Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila mbona wakati anakuja ule msimu tunachukua champions League mbona tulikuwa tunacheza Mpira tofauti na Huu ? , tulikuwa tunahold Mpira at the same time tunapiga Pasi fupi fupi na kushambulia Kwa Kasi ? , Ile ndio ulikuwa Chelsea sasa ,pamoja na matakataka yaliyokuwepo Ila mbona timu ilikuwa unacheza soka la kuvutia na ushindi unapatikana ? ,Why sasa ?
Tuchel ameingiwa na shetani gani sijui .

Mkuu hapo epl kugumu sana lazima ubadilike,

Ushindani mkubwa sana hapo sasa inaonekana hajabadilika na watu wameshamjulia.
 
Ila mbona wakati anakuja ule msimu tunachukua champions League mbona tulikuwa tunacheza Mpira tofauti na Huu ? , tulikuwa tunahold Mpira at the same time tunapiga Pasi fupi fupi na kushambulia Kwa Kasi ? , Ile ndio ulikuwa Chelsea sasa ,pamoja na matakataka yaliyokuwepo Ila mbona timu ilikuwa unacheza soka la kuvutia na ushindi unapatikana ? ,Why sasa ?
Tuchel ameingiwa na shetani gani sijui .
Tulicheza hivi hivi, tofauti tulikuwa na beki imara na Kante na Kovacic walikuwa kwenye form nzuri
Tatizo la kule mbele lilikuwa tu kama leo
UShahidi tulifunga mabao machahche sana
 
Asante mkuu nilijua limefungwa jana kea wewe unavyoona tutawasajili wachezaji gani?
Mara nyingi sajili la muda huu huwa ni suprise kama ikitokea kwa sababu muda wa tetesi hauko
Mfano, Auba Barcelona wanakaza sana japokuwa bado mazungumzo, bid ya Chelsea ya mwisho ilikuwa inajadiliwa hadi usiku wa manane

1662015407261.png


Hiyo aliweka Fabrizio kwenye saa tana usiku saa za huku kwetu

Kwenye deadline ni ngumu kumsajili mchezaji muhimu kwenye timu kama Zaha, alivyo muhimu kwa Palace
Labda wale suplus kama Auba
Kuna wengine wanasema pia Barcelona wakimkatalia Auba, Ronaldo anaweza kusajiliwa kwa sababu yeye ndie yuko standbye kwa sasa
Wachezaji wengi ambao Chelsea wametajwa kuwa na link nao ni wa muhimu kwa timu zao sidhani kama watauzwa. Mmojawao ni akina Edson Alvarez, Douglas Luiz, Wilfred Zaha, Anthony Gordon, Rafael Leao nk hapo tutatoka patupu. Bora tung'ang'ane na Auba
 
Billy Gilmour karibia anauzwa, Brighton wanamtaka kwa udi na uvumba
Mchezaji pekee anayeweza kucover nafasi ya DM ni Gilmour, Kante akiwa majeruhi
Simply asiuzwe
Tuchel atazungumza naye leo ili kujua aidha wabmakize au auzwe. Nadhani TT anataka kupata ridhaa ya mchezaji kwa maamuzi yote mbili
 
EPL, Ligue1, Laliga dirisha linafungwa siku moja saa moja
Kule Uingereza ni saa nane na nusu September 2
Huku East Africa ni Saa tano na nusu usiku wa tarehe 1 Sept 2022
Mkuu hembu uangalie masaa yako hayo

Saa 8 na nusu ya uk sept 2, ndio saa 5 na nush sept 1 east afrika

Dirisha linafungwa leo 1/9/2022,saa 5 usiku kwa saa za Uk, ambazo ni sawa na saa 7 usiku september 2 kwa saa za afrika mashariki
 
Hata tukimpata atahitaji wiki 3 kutibu taya lake lilillojeruhiwa/lililovunjwa na vibaka
kwa hiyo atarudi uwanjani tarehe 1 October mechi na Palace
Atamiss mechi dhidi ya
  1. Westham
  2. Dinamo - UEFA
  3. Fulam
  4. Salzburg - UEFA
  5. Liverpool
Eti lililovunjwa na vibaka

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hembu uangalie masaa yako hayo

Saa 8 na nusu ya uk sept 2, ndio saa 5 na nush sept 1 east afrika

Dirisha linafungwa leo 1/9/2022,saa 5 usiku kwa saa za Uk, ambazo ni sawa na saa 7 usiku september 2 kwa saa za afrika mashariki
Lakini kikubwa ni linafungwa leo

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom