The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 782
- 1,155
Tufunge maombi tuiombee timu yetu


Unakuta mtu unamuheshimu vizuri,kumbe anashabikia Chelshit![]()
Bwana wape farajaTufunge maombi tuiombee timu yetuView attachment 2340816




Kaka mpira haunaga maombi, kama hujui hujui tu - juzi mtu kapigwa 9 dadadeq hasira zake kamalizia kwa kocha 😀 😀Tufunge maombi tuiombee timu yetuView attachment 2340816
Ila mbona wakati anakuja ule msimu tunachukua champions League mbona tulikuwa tunacheza Mpira tofauti na Huu ? , tulikuwa tunahold Mpira at the same time tunapiga Pasi fupi fupi na kushambulia Kwa Kasi ? , Ile ndio ulikuwa Chelsea sasa ,pamoja na matakataka yaliyokuwepo Ila mbona timu ilikuwa unacheza soka la kuvutia na ushindi unapatikana ? ,Why sasa ?Tuchel ana falsafa mbaya sana ya uchezaji ambayo haitakiwi kwa timu inayo pambania makombe. Jamaa mpira wake umepoa sana kama kinyonga, ule mpira siupendi kwa kweli. Hivi huwa haoni vile LiverPUNGA, Man SHIT ama AseNANE wanavyo peleka moto. Yaani mtu anatafutwa mpaka anakubali, sasa yeye pole pole kama kalazimishwa, pumbavu zake. Yule mbwa anakera sana
Wanampima tezi dume bila Shaka , tatizo si beki , tutanunua mabeki wote dunia nzima Ila kama hatutafuti central defensive midfielder na creative attacking midfielder WA ukweli tutasandaHii medical ni ya siku mbili wahenga ??
Wesley Fofana: Leicester defender set for medical ahead of £70m move to Chelsea
Tumefanya usajili wa kureplace rather than9 improving.Siku zote timu ikifanya vibaya lawama lazima ziwe kwa kocha huwezi ukafukuza wachezaji sasa angalia Chelsea inaongoza kwa kufanya usajiri lakini inapata matokeo mabovu
Hakuna tajiri atayekubali kumwaga pesa halafu ategemee matokeo mabovu lazima kocha awajibike na kufukuza makocha ndio imefanya tumepata mafanikio miaka ya nyuma
Kazi ipoTumefanya usajili wa kureplace rather than9 improving.
Nakumbuka Tuchel alisema badala ya sisi tuimprove kikosi tunajikuta tunaanza kujenga upya, mwishon mwa msim uliopita
Wachezaj wanacheza kumuimpress new coach wakishamzoea tu. Back todefault mode.Ila mbona wakati anakuja ule msimu tunachukua champions League mbona tulikuwa tunacheza Mpira tofauti na Huu ? , tulikuwa tunahold Mpira at the same time tunapiga Pasi fupi fupi na kushambulia Kwa Kasi ? , Ile ndio ulikuwa Chelsea sasa ,pamoja na matakataka yaliyokuwepo Ila mbona timu ilikuwa unacheza soka la kuvutia na ushindi unapatikana ? ,Why sasa ?
Tuchel ameingiwa na shetani gani sijui .
DM + AM aliyemature tukifanya hizo sajil hapo ndio tutakuwa tukotayar kupigania Premier LeagueWanampima tezi dume bila Shaka , tatizo si beki , tutanunua mabeki wote dunia nzima Ila kama hatutafuti central defensive midfielder na creative attacking midfielder WA ukweli tutasanda
Dah ila mlijitapa aiseKile kipigi cha Barca angalau sasa tunalipiza kisasi
Akija City kwa cucurella unapiga ngumi ya pua
Akija Man u kwa De Jong unapiga ngumi jicho la kulia
Hat PSG akipita njia yetu tunakung'uta ile mbaya
Liverpool akizubaa naye tunapiga ya kichwa hadi wakome kabisa
Halafu mwisho Barcelona tunamsubiri UEFA, tukipangwa Group moja tutamwonyesha njia ya kurudi alikotoka




Nilivyo andika hapa mlinibeza sana cheltako lakini mlionesha dalili zote kwamba huu msimu sio mzuri kwenuPrediction yangu kwa chelsea 2022/23
Tuche amalizi msimu mzunguko wa kwanza tu anapoteza kazi ndo hatakuwa kocha wa kwanza kupoteza kazi pale England.
Nafasi =5/6
Uefa = 16 bora
FA = semi final
Carabao cup = final lost 2_1
Top score = kai havertz 5 goals
Top asisst = stering 3
Mendy Clean sheet = 6
Kila msimu lazima timu kubwa moja ichemshe vibaya sana.
Kwa upepo naouona lile jini la manure lililo tutesa msimu ulio pita naona kila dalili linakuja kwenu mjiandae tu kisaikolojia.
View attachment 2312981



Bingwa wa kupiga mdomo kwenye majukwaa ya watu akilalamikaJukwaa letu pendwa limejaa manzi wengi wanakera balaa..
Lakini soon tu wataondoka wenyewe.
Acha matusi mzee babaCheltako bure kabisa hadi man'nyoko anaenda kuwapita!!!