Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna wachezaji huwa nasema hapa tuwasajili ila huwa mnawachukulia poa sana, mwisho wanaonyesha uhatari wao. Hawa ni baadhi ya wachezaji niliowahi kuwasema hapa na kutamani tuwachukue. James Tarkowski huyu huu ni msimu wa tatu nalilia aje kwenye klabu yetu bonge moja la beki, Ivan Toney kila mmoja hapa aliniona sijui mpira baada ya kumtaka huyu badala ya kubwa jinga Lukazigo, Lisandro Martinez huyu nilileta easy yake kabisa kwasasa anakiwasha huko unyumbuni, Savic leo mpka kesho nalilia huyu mwamba aje kwenye klabu yetu, Antony huyu sijui timu yetu ilikwama wap wakati tulikuwa kwenye hatua nzuri ya kumchukua. Hao ni baadhi tu

Leo tena nawambia mchezaji wa kumchukua hasa kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji, Cody Gakpo huyu dogo anacheza nafasi nne kwa ufasaha mzuri kabisa.
 
Bila kuwa na mkurugenz wa michezo tutaendelewa kupigwa .
Mkurugenz wa Michezo nimuhim kwa sasa,

Huyu Anthony Gonrdon kweli anastahil 60M??? Kuna wachezaj wazuri zaidi yake

Wape wolves 50 wakupe Neto, o nenda Vilareal kamchukue Yeremi Pino, au nenda kule ufaransa ukamchue Paqueta pale Lyon.

Kuna wachezaj wazuri kwa bei ya kawaida,

Huyu Anthony Gordon hana tofauti na Odoi, na Odoi anampita vizuri tu akipata mechi za kutosha.

Tuchel hata kama ni wachezaj unaowataka sio hivi, 60M kwa Gordon ni wizi
Mnaambiwa huyu kocha hajielewi bado mnakaza mafuvu sasa odoi na Gordon wana tofauti gani
Tumeuza wakina Werner lukaku Abraham halafu tunahangaika tena kutafuta striker sijui Aubameyang yani ni upuuzi mtupu hakuna forward atayefanya vizuri mbele ya TT na aina yake ya ufundishaji

Wacha tupigwe kwenye usajiri maana haijulikan tunataka nn
 
Mimi nikisema watu hawaelewi wanakaza mafuvu yao tu, kwa sasa pale Chelsea Tuchel ndio tatizo, hamna kocha mle kwa sasa. Jitu nilioga sijapata kuona
Mnaambiwa huyu kocha hajielewi bado mnakaza mafuvu sasa odoi na Gordon wana tofauti gani
Tumeuza wakina Werner lukaku Abraham halafu tunahangaika tena kutafuta striker sijui Aubameyang yani ni upuuzi mtupu hakuna forward atayefanya vizuri mbele ya TT na aina yake ya ufundishaji

Wacha tupigwe kwenye usajiri maana haijulikan tunataka nn
 
Mimi nikisema watu hawaelewi wanakaza mafuvu yao tu, kwa sasa pale Chelsea Tuchel ndio tatizo, hamna kocha mle kwa sasa. Jitu nilioga sijapata kuona
Sioni tukipata mafanikio ya kuchukua ligi mbele TT sawa anapewa mda atengeneze timu anayotaka lakini tunacheza kamali huenda akafanya vizuri au akavuluga kabisa tukabaki tunajutia
 
Mimi nikisema watu hawaelewi wanakaza mafuvu yao tu, kwa sasa pale Chelsea Tuchel ndio tatizo, hamna kocha mle kwa sasa. Jitu nilioga sijapata kuona
Muache TT ajichimbie kaburi lake mwenyewe. Sasa hivi atapewa kila mchezaji anayemtaka, lakini itakuja kumtokea puani. Spending itaenda hadi ~£300M kama wachezaji anaowahitaji watanunuliwa wote. Matokeo yasipoeleweka, ataliwa nyama na msimu huu utakuwa wa mwisho.
 
Kuna wachezaji huwa nasema hapa tuwasajili ila huwa mnawachukulia poa sana, mwisho wanaonyesha uhatari wao. Hawa ni baadhi ya wachezaji niliowahi kuwasema hapa na kutamani tuwachukue. James Tarkowski huyu huu ni msimu wa tatu nalilia aje kwenye klabu yetu bonge moja la beki, Ivan Toney kila mmoja hapa aliniona sijui mpira baada ya kumtaka huyu badala ya kubwa jinga Lukazigo, Lisandro Martinez huyu nilileta easy yake kabisa kwasasa anakiwasha huko unyumbuni, Savic leo mpka kesho nalilia huyu mwamba aje kwenye klabu yetu, Antony huyu sijui timu yetu ilikwama wap wakati tulikuwa kwenye hatua nzuri ya kumchukua. Hao ni baadhi tu

Leo tena nawambia mchezaji wa kumchukua hasa kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji, Cody Gakpo huyu dogo anacheza nafasi nne kwa ufasaha mzuri kabisa.
Tarkowski lampard aliwah mtaka.

Toney bonge la striker, kwa aina ya uchezaj wetu unamfaa zaidi, sio mtu wa kukaa shm moja.

Kuna wachezaj wazuri ni vile hatuna scouting nzuri hivi sasa + mkurugenz wa michezo
 
Mnaambiwa huyu kocha hajielewi bado mnakaza mafuvu sasa odoi na Gordon wana tofauti gani
Tumeuza wakina Werner lukaku Abraham halafu tunahangaika tena kutafuta striker sijui Aubameyang yani ni upuuzi mtupu hakuna forward atayefanya vizuri mbele ya TT na aina yake ya ufundishaji

Wacha tupigwe kwenye usajiri maana haijulikan tunataka nn
Tuchel anaweza kuwa anamapungufu yake ila wachezaj wetu ndio wanaosababisha matokeo ya draw o kulose.

Huwa tunacreate chance za kufunga japo sinyingi like city ila chance tunazotengeneza ni clear chance, ila wachezaj wetu wanakosa,
Game nyingi tu wachezaj wetu ndio wanaosababisha matokeo, tunapata chance za kuua game huwa wanazipoteza,.

Nikikumbuka game ya liverpool Carabao, game ya spurs, game ya man utd etc game nyingi tu player ndio wanaomuangusha Tuchel,

Hawa wakina havertz,werner,mount,pulisic unadhan wangekuwa wanascore kwa chance wanazopata kuna mtu analalamika??
Mtu anakosa 1v1 utamlaumije kocha,
 
Mnaambiwa huyu kocha hajielewi bado mnakaza mafuvu sasa odoi na Gordon wana tofauti gani
Tumeuza wakina Werner lukaku Abraham halafu tunahangaika tena kutafuta striker sijui Aubameyang yani ni upuuzi mtupu hakuna forward atayefanya vizuri mbele ya TT na aina yake ya ufundishaji

Wacha tupigwe kwenye usajiri maana haijulikan tunataka nn
Soon tutaingia madeni kama Barcelona yaani tunanunua vitu vya kawaida kwa bei kubwa. Bila kumdhibiti huyu kocha atatutia hasara mbaya zaidi wachezaji wa sio wa kuwaamini wapi dele alli akiwa na miaka 20 na sasa. Simbukuki ni lini chini ya TT timu kushinda kwa magoli kuanzia 4 na kuendelea japo kwa mechi 2 kati ya 5. Sasa kweli tunashindwa kununua midfielder ya kuanzisha mashambulizi tunakomaa na mabeki ambao hata kina chalobah sio wabaya tatizo ni mpira unachezwa sana zone ya mabeki
 
Soon tutaingia madeni kama Barcelona yaani tunanunua vitu vya kawaida kwa bei kubwa. Bila kumdhibiti huyu kocha atatutia hasara mbaya zaidi wachezaji wa sio wa kuwaamini wapi dele alli akiwa na miaka 20 na sasa. Simbukuki ni lini chini ya TT timu kushinda kwa magoli kuanzia 4 na kuendelea japo kwa mechi 2 kati ya 5. Sasa kweli tunashindwa kununua midfielder ya kuanzisha mashambulizi tunakomaa na mabeki ambao hata kina chalobah sio wabaya tatizo ni mpira unachezwa sana zone ya mabeki
Umeona mbali sana. Niliwahi kusema siku moja humu kwamba, Chelsea inajiona ni litimu fulani likuubwa ambalo wachezaji wake lazima wawe special sana lakini mimi naiona ni ya kawaida sana. Sisi kufunga magoli 3 katika mechi moja kwa msimu mmoja frequency yake ni ndogo mno.

Sisi timu yetu haiamini katika kuwagroom watoto kwa kuwachezesha mara kwa mara na kuwajengea kujiamini wenyewe. Angalia timu zingine zinakuwa na wachezaji wa kawaida tu wanaoaminiwa na ndio wanaotutoa kamasi kila siku.

Siku tukikutana na Fulham, Newcastle, Brentford au hata Wolves mtaelewa nasema nini. Kumpa mchezaji kama Pulisic dakika 45 au 50 asicheze vizuri, mechi 3 zinazofuata ukamuweka benchi ukaja kumuanzisha mechi ya 5, kitu ambacho kocha atakuwa amekifanya ni draining confidence out of the player. Timo Werner alikosa kujiamini kwasababu ya inconsistencies na masimango ya kocha na vyombo vya habar lakini Timo ni mchezaji mzuri sana, mwenye spidi kali ambaye hata kama hafungi anawanyima sana mabeki raha.
 
Soon tutaingia madeni kama Barcelona yaani tunanunua vitu vya kawaida kwa bei kubwa. Bila kumdhibiti huyu kocha atatutia hasara mbaya zaidi wachezaji wa sio wa kuwaamini wapi dele alli akiwa na miaka 20 na sasa. Simbukuki ni lini chini ya TT timu kushinda kwa magoli kuanzia 4 na kuendelea japo kwa mechi 2 kati ya 5. Sasa kweli tunashindwa kununua midfielder ya kuanzisha mashambulizi tunakomaa na mabeki ambao hata kina chalobah sio wabaya tatizo ni mpira unachezwa sana zone ya mabeki
Hapo kwenye madeni sidhani, ndio maana wakat tim inauzwa kuna kipengele cha anti glazer.

Before tim haijauzwa deni lilikuwa 1.+BN ambazo Roman aliikopa. Wakat wakuuza akasamehe deni hilo nakuifanya chelsea isiwe na deni
 
Tuchel anaweza kuwa anamapungufu yake ila wachezaj wetu ndio wanaosababisha matokeo ya draw o kulose.

Huwa tunacreate chance za kufunga japo sinyingi like city ila chance tunazotengeneza ni clear chance, ila wachezaj wetu wanakosa,
Game nyingi tu wachezaj wetu ndio wanaosababisha matokeo, tunapata chance za kuua game huwa wanazipoteza,.

Nikikumbuka game ya liverpool Carabao, game ya spurs, game ya man utd etc game nyingi tu player ndio wanaomuangusha Tuchel,

Hawa wakina havertz,werner,mount,pulisic unadhan wangekuwa wanascore kwa chance wanazopata kuna mtu analalamika??
Mtu anakosa 1v1 utamlaumije kocha,
TT ana seheemu yake kubwa tu. Kama vile anatakiwa awe na consistency style ya uchezaji kama walivyo makocha wengine kwa sababu kwa sasa sisdhani kama TT anayo falsafa inayoeleweka kama walivyo top managers hapo EPL. Kutegemea mbinu mara leo hivi mara kesho vile inawachanganya wachezaji.

Wachezaji nao wana sehemu yao ya kulaumiwa

Mfano
  1. Mount, havertz, ziyech, werner, galagher and co - wana style fulani inayowafaa ili wacheze in full potential
  2. Broja na Odoi wanahitaji mechi nyingi so mkopo kwao ni sawa ili waongeze fitness na confidence. Wakitegemea ndani ya Chelsea wapate huo muda ni kujidanganya kabisa, Chelsea wanashindania makombe kwenye kila ligi wanayoshiriki so sioni kocha aki risk kibarua chake kwa kuwasubiri wachezaji wakomae huku akipokea kipigo kila mechi. Chelsea kama ilivyo Liver, City n i timu ya ready made players
  3. Pulisic kwa kweli ni homa za vipindi, hata akiwa dotmun d alikuwa hivi hivi, sidhani kama pulisic atakuja kuwa consistence best performer
 
TT ana seheemu yake kubwa tu (kama vile anatakiwa awe na consistency style ya uchezaji kama walivyo makocha wengine kwa sababu kwa sasa sisdhani kama TT anayo falsafa inayoeleweka kama walivyo top managers hapo EPL. Kutegemea mbinu mara leo hivi mara keshi vile inawachanganya wachezaji.

Wachezaji nao wana sehemu yao ya kulaumiwa

Mfano
  1. Mount, havertz, ziyech, werner, galagher and co - wana style fulani inayowafaa ili wacheze in full potential
  2. Broja na Odoi wanahitaji mechi nyingi so mkopo kwao ni sawa ili waongeze fitness na confidence. Wakitegemea ndani ya Chelsea wapate huo muda ni kujidanganya kabisa, Chelsea wanashindania makombe kwenye kila ligi wanayoshiriki so sioni kocha aki risk kibarua chake kwa kuwasubiri wachezaji wakomae huku akipokea kipigo kila mechi. Chelsea kama ilivyo Liver, City n i timu ya ready made players
  3. Pulisic kwa kweli ni homa za vipindi, hata akiwa dotmun d alikuwa hivi hivi, sidhani kama pulisic atakuja kuwa consistence best performer
Case well argued!
 
Thomas Tuchel has made it very clear that he has no intentions of signing a midfielder, ruling #Chelsea out as a possible destination for Frenkie de Jong.
 
Ili turudi back 4 tunahitaj 1CB na 1Dm wa nguvu mwenye uwezo kulinda backline yake o kucover nafas ya CB anapoenda shambulia

Jorginho hawezi fanya hii kazi,
Wakat tutakaposajili new Dm ndio tutakaporudi kwenye back 4 ila kwa sasa tukisema turudi tutaendelea kuwa exposed mpk tukome.

Kama tulivyokuwa exposed kwenye game ya arsenal pre season
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom