Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Conte hawezi kumuachia Kane
Kuna baadhi ya vitu muhimu vya kuweka maanani kwa mchezaji kama Kane kuuzwa
  1. Mapato ya kuuza vs malengo ya timu (realistic goals) Spusr haiwezi kugombe makombe makubwa, labda wakimuuza Kane kwa bei nzuri wanaweza pata nguvu ya kujenga kikosi imara zaidi
  2. Kane ni mzee haendelei kuwa kijana, kule mbele labda ataondoka bila faida
  3. Kane mwenye anayo ambition ya makombe makubwa na atahitaji kwenda timu ambayo hayo yanaweza fikiwa
  4. Msukumo wa uongozi unaweza lazimisha Kane kuuzwa kama ofa nzuri itatolewa
  5. Ni kweli mfarakano na kocha inaweza kutokea kama Conte hajapelekwa shule vizuri
 
Kuna baadhi ya vitu muhimu vya kuweka maanani kwa mchezaji kama Kane kuuzwa
  1. Mapato ya kuuza vs malengo ya timu (realistic goals) Spusr haiwezi kugombe makombe makubwa, labda wakimuuza Kane kwa bei nzuri wanaweza pata nguvu ya kujenga kikosi imara zaidi
  2. Kane ni mzee haendelei kuwa kijana, kule mbele labda ataondoka bila faida
  3. Kane mwenye anayo ambition ya makombe makubwa na atahitaji kwenda timu ambayo hayo yanaweza fikiwa
  4. Msukumo wa uongozi unaweza lazimisha Kane kuuzwa kama ofa nzuri itatolewa
  5. Ni kweli mfarakano na kocha inaweza kutokea kama Conte hajapelekwa shule vizuri
Mkuu msimu uliopita Kane ilikua aende City ila ile transfer ikashindikana wengi tuliamini msimu huu anaondoka lakini haijakuwa hivyo na kwa kuongezea uongozi wa Spurs ukaamua kumleta Conte kocha wa makombe. Jiulize kitu gani kilimshawishi Kane aendelee kubaki Spurs ni lazima ameahidiwa mambo mazuri ndio maana msimu huu hatujasikia tetesi za yeye kutaka kuondoka.

Yawezekana ni kweli Spurs hawapo kwenye nyota ya makombe ila nina uhakika hawa jamaa chini ya Conte lazima watakua moto pengine wanaweza kuanza kufuta tatizo la kutokubeba makombe.
 
Gabriel Slonina has completed a permanent transfer to Chelsea!

The 18-year-old joins from Chicago Fire where he will return on loan to complete their season before moving to London at the start of 2023.
 
𝐃𝐄𝐀𝐋 𝐃𝐎𝐍𝐄: Chelsea have reached an agreement with Aston Villa to sign 18-year old Carney Chukwuemeka.

Move is dependent on personal terms and medical.

(Source: Chelseafc)
Gerald kasema sababu kubwa ni kwamba dogo kakataa kusaini mkataba na alibakiwa na msimu mmoja tu kuwa free agent. Sababu ya kukataa kusaini mkataba ni kwamba alitaka kuhamia timu itakayompa muda zaidi wa kucheza
Dogo alivuta macho ya admirers wengi pale alipoiwezesha Uingereza under 19 kubeba kombe la Klabu Bingwa Ulaya yeye akiwa nahodha.
 
Tunasajili Cucurella na Josko. Tunauza Alonso, Emerson na Azplicueta. Habari ya nyuma inakuwa imeisha.
RB Leipzig have rejected a €80m offer from Manchester City for Josko Gvadriol, a player who has been linked with Chelsea this summer.
 
1659488004641.png
 
Mtazamo wangu kuhusu deal la fofana binafsi namuona fofana ni beki wa kawaida sio beki tishio sio mchezaji wakutoa pound 80M walioweka club yake
 
Mazungumzo zaidi yatafanyika leo hii juu ya kufikia makubaliano juu ya deal la Cucurella baada ya jana kupeleka ofa ya £50M.
Brighton bado hawajakubal huku wakitaka ofa kubwa n wapate mrithi wake,

Wakat huo chelsea wako katika mazungumzo na Barcelona juu ya kumsajil De jong, Chelsea wanamataini ya kufikia makubaliano na Barcelona n De Jong.

Source- The Athletic- David Ornstein
 
Kile kipigi cha Barca angalau sasa tunalipiza kisasi
Akija City kwa cucurella unapiga ngumi ya pua
Akija Man u kwa De Jong unapiga ngumi jicho la kulia
Hat PSG akipita njia yetu tunakung'uta ile mbaya
Liverpool akizubaa naye tunapiga ya kichwa hadi wakome kabisa
Halafu mwisho Barcelona tunamsubiri UEFA, tukipangwa Group moja tutamwonyesha njia ya kurudi alikotoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom