Timu ikishakua na Joghinho basiii uchezaji ni konokono. Ngoja siku wawe kante na kova timu ina chanja mbuga balaa, ila TT huwa haoni.Tuchel kwa sasa simuelewi kabisa, ana uchezaji wa kipumbavu sana. Mpira umepooza sana utadhani wanacheza wagonjwa mbinu kaishiwa.



