Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,418
Nadhani tajiri yupo tayari kuvumilia kwasababu yeye ndiye aliyemuajiri na kumpa mkataba wa muda mrefu kiasi hicho. Anajua wazi kabisa akivunja mkataba prematurely, yeye ndiye wa kuumia na siyo kocha. Kama mwajiri yupo tayari kusubiri muda wote huo sisi huku bongo ni nani hadi tuvimbe kongosho?Mategemeo yangu kwa Potter ni kulinda timu yetu kutoshuka daraja angalau na kumalizia nafasi ya 4, au ya Uropa hayo ili tuvuke kipindi hiki wakati tunasubilia kocha wetu sahihi na Boeh tajiri anapata uzoefu wa biashara ya mpira wa wingereza.
Hayo ndo mategemeo yangu makuu kwa kocha wetu sitaki kujipa stress na hasira za bure wakati kocha wetu ni mzuri ila hawezi kufanya juu ya uwezo wake, hana record hiyo ni lazima limchukulie mda angalau 2-5yrs kubeba epl ila nani wakumvumilia huo mda wote bila [emoji471].
Vitu ambavyo hatuna control navyo tuviache tu viende kama vilivyopangwa na wenye control [emoji851]. Kama hawatacheza mpira mzuri unaovutia basi, mtu unakunywa maji yako meeengi, unatulia.