Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukweli ni kwamba timu sio mbovu kama mnavyodhani shida ni Tuchel na aina ya mfumo anaotumia kuna tetesi zinasema kuna wachezaji hawana furaha

Wachezaji wanacheza out of position unategemea nn kitokee hili haliwezi kufanya kazi unajaza mabeki na viungo kuliko washambuliaji halafu unategemea upate magoli
 
Naona players wetu hawako serious na kazi.

Kuna ambao wanatembea na glass za mvinyo wa UCL.

Tuchel should think of his tactics.

Sijawahi vutiwa na hii staili ya uchezaji wa pass nyingiiiii na back pass hata siku Moja

Ilishafeli kwa barca.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom