Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna tetesi zinasema hivyo chelsea wanataka kumpa mwaka 1 ila yeye anadai 2 kipengele kipo hapo kumbuka ana 33 anasajiliwa kwa plan ya mda mfupi ataongezewa mkataba kutokana na form yake
Usiamin habar za The sun, hata Gerard Romero ambae ndie reporter mkubwa wa habar za Barce hajariport kitu kama hicho,

Issue kubwa imebaki ni agreement btn Chelsea n Barcelona
 
Kweli life is not fair naangalia game ya Wolverhampton na Newcastle yaani Neves yupo timu inayopambania isichuke daraja na Jorginho yupo timu inayowaza kuchukua ubingwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zieyech ni mzuri ila kwa mfumo wa ulizi shilikishi wa TT anapwaya sana sio mpambanaji tu kipoteza mpira anatembea, iko legelege sana, Epl imekua ngumu kwake.
Mbona bruno akabi lakini mchezaji mzuri kwenye kutengeneza nafasi za goal
 
Mbona bruno akabi lakini mchezaji mzuri kwenye kutengeneza nafasi za goal
Mkuu aquad ya Mancity ina ubora angalau kila idara kuliko ya kwetu, tunategemeana wote kwa kusaidiana, ulinzi na ushambuliaji, zienchy ya kurudi nyuma kutoa msaada ndo maana TT anaona kwasasa anzie bench mpaka pale tutakapo pata wachezaji wazuri
 
Gordon = Gallagher+Broja+ paundi 25m
Screenshot_20220828-203046.jpg
 
De Jong na Aubameyang wako kwenye timu ya Leo
Hii Ina maana deal limekufa?
 
Usiamin habar za The sun, hata Gerard Romero ambae ndie reporter mkubwa wa habar za Barce hajariport kitu kama hicho,

Issue kubwa imebaki ni agreement btn Chelsea n Barcelona
Kwani wewe mkuu Fabrizio Yuko correct 100% kwako.
Fabrizio kasema De Jong atakuja Chelsea au Liverpool. Na hapo hapo sources zingine zinadai De Jong anabaki Barcelona. Which is which?
 
Kuna ripoti kuwa Chelsea wanatuma maombi kumsajili Zaha dakika za mwisho

Labda baada ya Dili la Auba kuonekana ni gumu!
 
Taarifa zinadai kuwa Chelsea wako tayari kumlipa Ross Barkley anayelipwa £200,000/wiki ili wafute mkataba ili awe free agent. Inaaminika kuwa Ross Barkley hatakubali labda kama akilipwa mshahara wote
 
De Jong na Aubameyang wako kwenye timu ya Leo
Hii Ina maana deal limekufa?

Kuna ripoti kuwa Chelsea wanatuma maombi kumsajili Zaha dakika za mwisho

Labda baada ya Dili la Auba kuonekana ni gumu!

Chelseafc wapuuzi Sana nitawashangaa wakimuacha Auba wakamsajili Zaha
Kuna kila dalili kuwa dili la Auba linafeli na Chelsea hawakuwa na alternative nzuri likifeli, tujiandae kisaikolojia kuishi kwa matumaini, hata top 4 itakuwa ngumu sana safari hii
 
Mwisho wa siku TT apende asipende tutamrudia Ronaldo tu- Jorge Mendez anahangaika sana. Nasikia karudi tena Chelsea
Hatuna striker na tunashida naye na anweza kutupa magoli
Apunguze mshahara wake tumbebe
Haya maoni yangu tu
Tuna shida muda hauko Auba hauzwi tena kwa sababu Kounde kashasajiliwa Laliga. Man city hawamuuzi tena Benardo Silva. Barca naona hawana busines ya kufanya tena. Wenye shida ni sisi

Tufunge roho tu tumbebe Ronaldo kwa muda mfupi

Asanteni sana kwa kuwasilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom