Timu Jana imecheza vizuri sana na kuna vitu kocha ameonesha
1.Wachezaji wamepangwa kwenye nafasi zao halisi
2. Uharaka wa kufanya mashambulizi, tuna attack haraka kabla mpinzani ajajipanga
3.Press
4.Jorginho for the first time naona msimu Huu Jana kacheza vizuri
Weekness
1.Finishing, ni tatizo limeendelea kututesa Sana wachezaji wanakosa magoals Sana huwezi kulaumu hapa kocha ikiwa tunatengeneza nafasi nyingi lakini tunashindwa kutumia nafasi
2.Nafikiri kwenye pale sub asingemtoa Auba tungecheza na double striker Auba na Broja kwa zile nafasi za wazi alizokosa Ziyech angekuwa ni Auba zinge kuwa goal
NB: kocha anahitaji muda kwa aina la soka lake naona atafanikiwa pale chelseafc tumpe muda