Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Issue kubwa ni mid kwa sasa kuliko hata striker,

Kumt3gemea Kante n Kovacic nikujitaftia matatizo. Sahiv ni injury prone hao,

Jorginho ni mzuri tim ikiwa na mpira, kwenye kuutafuta sio mzuri.


Huu msim unaweza kuwa mrefu sana kwetu, labda tubadilike ghafla
tukicheza namna hii kwa Liver ama City, unaweza kujikuta mtu unapigwa gwala !!. Half-time nilikwenda kulala sikuweza kuvumilia mpira ule kwa kweli.
 
Tuchel ana falsafa mbaya sana ya uchezaji ambayo haitakiwi kwa timu inayo pambania makombe. Jamaa mpira wake umepoa sana kama kinyonga, ule mpira siupendi kwa kweli. Hivi huwa haoni vile LiverPUNGA, Man SHIT ama AseNANE wanavyo peleka moto. Yaani mtu anatafutwa mpaka anakubali, sasa yeye pole pole kama kalazimishwa, pumbavu zake. Yule mbwa anakera sana
 
Tuchel ana falsafa mbaya sana ya uchezaji ambayo haitakiwi kwa timu inayo pambania makombe. Jamaa mpira wake umepoa sana kama kinyonga, ule mpira siupendi kwa kweli. Hivi huwa haoni vile LiverPUNGA, Man SHIT ama AseNANE wanavyo peleka moto. Yaani mtu anatafutwa mpaka anakubali, sasa yeye pole pole kama kalazimishwa, pumbavu zake. Yule mbwa anakera sana
Pole sana Papaa ndio ukubwa huo, taratibu utazoea tu kuvaa kijora bila ya Kyupi.
tapatalk_-1304297779_375x440.jpg
 
Katika kitu nachoamini hata aje nani tutacheza vizur 1 season then unaofata tunarudi kwenye default mode, tunaanza kumalum kocha ila shida kuu iko kwa wachezaji.

Tutacheza vizuri kumshawishi kocha, then wakihisi washamshawishi wanarudi kwenye default mode,
Hii cycle itaendeleea kujirudi huku tukijificha kwenye kivul cha kocha
 
Katika kitu nachoamini hata aje nani tutacheza vizur 1 season then unaofata tunarudi kwenye default mode, tunaanza kumalum kocha ila shida kuu iko kwa wachezaji.

Tutacheza vizuri kumshawishi kocha, then wakihisi washamshawishi wanarudi kwenye default mode,
Hii cycle itaendeleea kujirudi huku tukijificha kwenye kivul cha kocha
Siku zote timu ikifanya vibaya lawama lazima ziwe kwa kocha huwezi ukafukuza wachezaji sasa angalia Chelsea inaongoza kwa kufanya usajiri lakini inapata matokeo mabovu

Hakuna tajiri atayekubali kumwaga pesa halafu ategemee matokeo mabovu lazima kocha awajibike na kufukuza makocha ndio imefanya tumepata mafanikio miaka ya nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom