Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Finally umeelewa somo! Bora TT, Kai na Jorg wasepe kuliko Ziyech kuondoka!Ziyech asiruhusiwe ku exit, anatufaa sana
Finally umeelewa somo! Bora TT, Kai na Jorg wasepe kuliko Ziyech kuondoka!Ziyech asiruhusiwe ku exit, anatufaa sana
Shida yetu ni striker zaidi na Zaha ni winger aina yetu ya mpira haimfiti Zaha, Zaha ni winger wa kizamani anacheza zaidi pembeni alafu pia anafaa kwenye team zinazofanya counter attack je kwa mpira wetu wa konokono ni sahihi?Zaha ni hatari! Akija darajani atasaidia sana kwenye striking force..!
Naamini anacheza vile kwa sababu ya aina ya timu aliyopo. Ni better option kama hatutampata Auba. Better than 2000000000000000 Kai Havertz kwenye form yao ya sasa!Shida yetu ni striker zaidi na Zaha ni winger aina yetu ya mpira haimfiti Zaha, Zaha ni winger wa kizamani anacheza zaidi pembeni alafu pia anafaa kwenye team zinazofanya counter attack je kwa mpira wetu wa konokono ni sahihi?
Lampard angekupa UEFA?Tumebutuliwa mechi ya jana. Sio ajabu!
Hope kocha atakuwa na akili bora next match na WHU.
Naona kama tulipaswa kukaa na Lampard zaidi kuliko huyu Tactician!
Anyway #BringBackLampard 😉
Ningekuelewa zaidi ungesema Depay huyu ndio anafit aina ya soka la TT kwasababu kocha anahitaji mchezaji wa mbele atakayeweza kufanya movement ndani ya box na kutostick kwenye nafasi moja ili kusaidia kupatikana space zitakazoshambuliwa na sterling, Ziyech au Mount na hii quality anayo Depay, Zaha hawezi hivi yeye anapenda apigiwe counter afunge au apige chenga beki aingie ndani ya box afunge kwa sisi ambao tuna shida ya striker mchezaji wa namna hii hatufahi mkuuNaamini anacheza vile kwa sababu ya aina ya timu aliyopo. Ni better option kama hatutampata Auba. Better than 2000000000000000 Kai Havertz kwenye form yao ya sasa!
Sorry, nilisoma haraka haraka sehemu walioelezea kwa mfumo wa IST badala ya GMTMkuu hembu uangalie masaa yako hayo
Saa 8 na nusu ya uk sept 2, ndio saa 5 na nush sept 1 east afrika
Dirisha linafungwa leo 1/9/2022,saa 5 usiku kwa saa za Uk, ambazo ni sawa na saa 7 usiku september 2 kwa saa za afrika mashariki
Tumebutuliwa mechi ya jana. Sio ajabu!
Hope kocha atakuwa na akili bora next match na WHU.
Naona kama tulipaswa kukaa na Lampard zaidi kuliko huyu Tactician!
Anyway #BringBackLampard 😉



huyu huyu lamps anayehangaika na everton



Mwingine ni ToneyNingekuelewa zaidi ungesema Depay huyu ndio anafit aina ya soka la TT kwasababu kocha anahitaji mchezaji wa mbele atakayeweza kufanya movement ndani ya box na kutostick kwenye nafasi moja ili kusaidia kupatikana space zitakazoshambuliwa na sterling, Ziyech au Mount na hii quality anayo Depay, Zaha hawezi hivi yeye anapenda apigiwe counter afunge au apige chenga beki aingie ndani ya box afunge kwa sisi ambao tuna shida ya striker mchezaji wa namna hii hatufahi mkuu
Ni mzuri lakini sio clinical kwenye goalMwingine ni Toney
Auba inakuwa swap deal, mwanzon barce walikuwa wanagoma.Liver wanakamilisha usajili wa Arthur Melo, sisi bado tunadanga kwa Auba kwa muda mrefu wakati kiungoni ku na shida kubwa
Eeh, huyo huyo! 🙂huyu huyu lamps anayehangaika na everton
![]()
Huyo Deepay kumpata ndio haiwezekani sasa. Striker anayefit mfumo wa TT hajazaliwa bado!Ningekuelewa zaidi ungesema Depay huyu ndio anafit aina ya soka la TT kwasababu kocha anahitaji mchezaji wa mbele atakayeweza kufanya movement ndani ya box na kutostick kwenye nafasi moja ili kusaidia kupatikana space zitakazoshambuliwa na sterling, Ziyech au Mount na hii quality anayo Depay, Zaha hawezi hivi yeye anapenda apigiwe counter afunge au apige chenga beki aingie ndani ya box afunge kwa sisi ambao tuna shida ya striker mchezaji wa namna hii hatufahi mkuu
Who knows? Only God 😉Lampard angekupa UEFA?
Arsen Zakharyan’s potential move to #Chelsea is now off.
FA currently blocking the move. #cfc
[@Nathan_Gissing]

kwann?Vikwazokwann?
Zaha ni hatari! Akija darajani atasaidia sana kwenye striking force..!
Liver wanakamilisha usajili wa Arthur Melo, sisi bado tunadanga kwa Auba kwa muda mrefu wakati kiungoni ku na shida kubwa




