Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuchel kwa sasa simuelewi kabisa, ana uchezaji wa kipumbavu sana. Mpira umepooza sana utadhani wanacheza wagonjwa mbinu kaishiwa.
Kiukweli tunahitaji kusajili angalau Dm.


Yaani tulivocheza dhidi ya Totte na tulivocheza jana ni tofauti.


Timu mbili tofauti, wakati utofauti ni absense ya mchezaji mmoja tu [Kante].
 
Ukiona subs ambao wanatarajia kubadili matokeo ni Ziyech na Pulisic (unhappy players) ambao wamaeoneshwa kuwa hawapo kwenye mipango ya TT na wapo sokoni kama mteja atapatikana, ujue hali yetu ni mbaya sana. We'll be a midtable team this season. CF is mandatory. Short of that, tutafungwa hadi tuchakae. Sasa hivi tunayo nakisi ya magoli 2.
Bado kiungo chetu takataka, bado CF akiletwa hamna kitu kitafanyika.
 
Ukiona subs ambao wanatarajia kubadili matokeo ni Ziyech na Pulisic (unhappy players) ambao wamaeoneshwa kuwa hawapo kwenye mipango ya TT na wapo sokoni kama mteja atapatikana, ujue hali yetu ni mbaya sana. We'll be a midtable team this season. CF is mandatory. Short of that, tutafungwa hadi tuchakae. Sasa hivi tunayo nakisi ya magoli 2.
CF bila kuwa na viungo wenye uwezo wa kucreate chance ni kutaka kumtukana bure,
Kutegemea Wingback or Sterling wacreate chance ni tatizo,
 
Thomas Tuchel: "Edouard Mendy knows himself. With these kind of mistakes, I don’t know if it is necessary to speak about it. He knows himself and it has nothing to do with protecting him, everybody in the world sees that mistake."

(Chelseafc)
Mendy anarudia makosa yake, akikaa bench hata gane 2/3 akili itamkaa sawa,
 
Kiukweli tunahitaji kusajili angalau Dm.


Yaani tulivocheza dhidi ya Totte na tulivocheza jana ni tofauti.


Timu mbili tofauti, wakati utofauti ni absense ya mchezaji mmoja tu [Kante].
Against tim kubwa huwa tunacheza vizuri, ila sasa njoo kwa hivi vitim vidogo yani utakuta tunacheza kama tumelazimishwa, tunastruggle kucreat chance
 
Mmerudi kule kule niliko kuwa nasema msimu uliopita
Chelsea waachane na Auba wamsajili Ivan Tonney
Maoni yangu
Auba ni mfungaji mzuri lakini kama Ivan Tonney atakuwepo katikati, basi Tonney atakuwa na vitu vingi vya kuleta darajani zaidi ya Auba
 
allypipi naona umepata pa kujifariji 🙂
Leo tumepoteza na tumekula kichapo kweli!

Wale waliosema Lampard alikuwa takataka bila shaka wanaelewa maana ya kusuka kikosi. Sio kazi rahisi hata. Always will appreciate kazi ya Frank ya kututengenezea kikosi. Alikosa mbinu tu na akawa na mahaba kwa baadhi ya wachezaji.

TT ana mbinu ila kikosi kusuka sioni kama anaweza kivile. Ila ndio hivyo tena ndio kocha na tunaye kwa muda ninavyoona!

Cha msingi sisi CFC originale hatuogopi kuwa chini. Maana tangu awali tulikaa sana huko. Ila bado naamini bado tuna uwezo wa kuchukua nafasi tatu za juu. Ligi bado sana hii!
Well said bro. Sisi wengine ukituuliza tunaipendea nini Chelsea siwezi kukupa jibu la moja kwa moja. Nilianza kuishabikia ikiwa inamaliza ligi nafasi kati ya 6 na 10 miaka ya '94.
Sisi tatizo letu Chelsea tumekuwa na matamanio ya kupata vikombe kila msimu bila kujenga team hasa baada ya club kununuliwa. Tunacheza kamari ya ununuzi wa wachezaji wenye majina makubwa lakini bila kujua mfumo wetu unawafaa au la. Tena siyo wachezaji ambao tajiri anaona wanafaa.

Tatizo lingine, hatuwapi wachezaji wala makocha muda wa kuyazoea mazingira na kufahamiana. Hatuoneshi kuwaamini kwasababu tunataka matokeo ya haraka haraka. Mchezaji anatoka ligi tofauti unataka afanye maajabu kabla hajaujua mfumo wa uchezaji na uchezeshaji maana wachezaji wanategemeana katika kucheza. Hadi watengeneze chemistry ya uchezaji kama ile combination ya zamani ya Dwight York na Andy Cole wa Man U, the deadliest strikers of all time.
 
CF bila kuwa na viungo wenye uwezo wa kucreate chance ni kutaka kumtukana bure,
Kutegemea Wingback or Sterling wacreate chance ni tatizo,
Ukiangalia maongezi ya Tuchel nikwamba hakuna mpango kabisa kusajiri kiungo labda mabeki ndio target yake
 
Mtu wa kwanza kutimuliwa pale Chelsea ni kocha, hafai tena kuwa pale.
Niliwahi kumsema TT kuwa sometime anachangia ubovu wa wachezaji nikashambuliwa wee Hadi nikanyamaza tu. TT ni kichaa, siku kichaa chale kikimtuma vizuri tutashinda, siku ikimtuma vibaya mambo ndio kama ya Jana.
 
Well said bro. Sisi wengine ukituuliza tunaipendea nini Chelsea siwezi kukupa jibu la moja kwa moja. Nilianza kuishabikia ikiwa inamaliza ligi nafasi kati ya 6 na 10 miaka ya '94.
wewe ni muongo
nyie mashabiki wa chelsea hapa bongo ni baada ya Mourinho
usitake kujifanya umeanza kushabikia zamani wala nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom