Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

| FC Barcelona are interested in resigning Marc Cucurella; talks have begun with him in recent weeks & the club wants to be in the pole position, as Xavi wants a top LB this summer.
@fansjavimiguel []
Lol uwongo n banter hizi
 
Chelsea and Leicester are close to £20m apart in initial valuation for Wesley Fofana. Chelsea are prepared to go up. Further talks this week.

- @JacobsBen
 
| FC Barcelona are interested in resigning Marc Cucurella; talks have begun with him in recent weeks & the club wants to be in the pole position, as Xavi wants a top LB this summer.
@fansjavimiguel []
Waje, safari hii tutawaoiga ngumi ya puani
 
Ila huyu hatakiwi Chelsea, sehemu yenye shida ni RB
Kama Azpilicueta yupo tuachane na RB au LB twende kwenye CB, DM na striker au winger mmoja
Chilwell looks a moribund until he regains his fitness. Fitness yake is questionable kwa sasa. Ningekuwa mimi yaani nalipa £50m bila kusita kwa Marc Cucurella. Cucurella ni upgrade kwa left back wetu wote waliopo. Na hiyo ni nafasi muhimu sana ili kusupply mipira kwa Raheem Cucurella akicheza kama wingback.
 
🚨JUST IN: Barcelona have activated the 3rd lever and are now trying to hijack the Marc Cucurella deal. Xavi told Laporta to do EVERYTHING to sign him. The left back prefers Barca over Chelsea.

— @gerardromero
 
Chilwell looks a moribund until he regains his fitness. Fitness yake is questionable kwa sasa. Ningekuwa mimi yaani nalipa £50m bila kusita kwa Marc Cucurella. Cucurella ni upgrade kwa left back wetu wote waliopo. Na hiyo ni nafasi muhimu sana ili kusupply mipira kwa Raheem Cucurella akicheza kama wingback.
Kwa TT haiti LB Anaita Left Winga-back au LWB ambaye anacheza kama LB na LW
 
Chelsea plan an offer for Barcelona midfielder Frenkie de Jong in the next week.

Though they are currently focused on bringing in defenders, Chelsea are also in the market for a midfielder this summer. Frenkie de Jong is widely seen as available and, with Barcelona open to offers, the Blues are reportedly preparing a bid next week.
1659380015007.png
 
Bado boss wenu hajifunzi tu, ,badala amalizane na mchezaji Kwanza, yeye anaanza na timu

Huyo cocurela Ni simu moja TU ya pep au Laporta inavuruga kila kitu

Pep alishamalizana nae ,,dau TU ndio city kagoma kupanda , ila alisha request KUONDOKA aende city .

Sasa mnamalizana na Brighton ,halafu mje kwa mchezaji ,mkute city au Barcelona wamemshikilia
 
Hizi tetesi ziemzidi na zinatia moyo kumbe kuna kitu kinafanyika
  1. Cucurella ni LWB mzuri sana atakuwa upgrade nzuri ya Alonso ili aondoke kwa amani ila tutampata kwa gharama ya kumpoteza Levi Colwill
  2. Fofana ni mzuri japo mimi naona ni bora tungembakiza Levi Colwill
  3. Josko Gvardiol ni CB mzuri tusimuache
  4. Frenkie De Jong ni mzuri ataziba udhaifu wa midfield yetu kwa kuwa na rotation nzuri ya De Jong, Kante, Kovacic, Mount, Gallagher na Jogninho wanaobaki tuwauze (Barkley, RLC, Billy etc)
  5. Sijasikia kuhusu RWB
 
Hizi tetesi ziemzidi na zinatia moyo kumbe kuna kitu kinafanyika
  1. Cucurella ni LWB mzuri sana atakuwa upgrade nzuri ya Alonso ili aondoke kwa amani ila tutampata kwa gharama ya kumpoteza Levi Colwill
  2. Fofana ni mzuri japo mimi naona ni bora tungembakiza Levi Colwill
  3. Josko Gvardiol ni CB mzuri tusimuache
  4. Frenkie De Jong ni mzuri ataziba udhaifu wa midfield yetu kwa kuwa na rotation nzuri ya De Jong, Kante, Kovacic, Mount, Gallagher na Jogninho wanaobaki tuwauze (Barkley, RLC, Billy etc)
  5. Sijasikia kuhusu RWB
Huyo cucurella anaenda Barcelona,muwe mnaacha kukulupukia deals za watu,wakati city tunamtaka Barcelona hawakuleta mdomo ,hivi Barcelona mliwafanya nin
IMG-20220801-WA0120.jpg
 
Bado boss wenu hajifunzi tu, ,badala amalizane na mchezaji Kwanza, yeye anaanza na timu

Huyo cocurela Ni simu moja TU ya pep au Laporta inavuruga kila kitu

Pep alishamalizana nae ,,dau TU ndio city kagoma kupanda , ila alisha request KUONDOKA aende city .

Sasa mnamalizana na Brighton ,halafu mje kwa mchezaji ,mkute city au Barcelona wamemshikilia
Ni ngumu sana kwa chelsea kupata mchezaji ambae anatakiwq na barcelona au madrid ,, ila ni rahis sana kupata mchezaji ambae anatakiwa na man city au arsenal...
 
Hizi tetesi ziemzidi na zinatia moyo kumbe kuna kitu kinafanyika
  1. Cucurella ni LWB mzuri sana atakuwa upgrade nzuri ya Alonso ili aondoke kwa amani ila tutampata kwa gharama ya kumpoteza Levi Colwill
  2. Fofana ni mzuri japo mimi naona ni bora tungembakiza Levi Colwill
  3. Josko Gvardiol ni CB mzuri tusimuache
  4. Frenkie De Jong ni mzuri ataziba udhaifu wa midfield yetu kwa kuwa na rotation nzuri ya De Jong, Kante, Kovacic, Mount, Gallagher na Jogninho wanaobaki tuwauze (Barkley, RLC, Billy etc)
  5. Sijasikia kuhusu RWB
RWB kuna mahali wanazungumzia Adama Traore. Na kwamba TT is a huge fan of him.
 
Ni ngumu sana kwa chelsea kupata mchezaji ambae anatakiwq na barcelona au madrid ,, ila ni rahis sana kupata mchezaji ambae anatakiwa na man city au arsenal...
Jidanganye ,labda watu wasiamue kukaza

Hivi unafikiri Pep akimrukia hewan Cocurela ,anaenda Chelsea?
 
Huyo cucurella anaenda Barcelona,muwe mnaacha kukulupukia deals za watu,wakati city tunamtaka Barcelona hawakuleta mdomo ,hivi Barcelona mliwafanya nin View attachment 2311534
Aende tu. Hatukuwahi kuwa naye, kwa hiyo hatutafeel tumepoteza kitu. Barca tumewanyanyasa sana UEFA tangu Xavi akiwa mchezaji, kwahiyo sasa anafanya retaliation.
 
Huyo cucurella anaenda Barcelona,muwe mnaacha kukulupukia deals za watu,wakati city tunamtaka Barcelona hawakuleta mdomo ,hivi Barcelona mliwafanya nin View attachment 2311534
Huyu dogo anakaribia kwenda Chelsea ,nadhan Pep amesimamia msimamo wake hawez kuzid £40m

Na Barcelona hawajatia gia namba 2 ,

Ila wanajua watakuja kumchukua muda wowote ,

🚨🎙️| Marc Cucurella told @CatalunyaRadio:

“I would really like to return to FC Barcelona one day.”
 
Huyu dogo anakaribia kwenda Chelsea ,nadhan Pep amesimamia msimamo wake hawez kuzid £40m

Na Barcelona hawajatia gia namba 2 ,

Ila wanajua watakuja kumchukua muda wowote ,

| Marc Cucurella told @CatalunyaRadio:

“I would really like to return to FC Barcelona one day.”
Tatizo Chelsea wanaongea na Brighton badala wamface cucurella mwenyewe Yale Yale ya Raphina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom