Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_2368.jpg
 
Plisic ziechy mount odoi, kwa mfumo wa uchezaji hawana impact yoyote kwenye timu, bora wauzwe hata kwenye hasara tupata nafasi ya kupanga safu ya ushambuliaji hatari, vijana wapo kwenye hizi team za middle table wazuri sanaa
Hudson Odoi auzwe Arsenal akafundishwe mpira, ni mchezaji mzuri.
 
Hata Mount unamuweka, kweli wewe umetumwa, mchezaji mwenye uwezo wa kufukisha double digits kwenye magoli na assists kweli na ameprove hivyo. Mchezaji bora kwa misimu miwili iliyokaribiana, misimu mitatu ya first team, mchezaji bora misimu miwili. Futa kauli yako juu ya Mount ama watakuona huelewi soka
Sawa mkuu na kuelewa ila tunahitaji key player tukiwa katika hali ngumu, Mount huwezi kumtegemea kuku okowa kwenye match ngumu kama ya jana, angalau Karvts kwa kiasi,
Ila Mount inahitaji wachezaji wazuri nyuma yake ili aonekani ni average player tu 'just one eyed man among the blind'

ni over rated kwasbb ya uingereza wake, ila msimu ule Kante angekua mchezaji bora au mardy........media na ma gents wa uingereza over rate, Mount ni wa kawaida mno anabebwa tu na team nzima hana individual special talent, Chalsea inahitaji special individuals talented player, hao wengine ni average players kutuweka tu kwenye nafasi ya 4 au 3 ila sio kubeba Epl..kwa mfano uliangalia mchezaji wa Newcastle Maxima, ndo hao tunahitaji anabeba teamu zima sio hao wakina Mount, plisic Odoi, zienchy harvts nk.
 
Sababu kuu ya kufungwa jana sio Mendy wala Koulibally sababu ya kusema hivyo hao walifanya minor mistakes
Sababu kuu ni kule mbele na viungo wote kwa uzito mmoja. Kule mbele wangekuwa wakatili na viungo wangekata umeme Chelsea ingeondoka na point tatu hata kama tumefungwa kwa sababu ya uzembe wa Mendy
Timu pinzani zimegundua kuwa forward wetu ni butu na hawana madhara hata wakiachiwa goli tupu. Huu ndio ukweli. hatuna mtu wa kuogopwa pale mbele. Hawa walipo hata ukiwachia goli hawawezi kufanya kitu ni sawa na hanisi umuachie binti aliyepevu hata kumpa mimba hawawezi. Ndio maana timu pinzani wametuzoea kama watoto wa shangazi na mjomba. Tungekuwa na Drogba pale mbele nani angetoka golini?

Me nilikuwa nashangaa yaani mnafika golini kirahisi sana ila sasa kufunga hamuwezi ,golini mnalemba tena mwisho wa siku mnaanza kumlaumu mendy.

Cucurela ndio pasi zake ndio zinazoenda kuleta hatari wengine wanaruka ruka uwanjani,cucurela kama alishakuwa na nyinyi msimu uliopita maana anacheza vizuri sana.

Mkipoteza mechi zingine mbili mfululizo mtaanza kuwa timu ya kawaida.
 
Sawa mkuu na kuelewa ila tunahitaji key player tukiwa katika hali ngumu, Mount huwezi kumtegemea kuku okowa kwenye match ngumu kama ya jana, angalau Karvts kwa kiasi,
Ila Mount inahitaji wachezaji wazuri nyuma yake ili aonekani ni average player tu 'just one eyed man among the blind'

ni over rated kwasbb ya uingereza wake, ila msimu ule Kante angekua mchezaji bora au mardy........media na ma gents wa uingereza over rate, Mount ni wa kawaida mno anabebwa tu na team nzima hana individual special talent, Chalsea inahitaji special individuals talented player, hao wengine ni average prayer kutuweka tu kwenye nafasi ya 4 au 3 ila sio kubeba Epl..kwa mfano uliangalia mchezaji wa Newcastle Maxima, ndo hao tunahitaji anabeba teamu zima sio hao wakina Mount, plisic Odoi, zienchy harvts nk.
Tunachokosa ni Chemistry, tukiwa na viungo wazuri hata uzuri wa Mount utaongezeka, tusubiri usajili utulete chemistry nzuri inayotokana na wachezaji wenye viwango. Kama walivyosema wengi Jorginho, RLC, na sasa Galagher hawatoshei pale, at least wanaofaa kubaki pale ni Kante, Kova na Mount. Mbele pia inatakiwa revamp. Sterling ataonekana takataka kwa sababu yuko katikati ya matakataka
Jana defence akina Koulibaly wanaonekana ovyo kwa sababu mvua ya mawe inatokea hapo kwenye viungo. Beki yeyote hata awe mzuri kiasi gani mkiwa na viungo takataka mabeki nao wanaonekana hawajui. Ndio maana mimi naamini 99% tatizo kubwa la Chelsea ni viungo then attacking
 
Inawezekana tatizo ni KOCHA mifumo, mbinu + style ya uchezaji ni ngumu/tatizo/hazieleweki.
Kuna siku huko nyuma niliwahi kusema PEP anajulikana kwa falsafa yake ya kumiliki mipira
Klopp anajulikana kwa style yake ya direct football na
Conte anajulikana kwa counter attack

TT hajulikani anatumia falsafa ipi, yeye kakazana na mbinu na tactics ambazo mara nyingi zinafeli na zikifeli tunabugizwa magoli mengi. Unaweza kuta tunamiliki 60 hadi 70% lakini tunatoka bila point
 
Hapo nitatofautiana na wewe. Chanzo ilikuwa kocha. Siku ile Kante hakuwa vizuri kwenye kuzuia na alishafanya fatal mistakes kadhaa. Badala ya kum sub, TT akakomaa naye mpaka akasababisha goli. Karudie kuangalia tulivyofungwa.
Kwahiyo mendy akufanya mistake iliyowapa madrid goli au unazungumzia vitu gani
 
Yaani wewe Saint unasubiri tu tufiwe ndio uje, mbona ninyi mkifanya vizuri tunakujaga kuwapongeza. Sio vizuri naman hiyo, mpira ni kujenga urafiki ndio maana kila mechi ikiisha makocha wanasalimiana, wachezaji wanabadilishana hadi jezy. Karibu darajani, mpira ni kufungwa, kudroo na kufunga
Ndio nilikuja kuwasalimia kuwapa pole majirani wa darajani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom