Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread


Wakuu wa Darajani, hebu fanyeni hima, hivi mnajua Kolubali akisimama pale kati na Magwaya hakipiti kitu?

Changamkeni mumchukue Magwaya.
 
Mimi naona tatizo ni TT na mbinu zake zisizokuwa na plan B.

Havertz, Werner, Lukaku, Ziyech walikua world class players uko walipotoka na stats zao zilikua za kutisha. Cha ajabu wote wameshindwa kufanya vizuri km walivokua wanafanya walipotoka. Wote walikua wana goal involvements 30+ kwa msimu alaf chelsea wamekuja kupata tabu kua na goal involvements hata 10. Angekua ameflop mchezaji mmoja tungeelewa ila wote hao???? Hatuwezi shinda epl na kocha huyu labda UEFA kule ambako unaweza shinda mechi chache ukafika mpaka fainali
 
Mimi naona tatizo ni TT na mbinu zake zisizokuwa na plan B.

Havertz, Werner, Lukaku, Ziyech walikua world class players uko walipotoka na stats zao zilikua za kutisha. Cha ajabu wote wameshindwa kufanya vizuri km walivokua wanafanya walipotoka. Wote walikua wana goal involvements 30+ kwa msimu alaf chelsea wamekuja kupata tabu kua na goal involvements hata 10. Angekua ameflop mchezaji mmoja tungeelewa ila wote hao???? Hatuwezi shinda epl na kocha huyu labda UEFA kule ambako unaweza shinda mechi chache ukafika mpaka fainali
Tuchel kaja january 2021,
Amekuta Werner,Ziyech n Havertz wote performance zao ni kama homa za vipindi

Je wakat wa Lampard, werner,ziyech o havertz kuna yeyote alifkisha hata 10+ goals n 10+assist katika premier league
 
Bila kuwa na mkurugenz wa michezo tutaendelewa kupigwa .
Mkurugenz wa Michezo nimuhim kwa sasa,

Huyu Anthony Gonrdon kweli anastahil 60M??? Kuna wachezaj wazuri zaidi yake

Wape wolves 50 wakupe Neto, o nenda Vilareal kamchukue Yeremi Pino, au nenda kule ufaransa ukamchue Paqueta pale Lyon.

Kuna wachezaj wazuri kwa bei ya kawaida,

Huyu Anthony Gordon hana tofauti na Odoi, na Odoi anampita vizuri tu akipata mechi za kutosha.

Tuchel hata kama ni wachezaj unaowataka sio hivi, 60M kwa Gordon ni wizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom