Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Kuna wachezaji huwa nasema hapa tuwasajili ila huwa mnawachukulia poa sana, mwisho wanaonyesha uhatari wao. Hawa ni baadhi ya wachezaji niliowahi kuwasema hapa na kutamani tuwachukue. James Tarkowski huyu huu ni msimu wa tatu nalilia aje kwenye klabu yetu bonge moja la beki, Ivan Toney kila mmoja hapa aliniona sijui mpira baada ya kumtaka huyu badala ya kubwa jinga Lukazigo, Lisandro Martinez huyu nilileta easy yake kabisa kwasasa anakiwasha huko unyumbuni, Savic leo mpka kesho nalilia huyu mwamba aje kwenye klabu yetu, Antony huyu sijui timu yetu ilikwama wap wakati tulikuwa kwenye hatua nzuri ya kumchukua. Hao ni baadhi tu
Leo tena nawambia mchezaji wa kumchukua hasa kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji, Cody Gakpo huyu dogo anacheza nafasi nne kwa ufasaha mzuri kabisa.
Leo tena nawambia mchezaji wa kumchukua hasa kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji, Cody Gakpo huyu dogo anacheza nafasi nne kwa ufasaha mzuri kabisa.
sio wa kuwaamini wapi dele alli akiwa na miaka 20 na sasa. Simbukuki ni lini chini ya TT timu kushinda kwa magoli kuanzia 4 na kuendelea japo kwa mechi 2 kati ya 5. Sasa kweli tunashindwa kununua midfielder ya kuanzisha mashambulizi tunakomaa na mabeki ambao hata kina chalobah sio wabaya tatizo ni mpira unachezwa sana zone ya mabeki