Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Woyooooooo
IMG-20220724-WA0024.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Hamna hoja hapo hapo kusema tuchel kufukuzwa Lisa eti Jana tumefungwa 4 umekosea sana.tuchel ni Kocha mzuri Sana mbona Liverpool walifungwa 4 msimu uliopita walikosa kuchukua EPL na uefa je kocha wao afukuzwe?
Mimi nimetaja wapi afukuzwe kwa sababu ya kufungwa na Arsenal, unaniwekea maneno ndg. Sababu za kimantiki nimetoa na naona huajazisoma umekurupuka tu. Mimi sababu kuu ni ile ya kuwasema wachezaji kwenye media
Mfano kwa sasa majibizano ya TT na Werner sioni kama TT katumia busara, wachezaji au mchezaji kama ana shida kocha aongee naye face to face sio kumsema kwenye media, point yako imesimamia hapo kwenye media
Kufungwa jana si kama kufungwa mazoezini, it is not a big deal
 
Mimi nashauri pia kocha asimamishwe kazi
Naona ameanza kuongea vibaya kwenye media kuhus wachezaji.
Hata kama mchezaji anakosea ukimkosoa kwenye media ni sawa umewaudhi wote kwa sababu wachezaji dressing room wanakuwa kama watoto wa mama mmoja, wanapendana, wanateteana. wakiamua kususa wanasusa pamoja. hii hali tukianza nayo EPL tutafungwa sio wka sababu tuna wachezaji wabovu ila morale itakuwa chini

Nashauri Kocha abadilishwe

Zoezi la kuwaondoa matakataka liende sawa na la kumbadilisha kocha kwa sababu mahusiano yake na wachezaji baadhi sio mazuri

Tuanze upya kila kitu
Hichi kitu kinakuwa taratibu naona kocha amekosa mawasiliano mazuri kwa baadhi ya wachezaji ukiangalia point yao wanasema hawana furaha na timu

Hili jambo linaweza kutufanya tukawa na msimu mbovu kuwahi kutokea ingawa ni bado mapema lakini tayari lishaanza kuonekana
 
Hatuwez badilisha kocha, Tuchel ni mzuri ila wachezaj tuloonao ni quantity na si quality

Kila tim inayofanya vizuri inaondoa wachezaj waliokuwepo na kuweka wachezaj wanaoendana na falsafa ya kocha.

Angalia hata Arsenal ni wachezaj wachache ambao wapo kwa kikos Alichokichukua Arteta kutoka kwa Unai emery

Tukubal tim yetu imejaza matakataka, tunahitaj Rebuild
Pia ukumbuke tangu enzi za Roman hakuna kocha aliyeweza kukaa chelsea zaidi ya misimu miwili bila kufanya vibaya na hawa wachezaji tunaona wabovu akija kocha mpya wanafanya vizuri
 
Asipoondolewa sasa ataondolewa ligi ikianza kwa sababu tutayaona matokeo ya haya mashabulizi ya kwenye media. Kama wachezaji wanahitaji kushtuliwa mpaka kwenye media? SIjawahi kuona kocha anayeshambulia wachezaji wake kwenye media akabaki salama. SIJAWAHI!
Hichi unachokisema kina ukweli ndani yake na mm nakubaliana na ww ngoja tuone matokeo yake
 
Upo sahihi kabisa nashangaa mtu anaelalamikia kocha wakat tim imejaa matakataka mengi
Yani quantity ni kubwa kuliko quality iliyopo.

Hii fumbia fumbia macho ndio inatufanya tusiwe na uwexo wa kushindana premier league

Tujenge team kupitia maono ya kocha, tofaut na hivyo kwa wachezaj waliopo hata awe nani tutastruggle baada ya msim mmoja .
Hakuna timu inayofanya vibaya ikafukuza wachezaji wake bali kocha ndio anawajibika hilo
 
Mimi nimetaja wapi afukuzwe kwa sababu ya kufungwa na Arsenal, unaniwekea maneno ndg. Sababu za kimantiki nimetoa na naona huajazisoma umekurupuka tu. Mimi sababu kuu ni ile ya kuwasema wachezaji kwenye media
Mfano kwa sasa majibizano ya TT na Werner sioni kama TT katumia busara, wachezaji au mchezaji kama ana shida kocha aongee naye face to face sio kumsema kwenye media, point yako imesimamia hapo kwenye media
Kufungwa jana si kama kufungwa mazoezini, it is not a big deal
Mazoezi mengine haya hapa
IMG-20220421-WA0052.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
[emoji117] Chief Kuna makocha wa kufukuzwa kwa sasa ila sio TT.

[emoji117] Na TODDY BOEHLY akimfukuza TT kwa sasa, basi atakuwa ameivamia tasnia ya mpira na hatopata mafanikio yoyote.

[emoji117] Wengi wa Mashabiki kote duniani tunataka TT apewe nafasi ajenge timu ya ndoto yake ambayo kila mpinzani ataogopa kucheza nayo kama anavyosema, baada ya ujenzi huo hapo ndio tunaweza kumjudge kwa uwezo wake kama kocha.

[emoji117] Sajili halali za TT mpaka sasa ni Sterling na Koulibaly bado sajili sio chini ya 5 zakufanya.

[emoji117] Tunataka kwanza TT aondoe wachezaji mizigo, atusajilie maeneo mengine ya kimkakati kwa maono yake, ambayo anaona yanamkwamisha kwa sasa.

[emoji117] Kwanza TT ameshaprove ni bonge la kocha, Kutupa UCL ndani ya miezi 3 + UCL super cup + Club bingwa wa dunia.

[emoji117] Tumpeni heshima huyu mwamba naimani atatusukia kikosi cha kuwalipua City na Liver pale juu.
Hilo ni swala la mda mrefu la kutengeneza timu na je sisi mashabiki tutakuwa na uvumilivu kuona timu inapokea vipigo kila siku tukiwa na imani tunatengeneza timu ya misimu miwili au mitatu ijayo kitu ambacho Roman hakutaka hilo

Ni jambo zuri kutengeneza timu ila linaweza kufanya kazi au likashindwa na kupotea mazima kuwa Top team mpaka kuwa ya kawaida kama tunavyoona Arsenal sasa
 
Hichi kitu kinakuwa taratibu naona kocha amekosa mawasiliano mazuri kwa baadhi ya wachezaji ukiangalia point yao wanasema hawana furaha na timu

Hili jambo linaweza kutufanya tukawa na msimu mbovu kuwahi kutokea ingawa ni bado mapema lakini tayari lishaanza kuonekana
Keeping unhappy bunch of people is a self destruction.
 
Pia ukumbuke tangu enzi za Roman hakuna kocha aliyeweza kukaa chelsea zaidi ya misimu miwili bila kufanya vibaya na hawa wachezaji tunaona wabovu akija kocha mpya wanafanya vizuri
Halaf baada ya msim mmoja hali inajirudia utasema shida ni kocha kila wakat au wachezaj tulionao

Wachezaj tulio nao wako tangu enzi za Conte mpk leo hii unategeme kuna mafanikio ya kuchukua premiee league

Angalia City,Liverpool wakat Pep n Klopp wanazichukua hizo tim wamesafisha wachezaj almost wote na kuleta wachezaj watakaoendana na falsafa zao,

Hata leo hii Arsenal wanafanya kitu kile kile, tim aliyoiacha wenger then unai now yote inaondolewa na Arteta anaweka watu wake unaona kabisa uwanjani kuna kitu wanakitafuta

Ila sisi tutegemee usajil aliofanya conte,sarri,lampard halaf tuchel afanye maajab yake never

Hawa player hata akija kocha mpya watacheza msim mmoja vizur ili wamshawishi kocha then baada ya hapo wanarudi kwenye hali ile ile
 
Hilo ni swala la mda mrefu la kutengeneza timu na je sisi mashabiki tutakuwa na uvumilivu kuona timu inapokea vipigo kila siku tukiwa na imani tunatengeneza timu ya misimu miwili au mitatu ijayo kitu ambacho Roman hakutaka hilo

Ni jambo zuri kutengeneza timu ila linaweza kufanya kazi au likashindwa na kupotea mazima kuwa Top team mpaka kuwa ya kawaida kama tunavyoona Arsenal sasa
Pep hakuhitaji misim 2 ili atengeneze tim yake msim mmoja tu baada ya kurithi kikos alichokikuta baada ya msim kuisha akaanza leta wachezaj wake

Unahis endapo msim huu tukaleta wachezaj hata 5 then summer ijayo tukamaliza na 4 or watatu unahisi hapo hatutokua na tim ya ushindani

Then kinachobaki unakuwa unaboresha kama city anavyofanya,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom