Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukweli ni kwamba timu sio mbovu kama mnavyodhani shida ni Tuchel na aina ya mfumo anaotumia kuna tetesi zinasema kuna wachezaji hawana furaha

Wachezaji wanacheza out of position unategemea nn kitokee hili haliwezi kufanya kazi unajaza mabeki na viungo kuliko washambuliaji halafu unategemea upate magoli
Hata sikuelewi
 
Ukweli ni kwamba timu sio mbovu kama mnavyodhani shida ni Tuchel na aina ya mfumo anaotumia kuna tetesi zinasema kuna wachezaji hawana furaha

Wachezaji wanacheza out of position unategemea nn kitokee hili haliwezi kufanya kazi unajaza mabeki na viungo kuliko washambuliaji halafu unategemea upate magoli
Hao ambao hawana furaha hata wakipewa nafas hakuna chochote wanachokifanya,
Hakuna hata playe 1 utasema hapo mwanzo before tuchel ajaja alikuwa anafunga 15 goals or alitoa 10+ assist

Wote ni homa za vipindi hata wachezeshwe kwenye nafas zao, leo yuko vizuri kesho atakavyocheza utataman umkate makofi, na kibaya zaidi game wanazocheza vibaya ni nyingi kuliko game wanazochezq vizuri.

Ili kurudi back 4
Tunahitaj
New DM
New CB
New CM n AM
Nw Rw anayeweza 1v1
 
Hao ambao hawana furaha hata wakipewa nafas hakuna chochote wanachokifanya,
Hakuna hata playe 1 utasema hapo mwanzo before tuchel ajaja alikuwa anafunga 15 goals or alitoa 10+ assist

Wote ni homa za vipindi hata wachezeshwe kwenye nafas zao, leo yuko vizuri kesho atakavyocheza utataman umkate makofi, na kibaya zaidi game wanazocheza vibaya ni nyingi kuliko game wanazochezq vizuri.

Ili kurudi back 4
Tunahitaj
New DM
New CB
New CM n AM
Nw Rw anayeweza 1v1
Hii ndoto ya usajili hadi itimie labda January mwakani.
 
Ukiangalia city wakat wako nyuma na jins wanavyocheza itoshe kusema itatuchukua mda kuwa kama wao,
Sio mchezaj yeyote anayeweza toa pas kama ya kdb kwa bernardo, or ile ya bernardo to Gundogan

Wachezaj wetu wako predictable, ukute mount apige pass kama ya kdb,itachukua miaka 100
Ukiona subs ambao wanatarajia kubadili matokeo ni Ziyech na Pulisic (unhappy players) ambao wamaeoneshwa kuwa hawapo kwenye mipango ya TT na wapo sokoni kama mteja atapatikana, ujue hali yetu ni mbaya sana. We'll be a midtable team this season. CF is mandatory. Short of that, tutafungwa hadi tuchakae. Sasa hivi tunayo nakisi ya magoli 2.
 
Tim nzima imecheza vibaya,

Tuchel leo kazingua,

Tunakazi kubwa ya kufanya hasa hasa dhidi ya tim hizi ndogo,

Havertz ni flop anayetembelea goal la UEFA FAINAL,

Havertz Mount hawa inabidi wiki ijayo wasugue.
Wakisugua mtawapanga akina nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom