni Loyal kwake)
Ameajiri mkuu wa masoko mwenye CV kubwa
Amevunja rekodi ya kumwaga pesa nyingi kwenye dirisha moja la usajili
Kamleta kocha mpya mwenye Cv ndogo kuliko kocha aliyeondoka.

Toddy Boehly amekuwa akizunguka kwenye platform mbalimbali za kiuchumi na biashara kueleza jinsi anavyoona fursa kubwa za kibiashara kwenye soka EPL.

Je maono ya TODDY BOEHLY ni yapi?

Kwa mtazamo wangu TODDY BOEHLY malengo yake THE BLUES yapo kibiashara zaidi kuliko makombe.

Hiyo paundi milioni 300 aliyotoa kusajili wachezaji msimu huu ni kutupumbaza mashabiki, Picha tumeipata baada ya kumleta kocha wa kawaida + mkataba wa miaka 5.

Miaka 5 ijayo THE BLUES ndio itakuwa club inayoongoza kwa kukuza vipaji na kuviuza kwa bei kubwa, itakuwa club yenye dili nyingi za kibiashara na club inayojiendesha kwa faida kubwa.
Kuna point una miss mkuu.
  1. Boehly anamsikiliza kocha
  2. Boehly kila mechi yupo uwanjani
  3. Boehly sio mbahili na kaonyesha hiyo kwenye usajili
  4. Usajili wa management anawaleta maguru tu
  5. Yuko very visionary na anataka kila mmoja awe anaona sawa na wengine kuanzia kwa wamiliki ahadi kwa management na kocha
  6. Hizo sababu zote zinaonyesha kuwa Boehly anataka kujenga timu ya kiushindani na yenye kushinda
Sina wasiwasi na Boehly na wenzake kuhusu kushinda makombe
Ni sawa wako kibiashara zaidi, timu isiyoendeshwa kibiashara haiwezi kufanikiwa, timu isiyoshinda mechi haiwezi kufanikiwa, timu isiyoshinda makombe haiwezi kufanikiwa
 
Roman Abramovich alivyoinunua THE BLUES, transformation alizozifanya mbali na management ni:-

Kuleta makocha wakubwa
Kusajili wachezaji wenye viwango vikubwa

Hii ilitoa picha/ujumbe kwa mashabiki kwamba malengo yake yalikuwa kuifanya THE BLUES iwe club kubwa kimakombe.

Utawala wa Roman Miaka 19, Makombe 21.

Toddy Boehly ameinunua THE BLUES tunaona transformation anazofanya:-

Amefukuza management yote (Sawa jambo jema anaweka watu ambao ni Loyal kwake)
Ameajiri mkuu wa masoko mwenye CV kubwa
Amevunja rekodi ya kumwaga pesa nyingi kwenye dirisha moja la usajili
Kamleta kocha mpya mwenye Cv ndogo kuliko kocha aliyeondoka.

Toddy Boehly amekuwa akizunguka kwenye platform mbalimbali za kiuchumi na biashara kueleza jinsi anavyoona fursa kubwa za kibiashara kwenye soka EPL.

Je maono ya TODDY BOEHLY ni yapi?

Kwa mtazamo wangu TODDY BOEHLY malengo yake THE BLUES yapo kibiashara zaidi kuliko makombe.

Hiyo paundi milioni 300 aliyotoa kusajili wachezaji msimu huu ni kutupumbaza mashabiki, Picha tumeipata baada ya kumleta kocha wa kawaida + mkataba wa miaka 5.

Miaka 5 ijayo THE BLUES ndio itakuwa club inayoongoza kwa kukuza vipaji na kuviuza kwa bei kubwa, itakuwa club yenye dili nyingi za kibiashara na club inayojiendesha kwa faida kubwa.
Huu ujumbe si wa kupuuzwa hata .

Ni maono mazuri sana.
 
Roman Abramovich alivyoinunua THE BLUES, transformation alizozifanya mbali na management ni:-

Kuleta makocha wakubwa
Kusajili wachezaji wenye viwango vikubwa

Hii ilitoa picha/ujumbe kwa mashabiki kwamba malengo yake yalikuwa kuifanya THE BLUES iwe club kubwa kimakombe.

Utawala wa Roman Miaka 19, Makombe 21.

Toddy Boehly ameinunua THE BLUES tunaona transformation anazofanya:-

Amefukuza management yote (Sawa jambo jema anaweka watu ambao ni Loyal kwake)
Ameajiri mkuu wa masoko mwenye CV kubwa
Amevunja rekodi ya kumwaga pesa nyingi kwenye dirisha moja la usajili
Kamleta kocha mpya mwenye Cv ndogo kuliko kocha aliyeondoka.

Toddy Boehly amekuwa akizunguka kwenye platform mbalimbali za kiuchumi na biashara kueleza jinsi anavyoona fursa kubwa za kibiashara kwenye soka EPL.

Je maono ya TODDY BOEHLY ni yapi?

Kwa mtazamo wangu TODDY BOEHLY malengo yake THE BLUES yapo kibiashara zaidi kuliko makombe.

Hiyo paundi milioni 300 aliyotoa kusajili wachezaji msimu huu ni kutupumbaza mashabiki, Picha tumeipata baada ya kumleta kocha wa kawaida + mkataba wa miaka 5.

Miaka 5 ijayo THE BLUES ndio itakuwa club inayoongoza kwa kukuza vipaji na kuviuza kwa bei kubwa, itakuwa club yenye dili nyingi za kibiashara na club inayojiendesha kwa faida kubwa.
Kwa hili uko sahihi kabisa Boehl iko obsessed na faida kuliko vikumbe, timu ya kutumia $250m kwa msimu sio ya kusubiria vikombe ni ya kuchukua vikombe, ila kocha wakuifanye ichukue hivyo vikombe.
Nakubaliana na wanao sema kwamba hana uzoefu na mpira wa ulaya utampa je kocha mkataba miaka mitano wakati unajua unaenda kumtimua ndani ya miaka miwili! Kutokana na pressure za washibiki atamtimua hata bila kutaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom