Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tajiri analipa kulingana na umuhimu wa huyo mchezaji kwa TT ndio maana ikitokea kocha kamn'gan'gania Sana huyo mchezaji Tajiri yupo teyari kulipa hela yoyote tunalipa kulingana na quality ya mchezaji hiki ndiyo nilichogundua kwa style hii Tajiri atafanya kupooza machungu ya kuondoka kwa mpendwa wetu Abramovic
Example kwa Fofana
 
Chelsea kwenye suala la kuuza na kununua wachezaji sijui huwa tunakwama wapi. Tunauza wachezaji wazuri sana kwa sababu za kipumbavu kabisa, kisha tunanunua wachezaji matakataka tu.

Huyu Fofana anakuja kufanya nini Chelsea!? Tena tunatoa hela nyingi kiasi hicho, aisee acha tupigwe tu maana bodi imejaa upumbavu sana.

Milan Skriniar huyu beki tumeshindwa nini kumsajili? James Tarkowski huyu beki ni msimu wa tatu namuongelea hapa, ni moja ya beki mzuri sana ni vile tu alikuwa Burnley akashindwa kuongelewa. Tarkowski anauzoefu mkubwa kwenye ligi kuu Uingereza toka msimu wa 2016/17 mpaka sasa. Burnley imeshuka daraja tulishdwa nn kumchukua huyo mwamba tena alikuwa anapatka bure kabisa, tumekalia kuchukua matakataka tu.
Kwa Milan Skrinar bei yake unajua sh ngap,inter wanaitaka

Alikuwa nimmoja wa mabek walikuwa juu wakat tunatafuta ila bei yake ndio kikwazo.
Inter wanataka 80+ kwa Skriniar

Tarkowski wakat lampard anamtaka watu mlikuwa mnapinga mkaanza kusema anataka kutengeneza tim ya waingereza,

Sio kila mchezaj anafaa kuendana na falsafa ya kocha aliyepo,
Kwa tuchel ameona Fofana anafaa kwa uchezaj wake na yuko vizuri tu.
 
Chelsea kwenye suala la kuuza na kununua wachezaji sijui huwa tunakwama wapi. Tunauza wachezaji wazuri sana kwa sababu za kipumbavu kabisa, kisha tunanunua wachezaji matakataka tu.

Huyu Fofana anakuja kufanya nini Chelsea!? Tena tunatoa hela nyingi kiasi hicho, aisee acha tupigwe tu maana bodi imejaa upumbavu sana.

Milan Skriniar huyu beki tumeshindwa nini kumsajili? James Tarkowski huyu beki ni msimu wa tatu namuongelea hapa, ni moja ya beki mzuri sana ni vile tu alikuwa Burnley akashindwa kuongelewa. Tarkowski anauzoefu mkubwa kwenye ligi kuu Uingereza toka msimu wa 2016/17 mpaka sasa. Burnley imeshuka daraja tulishdwa nn kumchukua huyo mwamba tena alikuwa anapatka bure kabisa, tumekalia kuchukua matakataka tu.
Hii sio ile Chelsea ya Marina, suala la Fofana ni kocha kamng'ang'ania na Todd Boehly ameahidi kununua wachezaji ambao wanatakiwa na Kocha, Cristiano Ronaldo alikuwa anapendwa sana na Tajiri lakini TT aliposema hamtaki likaishia hewani
 
Frenkie de jong ni deep midfielder playmaker anacheza nafasi ya Jorginho nakwanini TT anamtaka Sana nikwasababu tunakosa option kwenye hiyo nafasi ukimtoa jorginho hakuna mchezaji mwingine wakucheza hiyo nafasi ndio maana anaforce kumchezesha Lotfus cheeck kwenye hiyo nafasi lakini kiuhalisia sio kiungo wa chini hata Mourinho aliwahi kusema na TT anajua Hilo.Na hii pia imechangia jorginho kucheza mechi nyingi kuliko midfielder yoyote
Hata uchezaji wake tofauti na Jorginho, De Jong anaweza kuvunja position lines kwa through passes kama alivyokuwa anafanya Fabregas au Koulibaly au David Luiz kitu ambacho Jorgninho hawezi. Umuhimu wa kuvunja oposition lines ni nzuri sana kwa timu yenye mentality ya kushambulia. Liverpool ni mfano rahisi wa hili. AKina heanderson, Fabinonho, Thiago, Keita wanafanya sana hii business na ndio maana wao wafungaji wao ni rahisi kufunga position. Sisi hatufanyi hivyo na inakuwa ngumu kubreka opposition hasa wale wanaojua kupaki mabasi. De Jong is very important na akija atawaweka benchi hao akina Jorgninho
 
Cesar Azpilicueta has an impressive trophy cabinet during his time at Chelsea:

Premier League
Europa League
Champions League
FA Cup
League Cup
Super Cup
Club World Cup

And now he has two more years to add to it.

César Azpilicueta is the first player in Chelsea's history to win the following trophies at the club:

◉ Premier League
◉ UEL
◉ UCL
◉ FA Cup
◉ EFL Cup
◉ Super Cup
◉ Club World Cup

Dave stays for two more years.
Hivi Azp kwenye champions legue y kwanza hakuwepo?
 
We jamaa timu yako imetumia pesa kibao kusajili hata CL haipo
Ndio ujue tuna kibri, sio lazima usajiri vzr had uwe UCL

Na usajiri hatujamaliza, we need two palyers tuonyeshane makali

Nyiee mnatumia pesa nyingi kusajiri mabeki

Ngoja Ligi ianze Tuone panapovuja
 
Binafsi namuona fofana wa kawaida hiv kweli tunashindwa kwenda pale italia kuchukua beki wa maana
Fofana hajulikani sana kwa sababu hakucheza kwenye timu kubwa ila sio wa kumuunderate
Fofana ni mzuri sana kwenye kuwin mipira ya juu akiwa na urefu mzuri wa futi 6 na inchi 3 sio kama Kounde mfupi. Fofana ni mwepesi kurecovcer na kuzuia counter, Fofana ana uwezo mkubwa wa kublock na kizuri kwake zaidi anajua kufanya timing, awe wapi kwa muda gani, anataka kufanana na anavyofanya Kante ila yeye kwenye defensive area. Fofana anaweza kubreak lines kama na nadhani ni moja ya factor TT kampendea. Sidhani kama TT atakubali pesa nyingi zipotee kwa mchezaji asiyemjua. Tumuamini TT. Ndio maana kwa Ake city alipokataa dau letu TT hakuendelea kumng'ang'ania.
 
Fofana yule mchezaji mzuri ,
Fofana hajulikani sana kwa sababu hakucheza kwenye timu kubwa ila sio wa kumuunderate
Fofana ni mzuri sana kwenye kuwin mipira ya juu akiwa na urefu mzuri wa futi 6 na inchi 3 sio kama Kounde mfupi. Fofana ni mwepesi kurecovcer na kuzuia counter, Fofana ana uwezo mkubwa wa kublock na kizuri kwake zaidi anajua kufanya timingh, awe wapi kwa muda gani, alitle bit kama anavyofanya Kante ila yeye kwenye defensive area. Fofana anweza kubreka lines kama na nadhani ni moaj ya factor TT kampendea. Sidhani kama TT atakubali pesa nyingi zipotee kwa mchezaji asiyemjua. Tumuamini TT. Ndio maana kwa Ake city alipokataa dau letu TT hakuendelea kumng'ang'ania
 
Ndio ujue tuna kibri, sio lazima usajiri vzr had uwe UCL

Na usajiri hatujamaliza, we need two palyers tuonyeshane makali

Nyiee mnatumia pesa nyingi kusajiri mabeki

Ngoja Ligi ianze Tuone panapovuja
Hahaha pole yako aisee last season naona spurs kaikomalia nafasi ya nne, wasalimie Europa huko
 
Uzuri wa fofana ni upi? na mimi nakutajia kwanini upande wangu naona ni beki wa kawaida
Kwa Milan Skrinar bei yake unajua sh ngap,inter wanaitaka

Alikuwa nimmoja wa mabek walikuwa juu wakat tunatafuta ila bei yake ndio kikwazo.
Inter wanataka 80+ kwa Skriniar

Tarkowski wakat lampard anamtaka watu mlikuwa mnapinga mkaanza kusema anataka kutengeneza tim ya waingereza,

Sio kila mchezaj anafaa kuendana na falsafa ya kocha aliyepo,
Kwa tuchel ameona Fofana anafaa kwa uchezaj wake na yuko vizuri tu.
T
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom