Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Timu anayounda tucho ambayo kila mtu ataiogopa
Ligi ndio imenza, mto hatujafuka, wewe unatukana mamba. Pole sanaNilivyo andika hapa mlinibeza sana cheltako lakini mlionesha dalili zote kwamba huu msimu sio mzuri kwenu
Lazima mbatizwe kwa moto![]()
Hata Mimi naamini hivyoDM + AM aliyemature tukifanya hizo sajil hapo ndio tutakuwa tukotayar kupigania Premier League
Unakuta mtu unamuheshimu vizuri,kumbe anashabikia Chelshit![]()












mtoto una roho mbaya ww ngoja cheltako waamkeLigi ndio imenza, mto hatujafuka, wewe unatukana mamba. Pole sanaNilivyo andika hapa mlinibeza sana cheltako lakini mlionesha dalili zote kwamba huu msimu sio mzuri kwenu
Lazima mbatizwe kwa moto![]()
Hajafukuzwa tu?Sito angalia tena game ya Chelsea mpaka lile kubwa jinga linaitwa Tuchel litoke kwenye timu yetu, pumbavu zake. Jamaa linakera lile
Atafunga sana huyu kwa quality aliyonayo city,Huyu Haaland huyu pumbavu zake.
Hata timu ikiwa na mpira, huyo anapoteza poteza sana, source kubwa ya kufungwa ni Jogninho kupoteza mipira katikati ya uwanja au eneo la hatari golini kwake mwenyewe. Huyo hafai with the ball or without the ball. anatakiwa aondoke kabisaIssue kubwa ni mid kwa sasa kuliko hata striker,
Kumt3gemea Kante n Kovacic nikujitaftia matatizo. Sahiv ni injury prone hao,
Jorginho ni mzuri tim ikiwa na mpira, kwenye kuutafuta sio mzuri.
Huu msim unaweza kuwa mrefu sana kwetu, labda tubadilike ghafla
Wataamkia wapi haya makubwa zembemtoto una roho mbaya ww ngoja cheltako waamke

Hata tukimpata atahitaji wiki 3 kutibu taya lake lilillojeruhiwa/lililovunjwa na vibaka
Hivi ninyi mko salama kweli??Wataamkia wapi haya makubwa zembe
Wabovu kama mayai ya kisasa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Usilinganishe Liver na vitu vya ajabuHivi ninyi mko salama kweli??


Haaa haaa, tuko wote kwente boti lililotoboka na unatucheka kweli, likizama tunazama wote.