Usimtukane mamba kabla ujavuka mto leo nanyi mnachezaItakuwaje sasa?
OllaChuga Oc si ulisema huu msimu mnakaa pale juu ya ubao
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hata pass hajapiga?😃Kai Haverts vs Southampton:
• 90 minutes played
• 0 goals
• 0 assists
• 0 shots on target
• 0/2 dribbles completed
• 0 crosses
• 0 long balls
• 0 aerial duels won
• 0 interceptions
• 1 tackle won
• 1 big chance missed
• 10x possession lost
Sisi kucheza haibadili ukweli kuwa mmechapwaUsimtukane mamba kabla ujavuka mto leo nanyi mnacheza
Ikifika zamu yenu tutakuja tu huko wanasema kutesa kwa zamuSisi kucheza haibadili ukweli kuwa mmechapwa
Bado haituzuii sisi kuwacheka muda huu😂😂😂😂Ikifika zamu yenu tutakuja tu huko wanasema kutesa kwa zamu
😂😂😂😂😂Kumbe Jana tumecheza..!!! Halafu tumepigwa..?! Aise tuneshakuwa matakataka sasa..hatuna maana tena. Huyu tuchel alisema anajenga timu ambayo hakuna timu itataka kukutana na sisi ...ndio huu utopolo anaujenga .!!
Aise hii timu Ni takataka tu kwa Sasa. Ngoja nizame zangu uzi wa picha Kali za warembo nikajipooze tu kule.
Pumbafu kabisa..
Kwaio huyu mpuuzi kai, jana alikua anafanya nini uwanjaniKai Haverts vs Southampton:
• 90 minutes played
• 0 goals
• 0 assists
• 0 shots on target
• 0/2 dribbles completed
• 0 crosses
• 0 long balls
• 0 aerial duels won
• 0 interceptions
• 1 tackle won
• 1 big chance missed
• 10x possession lost






Tuliza kalio lakoKumbe Jana tumecheza..!!! Halafu tumepigwa..?! Aise tuneshakuwa matakataka sasa..hatuna maana tena. Huyu tuchel alisema anajenga timu ambayo hakuna timu itataka kukutana na sisi ...ndio huu utopolo anaujenga .!!
Aise hii timu Ni takataka tu kwa Sasa. Ngoja nizame zangu uzi wa picha Kali za warembo nikajipooze tu kule.
Pumbafu kabisa..


una mdomo mwingiSimply AnadangaKwaio huyu mpuuzi kai, jana alikua anafanya nini uwanjani
![]()
Issue kubwa ni mid kwa sasa kuliko hata striker,Timu ambayo haiwezi ku defend vizuri basi isahau kabisa uukwaa ubingwa wa Ligi kuu ya Uingeleza.
Naona bado kuna matatizo makubwa kwenye holding midfielders - Ruben Loftus-Cheek bado saana..... Jorginho si born holding mid kukaba box to box hawezi...yeye anaweza pass za mwisho zaidi.
Pengo la Ngolo na Mateo Kovacic lipo wazi kabisa. Mabeki Kalidou Koulibaly na César Azpilicueta ni mizigo mingine tosha. Huyo Marc Cucurella bado anahangaika kujiweka sawa kwenye timu.
Kiwango cha Mason Mount msimu huu kinazingua pia.
Bado tusubiri maumivu zaidi......