Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mzee hapa hatubishani tuna badilishana mawazo kwa mtizamo yetu, ni vizri tuendelee ku kosoa na kupongeza kama mashabiki uhuru wa the blues wala usihofu we leta hoja zako kutetea msimamo wako.
Msimamo wangu uko clear kwamba, mkataba aliopewa Potter ni ishara ya mwanzo mzuri wa ujenzi wa timu shindani itakayodumu kwa muda mrefu ndio maana akasinya miaka mitano. Tunaamini ataendeleza vijana wa academy ili atleast ipunguze manunuzi ya wachezaji wengi wakubwa ndani ya wakati mmoja hii haimaanishi hatutokua tunasajili ila inamaanisha badala ya kununua kina Fofana kwa paundi million 50+ tunaweza kutengeza wakina Levi Colwill bora mno ambaye hawatifautiani sana kiuwezo uwanjani.
 
Msimamo wangu uko clear kwamba, mkataba aliopewa Potter ni ishara ya mwanzo mzuri wa ujenzi wa timu shindani itakayodumu kwa muda mrefu ndio maana akasinya miaka mitano. Tunaamini ataendeleza vijana wa academy ili atleast ipunguze manunuzi ya wachezaji wengi wakubwa ndani ya wakati mmoja hii haimaanishi hatutokua tunasajili ila inamaanisha badala ya kununua kina Fofana kwa paundi million 50+ tunaweza kutengeza wakina Levi Colwill bora mno ambaye hawatifautiani sana kiuwezo uwanjani.
Mimi nilishajitoa kwenye makombe angalau ndani ya misimu miwili hadi mitatu. Potter ni kocha mzuri, mabadiliko tu yafanywe hadi kwa wachezaji
Hawa wachezaji waondolewe na wapate replacement wanaoendana na Chelsea mpya
  1. Jorginho
  2. Azpilicueta
  3. Pulisic
  4. Ziyech
 
Mimi nilishajitoa kwenye makombe angalau ndani ya misimu miwili hadi mitatu. Potter ni kocha mzuri, mabadiliko tu yafanywe hadi kwa wachezaji
Hawa wachezaji waondolewe na wapate replacement wanaoendana na Chelsea mpya
  1. Jorginho
  2. Azpilicueta
  3. Pulisic
  4. Ziyech
Prediction yangu ni kwamba Potter given the intensity ya epl na high demand ya wa shabiki wa Chelsea potter hawezi ku survive dalajani miaka mawili,

2.potter hawezi kushida hata kombe la Carbao kwasbb hana jipya kwenye epl anategemea kubebwa na vipaji vya wachezeji ambao na wenyewe hawatabiliki wana hitaji kocha mwenye Cv nzuri.

Haya na yasema kabla ya kuanza mipira hata mawili take my words uta witness hili Boehl ndo atakua wa kwanza kumgeuka kwa sabb ya pressure ya mashabiki
 
Mimi nilishajitoa kwenye makombe angalau ndani ya misimu miwili hadi mitatu. Potter ni kocha mzuri, mabadiliko tu yafanywe hadi kwa wachezaji
Hawa wachezaji waondolewe na wapate replacement wanaoendana na Chelsea mpya
  1. Jorginho
  2. Azpilicueta
  3. Pulisic
  4. Ziyech
Mkuu tuko pamoja kimitizamo. Tuache kuwaz makombe kwa misimu miwili tumuache Potter ajenge timu
 
Prediction yangu ni kwamba Potter given the intensity ya epl na high demand ya wa shabiki wa Chelsea potter hawezi ku survive dalajani miaka mawili,

2.potter hawezi kushida hata kombe la Carbao kwasbb hana jipya kwenye epl anategemea kubebwa na vipaji vya wachezeji ambao na wenyewe hawatabiliki wana hitaji kocha mwenye Cv nzuri.

Haya na yasema kabla ya kuanza mipira hata mawili take my words uta witness hili Boehl ndo atakua wa kwanza kumgeuka kwa sabb ya pressure ya washabiki
Wewe ukiungana na hao mashabiki wa design hiyo mkabadilusha mitizamo yenu mtasaidia Potter asifukuzwe abaki ajenge timu shindani
 
Halaand again mwaka huu mtakimbia ligi

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Haaland anaweza akafunga hata magoli 60 na bado City asichukue ubingwa
Dominion ya Haaland city inafanya kuwa one man show, siku akiwa low form city inatoa droo au hata kufungwa
Nasema hivi kwa sababu city hawako vizuri sana kwenye kujilinda na pia wachezaji wengine wameshajiondoa kwenye kufunga
 
Prediction yangu ni kwamba Potter given the intensity ya epl na high demand ya wa shabiki wa Chelsea potter hawezi ku survive dalajani miaka mawili,

2.potter hawezi kushida hata kombe la Carbao kwasbb hana jipya kwenye epl anategemea kubebwa na vipaji vya wachezeji ambao na wenyewe hawatabiliki wana hitaji kocha mwenye Cv nzuri.

Haya na yasema kabla ya kuanza mipira hata mawili take my words uta witness hili Boehl ndo atakua wa kwanza kumgeuka kwa sabb ya pressure ya mashabiki
Kwani TT unayemdhani ya kocha mkubwa amefundisha timu ngapi kubwa akiwa na mafanikio?
  1. PSG timu inayocheza kwenye one horse league akashinda kombe la ligi 2 tu
  2. Chelsea ndio timu alipoanzia kupata changamoto kwa kushinda UCL 1
Kwani KLOPP unayemdhania kocha mkubwa amefundisha timu ngapi kubwa akiwa na mafanikio?
  1. BVB kabeba Bundesliga 2
  2. Liverpool tu na baada ya misimu mitatu ndipo akaanza kupata mafanikio ya kubabea UCL 1 na EPL 1
PEP tu ndie kocha pekee mzoefu wa timu kubwa akiwa na mafanikio makubwa
  1. Barcelona Laliga 3, UCL 2
  2. Bayern munich, Budesliga 3, UCL 0
  3. Man City EPL 4, UCL 0
Kwa maoni yangu Potter anaweza akapata mafanikio zaidi ya Tuchel kwa sababu yeye amekuja kipindi ambacho wamiliki wanaonekana kuja na staili ya kuimarisha timu kwa kufuta shared vision na wako tayari kumpa support kocha. Akina Abramovich waliwatenga sana makocha na makocha pia walifanyia kazi mazingira magumu ya hofu. Amekuja Chelsea atapewa wachezaji wazuri, mkataba mzuri, mshahara mzuri, academy nzuri. Ashindwe mwenyewe na akishindwa kuonyesha kuwa anaelekea kwenye vision tutamfukuza

NB: Tusisahau pia kuwa Chelsea ndio timu pekee ambaye mmiliki wake bilionea ndie mwendesha timu, tena kijana, anayo nguvu, kila mechgi yuko uwanjani, hamu ya mafanikia iko kwenye lips zake. Hata miaka mili ni mingi, akifanikiwa kufanya little fix january, msimu ujao tuko on board kama sio EPL ni UCL, ukiacha hayo makombe madogo madogo
 
Kwani TT unayemdhania kocha mkubwa amefundisha timu ngapi kubwa akiwa na mafanikio?
  1. PSG timu inayocheza kwenye one horse league akashinda kombe la ligi 2 tu
  2. Chelsea ndipo alipoanzia kupata changamoto kwa kushinda UCL 1
Kwani KLOPP unayemdhania kocha mkubwa amefundisha timu ngapi kubwa akiwa na mafanikio?
  1. BVB kabeba Bundesliga 2
  2. Liverpool tu na baada ya misimu mitatu ndipo akaanza kupata mafanikio ya kubabea UCL 1 na EPL 1
PEP tu ndie kocha mzoefu wa timu kubwa akiwa na mafanikio makubwa
  1. Barcelona Laliga 3, UCL 2
  2. Bayern munich, Budesliga 3, UCL 0
  3. Man City EPL 4, UCL 0
Kwa maoni yangu Potter anaweza akapata mafanikio zaidi ya Tuchel kwa sababu yeye amekuja kipindi ambacho wamiliki wanaonekana kuja na staili ya kuimarisha timu kwa kufuta shared vision na wako tayari kumpa support kocha. Akina Abramovich waliwatenga sana makocha na makocha pia walifanyia kazi mazingira magumu ya hofu. Amekuja Chelsea atapewa wachezaji wazuri, mkataba mzuri, mshahara mzuri, academy nzuri. Ashindwe mwenyewe na akishindwa kuonyesha kuwa anaelekea kwenye vision tutamfukuza
Hapo mkuu umemalizia vizri akishindwa atafikunzwa mapema tu,.......kwangu Potter ni kocha mzuri ila majukumu na mategemeo alio nao ni mengi na makubwa kwa uwezo wake

1. Licha cha kutokua na kombe lolote hajawahi ku-managi timu kubwa kaliba ya Chelsea.
2.hawezi akalea wa academy na kuwakuza kwa kuwapa mechi za epl na kwa wakati huo huo alete vikombe lazima atapoteza moja.
3. Ameaanza epl akiwa analinganishwa na makocha wenye uzoefu mkubwa kama TT Pep Klop na Conte wakati kimbinu hawafikie hata nusu.

Kwa hapo lazima atashindwa akijitahidi sana atamaliza msimu hu wote na nusu msimu ujao ndo atimliwe tu.
 
Makosa ya kwanza aliyofanya Potter
  1. Kumpanga Sterling kama Wing back - ile nafasi alitakiwa Cucurella halafu aingie Chilwell na nafasi ya Cucurella angecheza Koulibally
  2. Kumpanga Azpilicueta kama CB, ile nafasi angekaa Fofana
  3. Kumpanga Havertz kama second striker badala yake ile nafasi angecheza Sterling naona wanaweza kuwa best match na Auba
Mimi kama Kocha msaidizi wa huku TZ nasema line-up ingekuwa hivi ya ushindi

3-5-2

-------------- Auba -------------------- Sterling --------------

Cucurella ----- Kovacic ------ Jorginho ------Mount ------ James

------ Koulibally -------------- Silva -------------- Fofana ------

---------------------------- Kepa -----------------------------
 
Baada ya kuahirishwa mechi za EPL za Chelsea na Brighton, jana Chelsea wamecheza friendly game na Brighton Amex Stadium behind closed doors, Chukwuemeka akafunga magoli yote mawili. Game iliisha 2-1. Wachezaji walioitwa kwenye timu za taifa walipewa off kabla ya kujiunga kambini kwa mechi zijazo za kimataifa. Wale fringe players na ambao hawakupata nafasi ya kucheza UEFA na RB Salzburg ndio walipata nafasi ya kucheza hiyo friendly.
 
Todd boehly ameanza kupishana maneno na kocha wake potter kuhusu Ngole Kante alivyo taka kufanyia swap na mchezaji wa miaka 20 wa Brighton kwabb, kamwambia utaniaribia timu huwezi kupata mchezaji kama Kante.

"He can never replace N'golo Kante" Todd Boehly rebuked Graham Potter's decision to swap him with 20 year old Brighton star #footballchallenge #Chelsea
 
Kwani Mkuu Sarri au Di matteo walichukua kombe gani kabla hawajaja chelsea?
Ndo maana wa lifukuzwa mapema mkuu, tena kumbuka mkuu Di matteo alikua masaidizi wa kocha mkuu wa Chelsea kwa mda mrefu ndo maana aliweza ata kubeba Uefa alikua na uzoefu kiasi.
 
Oooh SMH! Mzee kwa hiyo unataka kocha ambaye tayari keshachukua kombe? Yes hana CV lakini sio kweli kwamba lazima awe amechukua kombe ndio atakua mzuri.

Mkumbuke babu mifegi na Sarriball yake alikua hajawahi kuchukua kombe lolote lakini alipokuja kwetu alibeba.
Ongeza pia na Di matteo alikuja kuchua kombe akiwa Chelsea huyu Covax kakariri Sana maisha ukubwa wetu na history yetu ya makombe na demand ya team Ndio inaleta influence kwa kocha au machezaji yoyote kuwa na msukumo wakubeba makombe na Ndio maana umeona tumebeba Uefa tukiwa tuna watu kama kai, werner,Mount, james,benchilwell, jorginho n.k ambao hawakuwahi kabisa kuchukua UEFA lakini kutokana na history ya team wamejikuta wamepata hamasa kubwa na kupambana uwanjani mpaka tumeweza kuchukua kombe.
lembu
 
Roman Abramovich alivyoinunua THE BLUES, transformation alizozifanya mbali na management ni:-

Kuleta makocha wakubwa
Kusajili wachezaji wenye viwango vikubwa

Hii ilitoa picha/ujumbe kwa mashabiki kwamba malengo yake yalikuwa kuifanya THE BLUES iwe club kubwa kimakombe.

Utawala wa Roman Miaka 19, Makombe 21.

Toddy Boehly ameinunua THE BLUES tunaona transformation anazofanya:-

Amefukuza management yote (Sawa jambo jema anaweka watu ambao ni Loyal kwake)
Ameajiri mkuu wa masoko mwenye CV kubwa
Amevunja rekodi ya kumwaga pesa nyingi kwenye dirisha moja la usajili
Kamleta kocha mpya mwenye Cv ndogo kuliko kocha aliyeondoka.

Toddy Boehly amekuwa akizunguka kwenye platform mbalimbali za kiuchumi na biashara kueleza jinsi anavyoona fursa kubwa za kibiashara kwenye soka EPL.

Je maono ya TODDY BOEHLY ni yapi?

Kwa mtazamo wangu TODDY BOEHLY malengo yake THE BLUES yapo kibiashara zaidi kuliko makombe.

Hiyo paundi milioni 300 aliyotoa kusajili wachezaji msimu huu ni kutupumbaza mashabiki, Picha tumeipata baada ya kumleta kocha wa kawaida + mkataba wa miaka 5.

Miaka 5 ijayo THE BLUES ndio itakuwa club inayoongoza kwa kukuza vipaji na kuviuza kwa bei kubwa, itakuwa club yenye dili nyingi za kibiashara na club inayojiendesha kwa faida kubwa.
Boehly anataka kuitransform Chelsea kama Walivyointransform LA Dodgers, wakat wanainunua

Ukiifatilia LA dogder ni moja kati ya tim inyotoa mishahara mizuri kwa chezaj, wanawin makombe ya upande wa west kila msim katika mism 8 iliyopita wameshinda 7.
Pia wanabest farm katika MLB, ambayo kisoka tunaita Academy

Their like Man City katika Mlb.

Tim(Dodger) yao iko na mix ya vijana wadogo + wale wakubwa, huwa hawaogop kuspend.

Ukifatilia Interview nyingi za Boehly, ashawah zungumzia hichi ktu kuwa The more you win ndio unavyozidi tengeneza Fan base ikue, n Ndio unatakavyoongeza Thaman ya Klab yako kupitia kuwin.
 
Todd boehly ameanza kupishana maneno na kocha wake potter kuhusu Ngole Kante alivyo taka kufanyia swap na mchezaji wa miaka 20 wa Brighton kwabb, kamwambia utaniaribia timu huwezi kupata mchezaji kama Kante.

"He can never replace N'golo Kante" Todd Boehly rebuked Graham Potter's decision to swap him with 20 year old Brighton star #footballchallenge #Chelsea
Covax tatzo upo kwenye matazamo Negtve sana kuhusu potter
 
Kwa hili uko sahihi kabisa Boehl iko obsessed na faida kuliko vikumbe, timu ya kutumia $250m kwa msimu sio ya kusubiria vikombe ni ya kuchukua vikombe, ila kocha wakuifanye ichukue hivyo vikombe.
Nakubaliana na wanao sema kwamba hana uzoefu na mpira wa ulaya utampa je kocha mkataba miaka mitano wakati unajua unaenda kumtimua ndani ya miaka miwili! Kutokana na pressure za washibiki atamtimua hata bila kutaka
Its all about consistence mkuu, Tim yetu inahitaj Rebuilding, na si 1 summer utegemee ukacompete toe to toe na city, Rather than utry kuclose gap lilopo na wale mnaotafuta top 4

Ni msim wa 5 or wa 6 sasa hatujawa na team hata iliyowah fika top 2 tangu conte aondoke. O iliyowah pigania ubingwa halaf ije lost kwa dakika za mwisho.


Team yetu inahitaj rebuilding, man utd ukiwaaangali katika spending table ya misim 5 iliyopita wako juu ila now wamekubal wanahitaj rebuilding, n kidogo kidogo unaona hata wanaanza kurudi
 
Toddy baada ya miaka 10 atauza THE BLUES kwa faida kubwa pesa mara 2 ya aliyonunulia.

Kwa sasa mipango yake ni kutengeneza hiyo biashara.
U have to win ili upate hiyo faida, tofauti na hivyo tegemea loss hutoiuza kwa price ile ile kama team ishapoteza mvuto.
Team umenunua 4.25BN halaf ipoteze mvuto hakuna kikombe chochote ulichoshinda utegemee upate faida sana utauza kwa hela ya chini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom