Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
kwani magongo hayatafaa kuongeza urefu!Hivi Kounde si mlisema ni mfupi? Atakuwa ameongezeka kimo come Sept 1?![]()
kwani magongo hayatafaa kuongeza urefu!Hivi Kounde si mlisema ni mfupi? Atakuwa ameongezeka kimo come Sept 1?![]()
Tuondoleeni tu. Kuteswa Kwa zamuComedy hii, lol!
Waambie tayari tuna Jorginho kwa kazi hiyo!
Jorginho anatosha kutuchomesha. Hatuhitaji mwingine. Labda waombe Arsenal wawasaidie aisee!Tuondoleeni tu. Kuteswa Kwa zamu



Wewe ni timu gani kwanzaCheltako yatima fc mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale![]()
Huyu kwa huu msongo na jakamoyo, lazima ni ManureWewe ni timu gani kwanza



. Amechocka kumbeba kila mtu. Amezibeba hata zilizopanda daraja. Uzito unaoubeba bila ridhaa yako huwa ni mzito mno 


