Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea waachane na Auba wamsajili Ivan Tonney
Maoni yangu
Auba ni mfungaji mzuri lakini kama Ivan Tonney atakuwepo katikati, basi Tonney atakuwa na vitu vingi vya kuleta darajani zaidi ya Auba
Huyo mchezaji unayemsifia kamaliza na goal ngapi? Auba ni mchezaji mzoefu na analijua goal
 
Chelsea waachane na Auba wamsajili Ivan Tonney
Maoni yangu
Auba ni mfungaji mzuri lakini kama Ivan Tonney atakuwepo katikati, basi Tonney atakuwa na vitu vingi vya kuleta darajani zaidi ya Auba
Wenzako wasiojua mpira watakupinga vikali sana ,ila umeona mbali ,
 
Kwanini msifukuze nyinyi Arteta kwanza
Arteta pale arsenal Ni manager Kama alivyokuwa Ferguson au Wenger ,au Pep mancity, anahudhuria vikao vyote vya bodi , ana suggest Nan anamtaka Nani hamtaki, Ndiye aliyewatimua kina Auba,ozil,n.k , tutakuwa naye hapo Arsenal hata miaka 10+
Last season baada ya kupoteza mech 3 , akaletewa mkataba mpya mezani asaini .

Tuchel Ni head coach Hana power yoyote , hawezi kukaa meza moja na wale mabwanyenye , japo Sasa hivi wanataka wampe nguvu kidogo .Muda wowote anaweza kufukuzwa Kama mbwa.kazi yake Ni kufundisha tu, Ndio maana aliletewa kina lukaku ambao hata hawaendani na mifumo yake.

Kwahiyo Unatakiwa ujue Arteta kufukuzwa arsenal Ni Ngumu Sana ,Ni Manager ana total full control,
 
Kwanini Arsenal mnamuogopa Sana Auba 🤣
Ukweli Auba akiwa form Ni mnyama analijua goli ,sio Siri

Ila mwenzako ameangalia factors Kama umri, kufanya linkup play, hivo vitu Toney anavyo ,Auba Hana
Ila SWALA la finishing Auba hata mechi na Leeds , Spurs mngeshinda .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom